Wito: Watu Wenye Uwezo, Tujitokeze Tujitolee Kumsaidia TAL na Kuisaidia Chadema to Play Real Politics, No Reforms No Election ni Utopian Politics!.

Wito: Watu Wenye Uwezo, Tujitokeze Tujitolee Kumsaidia TAL na Kuisaidia Chadema to Play Real Politics, No Reforms No Election ni Utopian Politics!.

Brother mtu ambaye anaona wenzake hawana akili ila yeye tu hapo ndipo tatizo linaanza.Bora uone watu wajinga ila usiwaone hawana akili,hili tatizo litamgharimu Lisu na wenzake.
 
Wanabodi

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.
View: https://www.youtube.com/live/u5PkOqrHdZI?si=Mtma0U4QBfJ8TJ6x

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana baadhi ya madhaifu ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo, ili aweze kubadilika na kuachana nayo, abadilike kutoka TAL mwanaharakati awe transformed into TAL mwenye statemanship!.

TAL has always been mwanaharakati wa uchechemuzi, sasa TAL kama kingozi mkuu wa Chadema ni
lazime abadilike kuachana na TAL mwanaharakati, into TAL mwenye leadeship and president in waiting!.
Hakuna binadamu yoyote ni mkamilifu, hivyo hata TAL sio mkamilifu, moja ya weakness yake kubwa, he is not a good team player, as a result he is a bad liability as the top leader, uthibitisho ni huu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
Ila mtu ukiwa na udhaifu fulani, unaweza kuutumia for your advantage. TAL is a liability ambayo hiyo liability can be transformed into an asset kama nilivyo shauri hapa Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

Hivyo hivi vibwagizo vya uanaharakati, no reforms no election ni utopian politics, Chadema lazima ijikite into real politics , siasa za mikakati, politics of engegement, vinginevyo anakwenda kuizamisha Chadema kwenye a pit latrine!.

Hivyo hili ni bandiko la wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze to play the real politics of reality, hii falsafa ya TAL ya "No Reforms No Election" is not real!, ni utopian politics!.
TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!.
Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Mmoja wa washauri hao wa bure wa kujitolea ni huyu Mwana JF Maarufu sana, Mkuu Mzee Mwanakijiji , msikilizeni hapa amewashauri nini Chadema na amemshauri nini TAL.
View: https://youtu.be/GUjpxNTSdig Ushauri huu ulitolewa kwa TAL miaka 5 iliyopita, Chadema mtafuteni huyu mtu atawasaidia sana!.

Japo wengi humu tunafahamiana kutokana na post za humu, sio members wengi wako real, hivyo sio vibaya from time to time mtu kujitambulisha tena na tena, mimi japo kazi yangu ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa kujitemea kwa kujitolea, pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, kazi inayoniweka mjini, sio kazi ya uandishi, utangazaji au uwakili, hivi vyote nafanya bure kwa kujitolea tuu kutokana na mapenzi yangu kwa uandish wa habari, utangazaji na uwakili, kazi inayoniweka mjini ni kazi nyingine kabisa, tena mimi ni kada wa chama cha siasa na sio Chadema, lakini nimeguswa kujitokeza kumsaidia TAL na Chadema kwasababu ya uzalendo wangu kwa nchi yangu, TAL na Chadema ni fursa kwa adhimu na adimu kwa uchaguzi wa 2025. Mwanzo niliwashauri wapinzani Pre GE2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030! lakini sasa kama zali tuu, fursa imeibuka kupitia TAL, kama ile fursa ya uchaguzi wa 2015 kupitia ENL, imejirudia 2025!

meisha wasaidia sana Chadema kwa kuwashauri,
Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema Wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali

Kumbe bro na wewe katika hili umekua emptied... Hebu tafakari kwanza au fanya research ya kutosha bro. Waachie kina Malaria 2 Tlaatlaah wakurupuke... hawa Chadema wamejipanga sana...
 
Wanabodi

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.
View: https://www.youtube.com/live/u5PkOqrHdZI?si=Mtma0U4QBfJ8TJ6x

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana baadhi ya madhaifu ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo, ili aweze kubadilika na kuachana nayo, abadilike kutoka TAL mwanaharakati awe transformed into TAL mwenye statemanship!.

