Wivu na chuki ya maendeleo mbaya sana: Waigbo wa Nigeria ndio kabila lenye akili na uwezo mkubwa kibiashara, wanakomolewa ila bado wanadunda

Mchaga anamkimbiza nani Bongo hii?

Wachaga wanamiliki Mikoa mingapi hapa Tzn?
Mkuu kwa kipimo kidogo kabisa cha utajiri wa kibongo bongo, Kuna kabila lipi limeweza walau kujenga kwao kama wachaga ?

Kasulu kwa waha ?
Makete kwa wakinga?
Simiyu kwa wasukuma ?

Nchi yenye amani kama Tz unajisifu vp una maendeleo wakati huko kwenu hakumeremeti ?
 
Bro nimefika huko vijijjin kwa hawa jamaa hizo nyumba zilizopo huko. Masaki isubir. Jamaa ni bilionea tupu. Ambra
 
Wahausa wapo kama wasukuma mtu mmoja kuwa na watoto 20 kawaida. Ila wanapenda jeshi kama wakurya.
 
Hizi article zipo nyingi jaribu kufuatilia kule nairland ...Nchi hiyo kuna ukabila huwezi kuelezea sehemu moja...kila mtu anavutia upande wake ila maisha ya hao jamaa ni ile kama hauna kitu hauna thamani.


Wapenda sifa na showoffs kama wahaya ni yoruba... Wazee wa kumwaga pesa .

Halafu Nijeria unaweza kuta watu hawamkubali mtu fulani kisa tu kabila tofauti.
 
Wapenda sifa na showoffs kama wahaya ni yoruba... Wazee wa kumwaga pesa .
Sifa zinawacost wayoruba hata yule Hushpapi alikamtwa kwajili ya showoff

Lagos ni mji wa wayoruba ila wanaotengeneza pesa ni waigbo
 
Uzi mzuri,,,,Hawa wapopo wanaongoza kuuza pisi za E,S Africa ughaibuni huko,,,hivi huko kwao kwani hakuna wanawake wazuri,,,
Nimekuelewa vizuri yaan black market
 

mkuu umeni inspire sana na story yako!!
Nimejifunza kitu
 

Ukisoma histori ya vita ya biafra utaona Jeshi la nigeria lilishashindwa kupambana na hawa watu hadi baadae Muingereza alipoingilia kati na kuwasapot jeshi la nijeria
 
Igbo Wanachukiwa na kufanyiwa Figisu kutokana na Tabia yao moja ambayo sijaona ukiilezea....! UBINASFI....!

Igbo ni Wabinafsi sana, Igbo wana tabia kama za Watutsi wa Rwanda, na ndo maana wote wana asili moja, kwa maana wametoka Chanzo kimoja....!

Nimewahi kufanya Mishe mishe na Wanageria nje ya Nchi, hata wakiwa nje ya Nchi Bado wanabaguana, Igbo wanajiona ni bora kuliko wengine, wanajiona wana akili kuliko wengine....!

Sishangai wakibaguliwa Nigeria, hata kwa Tanzania hatuna Kabila lenye Sifa kama Igbo!

Wachagga na Wahaya wakasome kwa jinsi Igbo walivyo Wabinafsi...!

Mimi binasfi siwakubari.
 
kabila la FULAN wao ni ugaidi tu
Hao watu sio poa kabisa

Wengi wamejipenyeza kwa wahausa wanaongea kihausa lna wamtumia fursa hii kujenga undugu mkubwa na wahausa, hii imewapiga jeki wengi waweze kulamba hata teuzi nono na kujaa jeshini

Magiadi wengi huwa wanazuga wanachunga ng'ombe wakifika huko kwa waigbo wanaua watu kama kuku.
 
Hajui kitu igbo ni matapeli hao mpaka Nijeria ilipigwa ban nchi za nje ,hoa wanaiba mitihani wapo yahoo boys
.
Wanajali pesa kwa mbinu yeyote ile wanapata
Acha wivu wewe Igbo IQ zao zipo juu wapo smart darasani kama mleta uzi alivyoandika. Ni richest/ wealthiest and smartest tribe in Africa
 
Bro nimefika huko vijijjin kwa hawa jamaa hizo nyumba zilizopo huko. Masaki isubir. Jamaa ni bilionea tupu. Ambra
Anambra state ni moja ya maeneo maarufu ya wa Igbo na mwanasiasa wao ni Peter Obbi.
Hata Things follow apart yule Professor ni mu Igbo.
 
Acha wivu wewe Igbo IQ zao zipo juu wapo smart darasani kama mleta uzi alivyoandika. Ni richest/ wealthiest and smartest tribe in Africa
Mtu maarufu msomi Nigeria pengine na hata Afrika alieweza kutumia elimu yake kwa vitendo kutusaidia dunia ya leo ni Philip Emeagwali nae wa huko, Alibuni teknolojia ya kuwezesha computer ziweze kufanya kazi kwa spidi kubwa mno, hata hio somu ama laptop unayotumia inatumia teknolojia aliyoigundua inayoitwa parallel Processing, Ni teknolojia iliyoweza kuboresha kasi ya kompyuta kwa kutekeleza shughuli nyingi kwa wakati mmoja badala ya kufanya kazi moja baada ya nyingine, Mwaka 1989 alitengeneza computer lwa kuziunganisha processor elf 65 zilizoweza kupiga hesabu bilioni 3.1 kwa sekunde, Ni jambo lililoushangaza ulimwengu wa teknolojia na mchango wake ulitambulika kwa kupewa tuzo ya Gordon Bell ambayo ni kama Noble Prize kwenye mambo ya teknolojia.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…