Wito wangu kwa Wanawake: Achaneni kabisa na usafiri wa bodaboda, sio salama kwenu

Wito wangu kwa Wanawake: Achaneni kabisa na usafiri wa bodaboda, sio salama kwenu

Ushauri wangu kwa serikali bodaboda nazo zipunguzwe, kama wanavyo dili na machinga sasa wageukie na boda boda nazo.
Kwanza ni hatarishi, wanao ziendesha wengi wao hawastahili, zimekuwa nyingi mno mjini, zinasababisha msongamano mkubwa na mengine mengi ambayo yanasababisha kuwepo na sababu ya boda boda kuondolewa au kupunguzwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu tule wapi mkitupunguza ?




Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Na kama kuna ulazima wa kupanda bodaboda basi kaa kwa namna iliyo salama zaidi. Kukaa kiupande inahatarisha sana.

Kwanza, boda boda inabidi awe makini sana katika kuleta balance. Kwa hiyo ikitokea rabsha kidogo, lazima wewe uende chini.

Tanulia miguu pikipiki acha kujidai kukaa kisista duu!.

Lakini pia, wale wavaa nguo ndefu kama madera, kusanya nguo zako ili zisiingie kwenye 'chain' ya pikipiki. Ikikamata, kabla hujafa, papuchi itakuwa wazi. Jisitiri.
 
Mtu unaenda marekani na nauli ni USD elfu karibia 10, na una viza ati uache na kununua ticket ingine! Unless una economy class
Sijawahi kupanda zaidi ya economy class,halafu huwa sichelewi hivyo,nazingatia sana muda na najua foleni inaweza kutokea hivyo najiweka sawa.
 
Hapo mataa ya mwenge pana mapepo, last week Kuna jirani alikua kwenye boda wamesimama wanasubiri taa ziruhusu likatokea gari kwa nyuma likawagonga jamaa akaruka akaangukia pembeni ikatokea gari nyingine ikampitia kichwani akafa hapohapo

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
NI saa saba na dakika tano, mataa ya Mwenge, ajali mbaya sana inatokea, mabinti wawili wakiwa kwenye bodaboda, wanapata ajali mbaya sana na kufariki dunia hapohapo.

Last week nilihudhuria msiba wa mrembo mmoja aliyefariki kwenye Kona ya Target akielekea Juliana, alikuwa kwenye bodaboda.

Sweet Ray rafiki yangu, kapata ulemavu wa kudumu akiwa kwenye bodaboda.

Wadada mkiwa kwenye bodaboda mnajiona mko salama sana, mnabinua vijikalio vyenu huku mkipekenyua kurasa za instagram.

Upekuzu huo huwapelekeni mbali kiasi kwamba mnasahau kuwa mna jukumu la kumuongoza dereva na chombo chake, maana madereva wa bodaboda ni bangi na dabokiki paseee.

Matokeo yake mnajikuta tayari ajali Isha wameza.

With wangu kwenu:-
1. Usimchukue dereva MWENYE kiduku au turn dread, tafuta dereva mtu mzima mwenye staha zake.

2. Usimchukue dereva MWENYE kuvaa ndala, tafuta mwenye viatu, utanishukuru baadae.

3. Mwambie mapema dereva aende mwendo wa pole hata Kama una haraka, ni salama zaidi kwako.

4. Usitumie simu kwenye bodaboda, itakuondolea concentration, utashindwa kumuongoza dereva.

5. Vaa kofia ngumu, usipande bodaboda ambayo haina kofia, na ni lazima uvae kofia.

6. Sali kabla hujaanza Safari yako, mwombe Mungu akutangulie na akufikishe salama.

Wishing you all the best
Ushauri Mzuri sana mkuu
 
Sijawahi kupanda zaidi ya economy class,halafu huwa sichelewi hivyo,nazingatia sana muda na najua foleni inaweza kutokea hivyo najiweka sawa.
Nimekuelewa ila kwetu ambao ni frequent travelers, sometimes shit happen my friend!
 
Yaani ajali nyingi sisi ndio victims, na hatujui KURUKA. Nina rafiki zangu zaidi ya sita wameenda na mwingine Rehema Muya kapoteza uwezo wa kutembea, spinal cord imevunjika
Hata mngejua kuruka isingefaa kitu changamoto ya boda ni kwamba wewe ndiyo unakuwa shield, ni kutokuzipanda tu au kuzingatia ushauri wa mjumbe hapo juu
 
Ahsante kutukumbusha, hapo pa helmet umenigusa Mimi kabisa, Jana tu nimegoma kuivaa nimetengeneza tunywele twangu naanzaje kuziharibu na helmet jamani.!?
Ila anyways, tutajitahidi kwa usalama wetu ila nyingi huwa chafu sana jamani..!

NB; nanyoa, siyo nywele za bandia msije nishambulia..!
Hatukuamini mpaka utume picha la sivyo tunakushambulia [emoji2955]
 
I lost my friend week tu imepita sababu ya bodaboda,r.i.p cheu
 
Back
Top Bottom