TAL has always been mwanaharakati wa uchechemuzi, sasa TAL kama kingozi mkuu wa Chadema ni
lazime abadilike kuachana na TAL mwanaharakati, into TAL mwenye leadeship and president in waiting!.
Hakuna binadamu yoyote ni mkamilifu, hivyo hata TAL sio mkamilifu, moja ya weakness yake kubwa, he is not a good team player, as a result he is a bad liability as the top leader, uthibitisho ni huu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
Ila mtu ukiwa na udhaifu fulani, unaweza kuutumia for your advantage. TAL is a liability ambayo hiyo liability can be transformed into an asset kama nilivyo shauri hapa Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

Hivyo hivi vibwagizo vya uanaharakati, no reforms no election ni utopian politics, Chadema lazima ijikite into real politics , siasa za mikakati, politics of engegement, vinginevyo anakwenda kuizamisha Chadema kwenye a pit latrine!.

Hivyo hili ni bandiko la wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze to play the real politics of reality, hii falsafa ya TAL ya "No Reforms No Election" is not real!, ni utopian politics!.
TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!.
Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Mmoja wa washauri hao wa bure wa kujitolea ni huyu Mwana JF Maarufu sana, Mkuu Mzee Mwanakijiji , msikilizeni hapa amewashauri nini Chadema na amemshauri nini TAL.
View: https://youtu.be/GUjpxNTSdig Ushauri huu ulitolewa kwa TAL miaka 5 iliyopita, Chadema mtafuteni huyu mtu atawasaidia sana!.

Japo wengi humu tunafahamiana kutokana na post za humu, sio members wengi wako real, hivyo sio vibaya from time to time mtu kujitambulisha tena na tena, mimi japo kazi yangu ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa kujitemea kwa kujitolea, pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, kazi inayoniweka mjini, sio kazi ya uandishi, utangazaji au uwakili, hivi vyote nafanya bure kwa kujitolea tuu kutokana na mapenzi yangu kwa uandish wa habari, utangazaji na uwakili, kazi inayoniweka mjini ni kazi nyingine kabisa, tena mimi ni kada wa chama cha siasa na sio Chadema, lakini nimeguswa kujitokeza kumsaidia TAL na Chadema kwasababu ya uzalendo wangu kwa nchi yangu, TAL na Chadema ni fursa kwa adhimu na adimu kwa uchaguzi wa 2025. Mwanzo niliwashauri wapinzani Pre GE2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030! lakini sasa kama zali tuu, fursa imeibuka kupitia TAL, kama ile fursa ya uchaguzi wa 2015 kupitia ENL, imejirudia 2025!

meisha wasaidia sana Chadema kwa kuwashauri,
Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema Wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali

Hata Mimi nimeshasema Mara nyingi humu Lissu anatakuwa kupata mshauru mzuri wa upongozi Butiku, Bagonza, Warioba,Kikwete Amani Karume Mbowe na wanatakiwa washauri wake wa karibu.
Huwezi kushinda uongozi wa juu nchi kwa harakati pekee. Huwezi kuwa kiongozi wa taasisi kwa kuwa msema chochote
 
Wanabodi

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.
View: https://www.youtube.com/live/u5PkOqrHdZI?si=Mtma0U4QBfJ8TJ6x

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana baadhi ya madhaifu ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo, ili aweze kubadilika na kuachana nayo, abadilike kutoka TAL mwanaharakati awe transformed into TAL mwenye statemanship!.

TAL has always been mwanaharakati wa uchechemuzi, sasa TAL kama kingozi mkuu wa Chadema ni
lazime abadilike kuachana na TAL mwanaharakati, into TAL mwenye leadeship and president in waiting!.
Hakuna binadamu yoyote ni mkamilifu, hivyo hata TAL sio mkamilifu, moja ya weakness yake kubwa, he is not a good team player, as a result he is a bad liability as the top leader, uthibitisho ni huu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
Ila mtu ukiwa na udhaifu fulani, unaweza kuutumia for your advantage. TAL is a liability ambayo hiyo liability can be transformed into an asset kama nilivyo shauri hapa Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

Hivyo hivi vibwagizo vya uanaharakati, no reforms no election ni utopian politics, Chadema lazima ijikite into real politics , siasa za mikakati, politics of engegement, vinginevyo anakwenda kuizamisha Chadema kwenye a pit latrine!.

