Mchengerwa anahusika nini na Uchaguzi Mkuu.Pamoja na ujinga wako hujui tofauti ya Uchaguzi Mkuu na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.Kingine ni hiki, No reform no election ni Uamuzi wa Kamati Kuu ya Chama na wenye baraka za Mkutano mkuu, hakuna atakayeubadilisha.
Halafu mnataka Chadema iingie kwenye uchaguzi kwa hali hii ambayo mwamuzi wa mwisho ni Mchengerwa ili iweje, Mnataka wauawe wanachadema wangapi ili muelewe hoja ya Chadema?
Shut Up!Mchengerwa anahusika nini na Uchaguzi Mkuu.Pamoja na ujinga wako hujui tofauti ya Uchaguzi Mkuu na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
We nae why chaguzi mbili matumizi mabaya ya ela uchaguzi uwe mmoja.Mchengerwa anahusika nini na Uchaguzi Mkuu.Pamoja na ujinga wako hujui tofauti ya Uchaguzi Mkuu na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Binti jibu hoja.Kutumia lugha usioijua sawasawa haikusaidii chochote.Shut Up!
Umeelewa topic ni nini?Au unaparamia mada tu,?We nae why chaguzi mbili matumizi mabaya ya ela uchaguzi uwe mmoja.
Kumbuka saiv watanzania sio wa miaka ya 70 😁😂
mnashauriwa mnaleta ujinga ngoja muone anavyoiua chadema halafu mwenzenu akanakimbia nje mtamkumbuaka mbowe wakati mmeshaharibikiwa mburula nyieHuna hoja wewe, haya mambo yaache kama yalivyo
Ushauri wangu kwa CDM ni huu;
1. Waunganishe chama kwa dhati. Hii inawezekana tu kama watawakaribisha na kutambua mchango na uwezo wa wale ambao walikuwa upande wa Freeman Mbowe. Watu kama Kigaila, Suzan Kiwanga na Mwalimu wana uwezo mkubwa wa uhamasishaji na ku organise at the grassroot level. Watu kama Ntobi, Nyerere na wengine ni wapambanaji wazuri sana. Watu kama Ruge wasiachwe pembeni.
2. Waepuke lugha za uchonganishi kama aliyotumia Lissu dhidi ya Aidan. Inawezekana kuwa hampendi lakini athamini mchango wake na constituency yake. Watu kama Mchome wajibiwe hoja zao kwa heshoma badala ya kukimbilia kuwatuhumu kuwa wanatumiwa.
3. Wakubali mjadala na mwana siasa yeyote kwa sababu itatoa nafasi za bure kunadi sera zao na kuonyesha udhaifu wa upande wa pili. Lissu hapungukiwi kitu kufanya mdahalo na Wasira. Hata Chalamila akiomba mdahalo wamkubalie.
4. Waangalie namna ya kushirikiana na Halima Mdee, Esther Bulaya na wengine ambao wanaonyesha utayari wa kuipambania Chadema. Talent zao zinahitajika. Wanaweza kuwapa masharti kuwa hawataruhusiwa kugombea uongozi kwa miaka 10.
5. Wajiandae kwa dhati kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu na ile ya 2029 na 2030.
6. Wajiandae kupambana ili kuhakikisha kuwa Katiba Mpya inapatikana kabla ya 2028.
7. Waboreshe website yao kwa kutoa kipaumbele kwa wanachama na viongozi wa chini kuliko hawa wa kitaifa.
8. Wawatangaze zaidi wake wote ambao wameumizwa kwa ajili yq chama chao. Wahakikishe waatu kama Mzee Kibao, Soka, Saa Nane hawauliwi. Watu kama yule mama aliyekaa ndani kwa muda mrefu wakatiwa kesi ya Mbowe waenziwe. Wanasheria wao wapambanaji nao waenziwe. Wakina Martin nao waenziwe. Wale vijana waliokuwa kila siku wanatembelea mahabusu waenziwe.
9. Wawe na mfumo wa wazi wa kuchangia kwa hali na mali.
Amandla....
Hao uliowataja no 1, asilimia kubwa hawakubaliki na kwa sasa hawana msaada kwa chama...na siasa za sasa kuelekea uchaguzi mkuu....Ushauri wangu kwa CDM ni huu;
1. Waunganishe chama kwa dhati. Hii inawezekana tu kama watawakaribisha na kutambua mchango na uwezo wa wale ambao walikuwa upande wa Freeman Mbowe. Watu kama Kigaila, Suzan Kiwanga na Mwalimu wana uwezo mkubwa wa uhamasishaji na ku organise at the grassroot level. Watu kama Ntobi, Nyerere na wengine ni wapambanaji wazuri sana. Watu kama Ruge wasiachwe pembeni.
2. Waepuke lugha za uchonganishi kama aliyotumia Lissu dhidi ya Aidan. Inawezekana kuwa hampendi lakini athamini mchango wake na constituency yake. Watu kama Mchome wajibiwe hoja zao kwa heshoma badala ya kukimbilia kuwatuhumu kuwa wanatumiwa.
