Anayemshauri Lissu alishindwa kuwashawishi wajumbe hata wampe kura sawa na idadi ya vidole vyake vya mikono.
View attachment 3243079
Huyu
Pascal Mayalla yumo CCM lakini cha ajabu hata hajui kuwa yeye huko ni mwongeza idadi tu ya wavaa mashati ya kijani mbele ya ma - godfathers wa chama lakini chama kama chama na fursa zake, kina wenyewe eti...
Hicho chama (CCM ) Mr
Pascal Mayalla kiko mikononi mwa wenye pesa zao. Kilishauzwa kitambo sana. Wewe na vijisenti vyako vya kukodisha spika moja kwa ajili ya kupigia kampeni, huna lolote humo....!!
Kuwania nafasi yoyote ya uongozi ndani ya CCM,
ni aidha ukubali kuwaabudu ma - godfathers wa chama ili wakutambulishe au uwe na mapesa mengi ya kuwahonga wapigara kura ambao hata hivyo, hawa nao ni sharti wapate maelekezo ya "go ahead" toka kwa ma - godfathers hao..
Ona sasa hapa Mr
Pascal Mayalla, uliambulia kura 1 tu sijui yako ama ya kuachiwa tu maana inawezekana hata ile yako iliibiwa🤣🤣🤣
Yaani akili ya
Pascal Mayalla iko completely corrupted kiasi cha kushindwa kufikiri vizuri...
Mfano, ni kwanini huyu
Pascal Mayalla asifikiri kuwa, hivi inawezekana vipi ktk wapiga kura maelfu waliomsikiliza wakati akiomba kura jimbo la Kawe wawe hawakumwelewa kiasi cha kupata kura 1 tu tena ya kupewa tu? Kwanini asitambue moja kwa moja kuwa, hapa kilichoamua si sanduku la kura bali iko nguvu nyingine isiyo ya kawaida, nguvu ya uovu..?
Sasa katika situation kama hiyo☝🏻☝🏻☝🏻kila mtu mwenye akili na ufahamu anamshangaa anayejiita "msomi wa sheria" ndugu
Pascal Mayalla anapokuwa na kichwa kigumu na kizito kuelewa mantiki rahisi kabisa ya movement ya NO REFORMS, NO ELECTION kiasi cha eti kuiita "utopian politics..."
This is not not utopian movement constructed from utopian politics as he thinks...
Hii ni movement yenye kulenga kuleta usawa ktk mifumo yetu ya chaguzi na utawala wa nchi hii. Hii si movement ya kumpa au kumsaidia Tundu Lissu na CHADEMA kwa chochote na lolote bali ni movement yenye faida kubwa kwake pia huyu mwanasiasa masikini wa akili na ufahamu ndugu
Pascal Mayalla..!!
Hii ni movement inayolenga kufanya kura yako iwe ya thamani na ihesabiwe...!!