Hivyo hili ni bandiko la wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze to play the real politics of reality, hii falsafa ya TAL ya "No Reforms No Election" is not real!, ni utopian politics!.
TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!.
Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Mmoja wa washauri hao wa bure wa kujitolea ni huyu Mwana JF Maarufu sana, Mkuu Mzee Mwanakijiji , msikilizeni hapa amewashauri nini Chadema na amemshauri nini TAL.
View: https://youtu.be/GUjpxNTSdig Ushauri huu ulitolewa kwa TAL miaka 5 iliyopita, Chadema mtafuteni huyu mtu atawasaidia sana!.

Japo wengi humu tunafahamiana kutokana na post za humu, sio members wengi wako real, hivyo sio vibaya from time to time mtu kujitambulisha tena na tena, mimi japo kazi yangu ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa kujitemea kwa kujitolea, pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, kazi inayoniweka mjini, sio kazi ya uandishi, utangazaji au uwakili, hivi vyote nafanya bure kwa kujitolea tuu kutokana na mapenzi yangu kwa uandish wa habari, utangazaji na uwakili, kazi inayoniweka mjini ni kazi nyingine kabisa, tena mimi ni kada wa chama cha siasa na sio Chadema, lakini nimeguswa kujitokeza kumsaidia TAL na Chadema kwasababu ya uzalendo wangu kwa nchi yangu, TAL na Chadema ni fursa kwa adhimu na adimu kwa uchaguzi wa 2025. Mwanzo niliwashauri wapinzani Pre GE2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030! lakini sasa kama zali tuu, fursa imeibuka kupitia TAL, kama ile fursa ya uchaguzi wa 2015 kupitia ENL, imejirudia 2025!

meisha wasaidia sana Chadema kwa kuwashauri,
Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema Wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali

Ccm daima Samia mitano tena
 
TAL hashauriki, top to the roof and nobody can touch him.

Wafuasi wake huwaambii kitu wakakusikia... utaitwa majina yote mpaka msaliti na mla rushwa.

Tuache CDM iende inavyoenda, time will tell.
Paskali unaposema utopian politics, pia unamaanisha madai ya kuweka fair ground sio valid kwako?
 
Wanabodi

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.
View: https://www.youtube.com/live/u5PkOqrHdZI?si=Mtma0U4QBfJ8TJ6x

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana baadhi ya madhaifu ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo, ili aweze kubadilika na kuachana nayo, abadilike kutoka TAL mwanaharakati awe transformed into TAL mwenye statemanship!.

TAL has always been mwanaharakati wa uchechemuzi, sasa TAL kama kingozi mkuu wa Chadema ni
lazime abadilike kuachana na TAL mwanaharakati, into TAL mwenye leadeship and president in waiting!.
Hakuna binadamu yoyote ni mkamilifu, hivyo hata TAL sio mkamilifu, moja ya weakness yake kubwa, he is not a good team player, as a result he is a bad liability as the top leader, uthibitisho ni huu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
Ila mtu ukiwa na udhaifu fulani, unaweza kuutumia for your advantage. TAL is a liability ambayo hiyo liability can be transformed into an asset kama nilivyo shauri hapa Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

Hivyo hivi vibwagizo vya uanaharakati, no reforms no election ni utopian politics, Chadema lazima ijikite into real politics , siasa za mikakati, politics of engegement, vinginevyo anakwenda kuizamisha Chadema kwenye a pit latrine!.

Hivyo hili ni bandiko la wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze to play the real politics of reality, hii falsafa ya TAL ya "No Reforms No Election" is not real!, ni utopian politics!.
TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!.
Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Mmoja wa washauri hao wa bure wa kujitolea ni huyu Mwana JF Maarufu sana, Mkuu Mzee Mwanakijiji , msikilizeni hapa amewashauri nini Chadema na amemshauri nini TAL.
View: https://youtu.be/GUjpxNTSdig Ushauri huu ulitolewa kwa TAL miaka 5 iliyopita, Chadema mtafuteni huyu mtu atawasaidia sana!.

