That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,215
- 3,678
ina maana jf haina hata boda mmoja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu tule wapi mkitupunguza ?Ushauri wangu kwa serikali bodaboda nazo zipunguzwe, kama wanavyo dili na machinga sasa wageukie na boda boda nazo.
Kwanza ni hatarishi, wanao ziendesha wengi wao hawastahili, zimekuwa nyingi mno mjini, zinasababisha msongamano mkubwa na mengine mengi ambayo yanasababisha kuwepo na sababu ya boda boda kuondolewa au kupunguzwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana nawe nyuma ya keyboardSipendi bodaboda, hata nikichelewa ndege nitalipia tiketi ingine. Pesa inatafutwa ila kiungo au maisha yakipotea hamna mbadala.
Wala hulazimishwi kukubaliana na mimi.Nakubaliana nawe nyuma ya keyboard
Mtu unaenda marekani na nauli ni USD elfu karibia 10, na una viza ati uache na kununua ticket ingine! Unless una economy classhahahahaha
Kama unaenda Zanzibar toka Dar sitabishaNakubaliana nawe nyuma ya keyboard
Kujiendekeza tu,sehemu zamani watu wanatembea kwa miguu siku hizi wanapanda bodaboda mfano kituoni hadi nyumbani,ofisini etc
Sijawahi kupanda zaidi ya economy class,halafu huwa sichelewi hivyo,nazingatia sana muda na najua foleni inaweza kutokea hivyo najiweka sawa.Mtu unaenda marekani na nauli ni USD elfu karibia 10, na una viza ati uache na kununua ticket ingine! Unless una economy class
Ushauri Mzuri sana mkuuNI saa saba na dakika tano, mataa ya Mwenge, ajali mbaya sana inatokea, mabinti wawili wakiwa kwenye bodaboda, wanapata ajali mbaya sana na kufariki dunia hapohapo.
Last week nilihudhuria msiba wa mrembo mmoja aliyefariki kwenye Kona ya Target akielekea Juliana, alikuwa kwenye bodaboda.
Sweet Ray rafiki yangu, kapata ulemavu wa kudumu akiwa kwenye bodaboda.
Wadada mkiwa kwenye bodaboda mnajiona mko salama sana, mnabinua vijikalio vyenu huku mkipekenyua kurasa za instagram.
Upekuzu huo huwapelekeni mbali kiasi kwamba mnasahau kuwa mna jukumu la kumuongoza dereva na chombo chake, maana madereva wa bodaboda ni bangi na dabokiki paseee.
Matokeo yake mnajikuta tayari ajali Isha wameza.
With wangu kwenu:-
1. Usimchukue dereva MWENYE kiduku au turn dread, tafuta dereva mtu mzima mwenye staha zake.
2. Usimchukue dereva MWENYE kuvaa ndala, tafuta mwenye viatu, utanishukuru baadae.
3. Mwambie mapema dereva aende mwendo wa pole hata Kama una haraka, ni salama zaidi kwako.
4. Usitumie simu kwenye bodaboda, itakuondolea concentration, utashindwa kumuongoza dereva.
5. Vaa kofia ngumu, usipande bodaboda ambayo haina kofia, na ni lazima uvae kofia.
6. Sali kabla hujaanza Safari yako, mwombe Mungu akutangulie na akufikishe salama.
Wishing you all the best
Nimekuelewa ila kwetu ambao ni frequent travelers, sometimes shit happen my friend!Sijawahi kupanda zaidi ya economy class,halafu huwa sichelewi hivyo,nazingatia sana muda na najua foleni inaweza kutokea hivyo najiweka sawa.
Hata mngejua kuruka isingefaa kitu changamoto ya boda ni kwamba wewe ndiyo unakuwa shield, ni kutokuzipanda tu au kuzingatia ushauri wa mjumbe hapo juuYaani ajali nyingi sisi ndio victims, na hatujui KURUKA. Nina rafiki zangu zaidi ya sita wameenda na mwingine Rehema Muya kapoteza uwezo wa kutembea, spinal cord imevunjika
Kibongo bongo class C ni hela yako TuWenye class C ndio waruhusiwe kuendesha bodaboda
Hatukuamini mpaka utume picha la sivyo tunakushambulia [emoji2955]Ahsante kutukumbusha, hapo pa helmet umenigusa Mimi kabisa, Jana tu nimegoma kuivaa nimetengeneza tunywele twangu naanzaje kuziharibu na helmet jamani.!?
Ila anyways, tutajitahidi kwa usalama wetu ila nyingi huwa chafu sana jamani..!
NB; nanyoa, siyo nywele za bandia msije nishambulia..!
Fita fita mura....haRafu ? ... NyweRe?..wewe ni miongoni mwa lile Kabila ambalo L wanaweka R....na kinyume chake, Mkuu?
Hili la kujiendekeza ni kweli kabisaKujiendekeza tu,sehemu zamani watu wanatembea kwa miguu siku hizi wanapanda bodaboda mfano kituoni hadi nyumbani,ofisini etc