3. Wakubali mjadala na mwana siasa yeyote kwa sababu itatoa nafasi za bure kunadi sera zao na kuonyesha udhaifu wa upande wa pili. Lissu hapungukiwi kitu kufanya mdahalo na Wasira. Hata Chalamila akiomba mdahalo wamkubalie.
4. Waangalie namna ya kushirikiana na Halima Mdee, Esther Bulaya na wengine ambao wanaonyesha utayari wa kuipambania Chadema. Talent zao zinahitajika. Wanaweza kuwapa masharti kuwa hawataruhusiwa kugombea uongozi kwa miaka 10.
5. Wajiandae kwa dhati kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu na ile ya 2029 na 2030.
6. Wajiandae kupambana ili kuhakikisha kuwa Katiba Mpya inapatikana kabla ya 2028.
7. Waboreshe website yao kwa kutoa kipaumbele kwa wanachama na viongozi wa chini kuliko hawa wa kitaifa.
8. Wawatangaze zaidi wake wote ambao wameumizwa kwa ajili yq chama chao. Wahakikishe waatu kama Mzee Kibao, Soka, Saa Nane hawauliwi. Watu kama yule mama aliyekaa ndani kwa muda mrefu wakatiwa kesi ya Mbowe waenziwe. Wanasheria wao wapambanaji nao waenziwe. Wakina Martin nao waenziwe. Wale vijana waliokuwa kila siku wanatembelea mahabusu waenziwe.
9. Wawe na mfumo wa wazi wa kuchangia kwa hali na mali.
Amandla....
Utasemaje kuwa Freeman Mbowe hakubaliki wakati alipata karibu nusu ya kura zilizopigwa? Suzan Kiwanga anekipagania sana chama na ushawishi mkubwa kwa wanachama wengi. Kigaila ndie aliyesimamia uchaguzi mnaosifia kuwa ni mfano wa kuigwa. Na ni mmoja wa viongozi wa CDM anaeweza kuinua watu kutokana na passion yake. Na alikuwa point man kwenye masuala ya grassroots. Catherine Ruge alikataa kujiunga na wenzie wa Covid 19 na amekipambania sana chama. Ni mchambuzi mzuri sana wa masuala ya uchumi.Hao w
Hao uliowataja no 1, asilimia kubwa hawakubaliki na kwa sasa hawana msaada kwa chama...na siasa za sasa kuelekea uchaguzi mkuu....
Mkuu, mbona unajichanganya? Utasemaje " No reform no elections haimaanishi no reform no election?Nimegundua watu wengi sana hawajaelewa maana ya no reform no election ...Hata huyu Pascal, da hatari sana...
Haimanisha no reform no election .... Kwamba isipofika reform hakutakuwa na uchaguzi.... Maana yake huwezi kuiita huo ni uchaguzi wakati hakuna mabadiliko ...Utafanya lakini hautakuwa ni uchaguzi... Pascal na wengineo muelewe maana ni hiyo
Huyu Pascal Mayalla yumo CCM lakini cha ajabu hata hajui kuwa yeye huko ni mwongeza idadi tu ya wavaa mashati ya kijani mbele ya ma - godfathers wa chama lakini chama kama chama na fursa zake, kina wenyewe eti...Anayemshauri Lissu alishindwa kuwashawishi wajumbe hata wampe kura sawa na idadi ya vidole vyake vya mikono.
View attachment 3243079
Yaani utakuwa na uchaguzi lakini hauwezi kuitwa uchaguziMkuu, mbona unajichanganya? Utasemaje " No reform no elections haimaanishi no reform no election?
Inawezekana ukawa na point lakini umeshindwa kuielezea.
Amandla...
Soma vizuri reference sio Mbowe, usome vizuri wanazungumziwa waliotajwa ...Utasemaje kuwa Freeman Mbowe hakubaliki wakati alipata karibu nusu ya kura zilizopigwa? Suzan Kiwanga anekipagania sana chama na ushawishi mkubwa kwa wanachama wengi. Kigaila ndie aliyesimamia uchaguzi mnaosifia kuwa ni mfano wa kuigwa. Na ni mmoja wa viongozi wa CDM anaeweza kuinua watu kutokana na passion yake. Na alikuwa point man kwenye masuala ya grassroots. Catherine Ruge alikataa kujiunga na wenzie wa Covid 19 na amekipambania sana chama. Ni mchambuzi mzuri sana wa masuala ya uchumi.
Mkiwatenga hawa kwa sababu walikuwa upande wa pili itakuwa hasara kwenu. Na itathibitisha kwa nini CCM walimtaka Lissu ashinde na sio Mbowe maana walijua hana uwezo wa kukiunganisha chama.
Amandla...
Unataka nisome vizuri nilichoandika mwenyewe?Soma vizuri reference sio Mbowe, usome vizuri wanazungumziwa waliotajwa ...
Bado.Yaani utakuwa na uchaguzi lakini hauwezi kuitwa uchaguzi