Japo wengi humu tunafahamiana kutokana na post za humu, sio members wengi wako real, hivyo sio vibaya from time to time mtu kujitambulisha tena na tena, mimi japo kazi yangu ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa kujitemea kwa kujitolea, pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, kazi inayoniweka mjini, sio kazi ya uandishi, utangazaji au uwakili, hivi vyote nafanya bure kwa kujitolea tuu kutokana na mapenzi yangu kwa uandish wa habari, utangazaji na uwakili, kazi inayoniweka mjini ni kazi nyingine kabisa, tena mimi ni kada wa chama cha siasa na sio Chadema, lakini nimeguswa kujitokeza kumsaidia TAL na Chadema kwasababu ya uzalendo wangu kwa nchi yangu, TAL na Chadema ni fursa kwa adhimu na adimu kwa uchaguzi wa 2025. Mwanzo niliwashauri wapinzani Pre GE2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030! lakini sasa kama zali tuu, fursa imeibuka kupitia TAL, kama ile fursa ya uchaguzi wa 2015 kupitia ENL, imejirudia 2025!

meisha wasaidia sana Chadema kwa kuwashauri,
Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema Wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali



P,

Tatizo huja toa solution yeyote. Kuna vitu viwili vikubwa

1. Kwa mazingira ya sasa chaguzi sio za haki na utaratibu lazima ubadilishwe. Hivyo naunga mkono kutoshiriki chaguzi kama hakuna mabadiliko. Kwanza swali je unakubaliana na hili au haukubaliani na hili. Yes or No
2. Kama unakubaliana na kwamba hakuna chaguzi mpaka utaratibu ubalike unashahuri Lissu na Chadema wafanye nini? Tusiweke utamaduni wa kuweka mabandiko ya kubadilisha hoja jibu maswali ya msingi. Keep it simple.
Ni kama vile unahimiza Chadema waendelee na siasa za kudanganyana danganyana kila siku. Hizo siasa unazoongea ziliendelea kuanzia 2021 na Mbowe kashindwa kwa siasa ambazo unasema Lissu afanye. Mabadiliko ya Mbowe kushidwa ni kwasababu hii. Kwa ufupi hayo unayosema ndiyo yameshindikana
 
Kumbe bro na wewe katika hili umekua emptied... Hebu tafakari kwanza au fanya research ya kutosha bro. Waachie kina Malaria 2 Tlaatlaah wakurupuke... hawa Chadema wamejipanga sana...
mtoa hoja mapema sana aliwahi kuwashauri chadema waweke nguvu kwenye ubunge na udiwani, urais wanapoteza nguvu na muda tu ila wakaishia kumtukana tu,

mimi mwenyewe nilitoa tahadhari mapema sana kwamba kwa aina ya kampeni walizofanya chadema hususan kwenye nafasi ya uenyekiti, matokeo yake itakua ni kuhujumiana tu hali ambayo ndio inaendelea hivi sasa 🐒
 
Sawa. Umeona mapungufu gani yanayohitaji maboresho...?

Wamekuambia hawa watu wa kushauriana naye humo CHADEMA hawapo? Unajua anashauriana na kina nani? Na wewe kipimo chako cha kwamba huyu ana uwezo na huyu hana uwezo wa kumshauri Tundu Lissu na CHADEMA kwa ujumla ni kipi..?

Hivi Hayati Mwl. Julius K. Nyerere angekuwa "stateman" kwa wakoloni badala ya kuendesha siasa za harakati za kuikomboa Tanganyika toka ukoloni wa wazungu wa Kiingereza, kwa dhana yako ya "u - stateman" si mpka leo tungekuwa bado ktk aina hiyo ya ukoloni..?

Katika nchi iliyojaa ukandamizaji, kupuuza haki za binadamu, kutoheshimu maamuzi ya wananchi ktk maswala ya uongozi, resentment, kutesa na kuua wapinzani wako kisiasa (udikteta) nk, huhitaji statemen kujimboa bali unahitaji wanaharakati aggressive, wenye uelewa na ufahamu ulioshiba na majasiri...

Ili kuitiisha serikali ya CCM kuheshimu matakwa ya wananchi, huhitaji u - stateman bali unawahitaji activists wengi wa kisiasa, kisheria, kiuchumi, kijamii, haki za binadamu nk...

Chini ya serikali za kikandamizaji na onevu kama hii ya Tanzania, kama hujaitwa mchochezi, mhaini nk wewe bado si mpambanaji na ni ngumu sana kuung'oa utawala wa aina ya CCM hapa Tanganyika...!!

Ni vipi hivyo?

Je, ni hiki cha NO REFORMS, NO ELECTION? Ungependa CHADEMA wawe na kibwagizo gani? Hiki cha: "JAMHURI YA MUUNGANO, KAZI IENDELEE.??" Hiki ndo kinaitwaje kweli? Non utopian politics au..?

From your understanding, what are the real politics? Za kupora uchaguzi? Kuiba kura? Kuteka na kuua wapinzani wako kisiasa?

Mimi hapa nakuona kwa mbaaali kama aliye kwenye panic mode na andiko hili linawakilisha hofu ya watawala na CCM ya ujio wa mtu huyu..!!!

Usijidanganye brother Pascal Mayalla , CHADEMA shall never go into the pit of latrine, rather through this direction, CHADEMA is cruising into the glorious heights of politics...!

Wanaokwenda kwenye shimo la choo ni hawa watawala na CCM yao. Kama huamini, kaa pembeni, subiri ili uone kwa macho yako...!

Nyie mna mapenzi mema na Tanzania?

Tangu lini wapenda uonevu, chuki, unyanyasaji, wauaji, wezi, wanaochukia haki na kupenda dhuluma wakawa ni watu wazalendo..?

Stop this nonsense brother...

Kwani unaona ugumu gani kuuona ukweli wa hoja za CHADEMA zinazochagizwa na kauli mbiu ya NO REFORMS, NO ELECTION...?

Kwanini hamjibu hoja badala yake mnakimbilia kumjadili mtu..?

BAADHI YA HOJA ZA CHADEMA NI HIZI:

1. Kutokuwepo kwa usawa wa mgawanyo wa majimbo ya uchacguzi wa wabunge. Mfano inakuwaje Zanzibar yenye wapiga kura 500,000 iwe na majimbo 50 ya uchaguzi huku DSM Tanganyika iliyo na wapiga kura 3,000,000 iwe na majimbo 10 tu ya uchaguzi? Usawa uko wapi hapo.???

2. Kwanini Mwenyekiti wa CCM ambaye automatic huwa mgombea U - Rais ndiye ateue wajumbe wa NEC ili wasimamie uchaguzi ambaye naye ni mshiriki kama mgombea? Does it make sense to you..?

3. Inawezekana vipi wagombea wasio wa chama atokacho Mwenyekiti wa CCM na Rais wote wawe wanajua kusoma na kuandika, wakosee kujaza fomu ya kuomba uteuzi wa kugombea ubunge, udiwani, uenyekiti wa kijiji, mtaa au kitongoji na hivyo 95% wakaenguliwa kwa kigezo hicho wakati wagombea wote wa CCM wakawa wanajua kusoma na kuandika vizuri, wakajaza fomu vizuri na 100% wakateuliwa kugombea nafasi hizohizo bila mizengwe? Je, hawa wote wa CCM na CHADEMA ama vyama vingine si wamesoma shule hizohizo walizosoma hawa wa CCM? Wakafundishwa na walimu walewale? Haya yote yana make sense kweli kwako au mzee umeamua kuwa chawa kabisa kwa uwazi na ujinga tu?

##Mbona nyie CCM hamjibu hoja hizi badala yake mnamshambulia Tundu Lissu as a person?

##Na hata mkiamua kumshambulia Lissu kama mtu badala ya hoja zake kwa akili zako unadhani mtaweza kuzima kiu ya mabadiliko waliyonayo watu baada ya kuwa wamemwelewa Tundu Lissu na CHADEMA..?

Think twice, before indulging yourself into deep darkness of stupidity and ignorance...


Yes. What's wrong na jibu hilo..?

Maana msimamo ni: ILI TUSHIRIKI UCHAGUZI, NI SHARTI NA NI LAZIMA KAMA NCHI TUKAE CHINI TUFANYE MABADILIKO YA KISHERIA, KANUNI NA KIKATIBA ILI KUTENGENEZA MFUMO MPYA WA CHAGUZI ZETU ILI ZIWE HURU, ZA WAZI NA ZA HAKI KWA KILA MSHIRIKI..

Hii ndio exactly maana ya NO REFORMS, NO ELECTION....

Sasa unataka wajiandae kwa uchaguzi upi maana zilizofanyika 2019, 2020 na 2024 hazikuwa chaguzi zile bali ni uchafu mtupu? Au wewe hukuona hayo?

Nauliza tena: wajiandae kwa chaguzi upi na ili iweje? Wakaeunguliwe? Wakapigwe na polisi na kuuwawa? Ili iweje hasa...????

Nina mashaka hata kama unaelewa maana ya hiki ulichokiandika...

Really..?

Huamini siyo? Endelea kutoamini lakini mwisho wa siku haitakuwa kutoamini tena, bali UTAONA KWA MACHO YAKO...!!

Huyu na wewe mna tofauti gani..?

Tayari mmeshakodishwa na Abdul na mama yake a.k.a Chura Kiziwi wa Kizimkazi - Zanzibar , mmeuza utu wenu kwa vipande vya fedha au kwa ujinga tu ili mtetee dhuluma na uonevu...!!

Mr Pascal Mayalla, mengine yote ni ujinga na upuuzi mtupu as for now...

Hoja ni lazima iwe: TUTAWASAIDUAJE CHADEMA NA TUNDU LISSU KUISHIRIKI NA KUITEKELEZA MOVEMENT YA KUDAI MABADILIKO YA MFUMO WA UTAWALA WA NCHI HII KWA KUPIGANIA MABADILIKO YA MFUMO BORA WA UCHAGUZI ULIO HURU, HAKI NA WAZI KWA KAULI MBIU YA NO REFORMS, NO ELECTION..??

Achana na utopian thoughts zako za kutaka tuendelee kukandamizwa na kulazwa mavumbini na CCM...!!
Upo DEEP SANAAA....
 
Kingine ni hiki, No reform no election ni Uamuzi wa Kamati Kuu ya Chama na wenye baraka za Mkutano mkuu, hakuna atakayeubadilisha.

Halafu mnataka Chadema iingie kwenye uchaguzi kwa hali hii ambayo mwamuzi wa mwisho ni Mchengerwa ili iweje, Mnataka wauawe wanachadema wangapi ili muelewe hoja ya Chadema?
Hoja nzito sana hii.

Sasa hivi chaguzi Tanzania zenye ushiriki hasa wa CHADEMA na ule wa ACT kule Zanzibar umekuwa ni tangazo rasmi la vita ya ndani (civil war) kati ya vyombo vya dola (vyenye silaha zote) na viongozi, wagombea na wafuasi wa vyama vya upinzani.

Lazima yatokee mauaji, vilema majeruhi, utekaji, udhalilishaji na upoteaji wa watu.

Faida kwa vyama vya upinzani labda ni zile nafasi chache za ubunge, uwakilishi na “privilege” za KUB na ruzuku. Basi! Wako wanasiasa wa upinzani wanaootea nafasi hizo kama suala la kufa na kupona. LAKINI, is that worthy all the bloodletting?

Kwa mantiki hiyo, sioni haja ya uchaguzi nchini kama status quo itaendelea.
 
Ushauri wangu kwa CDM ni huu;
1. Waunganishe chama kwa dhati. Hii inawezekana tu kama watawakaribisha na kutambua mchango na uwezo wa wale ambao walikuwa upande wa Freeman Mbowe. Watu kama Kigaila, Suzan Kiwanga na Mwalimu wana uwezo mkubwa wa uhamasishaji na ku organise at the grassroot level. Watu kama Ntobi, Nyerere na wengine ni wapambanaji wazuri sana. Watu kama Ruge wasiachwe pembeni.
2. Waepuke lugha za uchonganishi kama aliyotumia Lissu dhidi ya Aidan. Inawezekana kuwa hampendi lakini athamini mchango wake na constituency yake. Watu kama Mchome wajibiwe hoja zao kwa heshoma badala ya kukimbilia kuwatuhumu kuwa wanatumiwa.
3. Wakubali mjadala na mwana siasa yeyote kwa sababu itatoa nafasi za bure kunadi sera zao na kuonyesha udhaifu wa upande wa pili. Lissu hapungukiwi kitu kufanya mdahalo na Wasira. Hata Chalamila akiomba mdahalo wamkubalie.
4. Waangalie namna ya kushirikiana na Halima Mdee, Esther Bulaya na wengine ambao wanaonyesha utayari wa kuipambania Chadema. Talent zao zinahitajika. Wanaweza kuwapa masharti kuwa hawataruhusiwa kugombea uongozi kwa miaka 10.
5. Wajiandae kwa dhati kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu na ile ya 2029 na 2030.
6. Wajiandae kupambana ili kuhakikisha kuwa Katiba Mpya inapatikana kabla ya 2028.
7. Waboreshe website yao kwa kutoa kipaumbele kwa wanachama na viongozi wa chini kuliko hawa wa kitaifa.
8. Wawatangaze zaidi wake wote ambao wameumizwa kwa ajili yq chama chao. Wahakikishe waatu kama Mzee Kibao, Soka, Saa Nane hawauliwi. Watu kama yule mama aliyekaa ndani kwa muda mrefu wakatiwa kesi ya Mbowe waenziwe. Wanasheria wao wapambanaji nao waenziwe. Wakina Martin nao waenziwe. Wale vijana waliokuwa kila siku wanatembelea mahabusu waenziwe.
9. Wawe na mfumo wa wazi wa kuchangia kwa hali na mali.

Amandla....
Mawazo ya mapandikizi ya ccm. Tulieni muone Chadema inavyokua!!
Mtu kama Kigaila ni kirusi cha kukitupa mbali kabisa kwani ni kurusi kibaya.
 
Hoja nzito sana hii.

Sasa hivi chaguzi Tanzania zenye ushiriki hasa wa CHADEMA na ule wa ACT kule Zanzibar umekuwa ni tangazo rasmi la vita ya ndani (civil war) kati ya vyombo vya dola (vyenye silaha zote) na viongozi, wagombea na wafuasi wa vyama vya upinzani.

Lazima yatokee mauaji, vilema majeruhi, utekaji, udhalilishaji na upoteaji wa watu.

Faida kwa vyama vya upinzani labda ni zile nafasi chache za ubunge, uwakilishi na “privilege” za KUB na ruzuku. Basi! Wako wanasiasa wa upinzani wanaootea nafasi hizo kama suala la kufa na kupona. LAKINI, is that worthy all the bloodletting?

Kwa mantiki hiyo, sioni haja ya uchaguzi nchini kama status quo itaendelea.
Haya yote huyo Mamluki Pascal Mayalla anafahamu
 
Mawazo ya mapandikizi ya ccm. Tulieni muone Chadema inavyokua!!
Mtu kama Kigaila ni kirusi cha kukitupa mbali kabisa kwani ni kurusi kibaya.
Uzuri ni kuwa yote yatakuwa wazi. Tutashuhudia jinsi mabadiliko yatakavyofanywa kwa kuhofia kuwa CDM itazuia uchaguzi. Au wasipofanya hivyo jinsi CDM itakavyo uzuia. Sisi mapandikizi ya CCM yetu macho.

Amandla...
 
Sema wewe kaka mkubwa... Nikisema mimi wananiona napiga kelele...
TAL hajitambui hajiwezi hana utashi na fikra za kuikomboa chadema na taifa...
TAL ni mwanaharakati uchwara kama Mdude, mimi sikuzote huwa sioni tofaut ya Lissu na Mdude zaidi ya elimu zao 💩🤣 Lissu kamzidi Mdude elimu ila Mdude anaweza kuwa na akili nyingi za kisiasa na kimaendeleo kuliko TAL...
 
Wanabodi

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.
View: https://www.youtube.com/live/u5PkOqrHdZI?si=Mtma0U4QBfJ8TJ6x

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, ana baadhi ya madhaifu ambayo anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo, ili aweze kubadilika na kuachana nayo, abadilike kutoka TAL mwanaharakati awe transformed into TAL mwenye statemanship!.

TAL has always been mwanaharakati wa uchechemuzi, sasa TAL kama kingozi mkuu wa Chadema ni
lazime abadilike kuachana na TAL mwanaharakati, into TAL mwenye leadeship and president in waiting!.
Hakuna binadamu yoyote ni mkamilifu, hivyo hata TAL sio mkamilifu, moja ya weakness yake kubwa, he is not a good team player, as a result he is a bad liability as the top leader, uthibitisho ni huu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
Ila mtu ukiwa na udhaifu fulani, unaweza kuutumia for your advantage. TAL is a liability ambayo hiyo liability can be transformed into an asset kama nilivyo shauri hapa Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

Hivyo hivi vibwagizo vya uanaharakati, no reforms no election ni utopian politics, Chadema lazima ijikite into real politics , siasa za mikakati, politics of engegement, vinginevyo anakwenda kuizamisha Chadema kwenye a pit latrine!.

Hivyo hili ni bandiko la wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze to play the real politics of reality, hii falsafa ya TAL ya "No Reforms No Election" is not real!, ni utopian politics!.
TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!.
Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Mmoja wa washauri hao wa bure wa kujitolea ni huyu Mwana JF Maarufu sana, Mkuu Mzee Mwanakijiji , msikilizeni hapa amewashauri nini Chadema na amemshauri nini TAL.
View: https://youtu.be/GUjpxNTSdig Ushauri huu ulitolewa kwa TAL miaka 5 iliyopita, Chadema mtafuteni huyu mtu atawasaidia sana!.

Japo wengi humu tunafahamiana kutokana na post za humu, sio members wengi wako real, hivyo sio vibaya from time to time mtu kujitambulisha tena na tena, mimi japo kazi yangu ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa kujitemea kwa kujitolea, pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, kazi inayoniweka mjini, sio kazi ya uandishi, utangazaji au uwakili, hivi vyote nafanya bure kwa kujitolea tuu kutokana na mapenzi yangu kwa uandish wa habari, utangazaji na uwakili, kazi inayoniweka mjini ni kazi nyingine kabisa, tena mimi ni kada wa chama cha siasa na sio Chadema, lakini nimeguswa kujitokeza kumsaidia TAL na Chadema kwasababu ya uzalendo wangu kwa nchi yangu, TAL na Chadema ni fursa kwa adhimu na adimu kwa uchaguzi wa 2025. Mwanzo niliwashauri wapinzani Pre GE2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030! lakini sasa kama zali tuu, fursa imeibuka kupitia TAL, kama ile fursa ya uchaguzi wa 2015 kupitia ENL, imejirudia 2025!

meisha wasaidia sana Chadema kwa kuwashauri,
Natoa wito, kwa watu wowote, wenye uwezo, kutoka popote hata wana CCM, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, kwa kuishauri kuwa uchaguzi mkuu wa 2025, Chadema ina fursa!, hii ni fursa adhimu na fursa adimu kwa Chadema kuichangamkia, muda uliobaki kabla ya uchaguzi, sio rafiki kufanya siasa za kiharakati, huu ni muda wa kufanya siasa za kimikakati ya ushindi, tena namshauri TAL na Chadama wakumbatie falsafa ya pragmatism politics, wawe pragmatic and do what is possible!.

TAL na Chadema Wasaidiwe waachane na utopian politics, wafanye real politics, the time is almost too little too short!, hakuna muda wa kupoteza!.

Paskali

Mayalla Mayalla,
Uteuzi haukuhusu tena jamaa yangu,tulia tu sasa.
 
Back
Top Bottom