Wivu wa mapenzi ni janga kubwa mno, tuchague wa kumove nao sio hawa feminists! Au ma slay queen! Tiririka

Wivu wa mapenzi ni janga kubwa mno, tuchague wa kumove nao sio hawa feminists! Au ma slay queen! Tiririka

Inasikitisha,lakini haitoshi kusema inasikitisha kama hatukutafuta alternative.

Vijana oweni wanawake wanaopenda kujiweka simple wenyewe mliosoma mnaiita ”low profile”,wasioenda shule sana even la saba pita nae kikubwa ajue kusahihisha homeworks za wanao kingine usiowe kama hujamaliza ujinga,kuvua vua nguo hovyo wanawake na kuendekeza starehe zisizokuwa na mpango,kukaa bar mpaka 00:00 am maisha ya ndoa hayataki hivyo,unatakiwa ujue uliyemuacha nyumbani na wanao anatamani akuone unakula alichokupikia.

Story ya jamaa yeye ndiye alieanza ujinga,uzinzi ni jambo baya sana ktk ndoa hata hizi za kibongo zinavunjika sababu ya uzinzi (simlaumu kama binadamu) alipoona green light kwa mkewe imewaka anagawa uroda kama pipi mapaja hayafungi angetafuta namna ya kung'atuka kidogo kidogo ili maumivu yasiwe makali sana.
 
Inasikitisha,lakini haitoshi kusema inasikitisha kama hatukutafuta alternative.

Vijana oweni wanawake wanaopenda kujiweka simple wenyewe mliosoma mnaiita ”low profile”,wasioenda shule sana even la saba pita nae kikubwa ajue kusahihisha homeworks za wanao kingine usiowe kama hujamaliza ujinga,kuvua vua nguo wanawake na kuendekeza starehe zisizokuwa na mpango,kukaa bar mpaka 00:00 Am siyo maisha.

Story ya jamaa yeye ndiye alieanza ujinga,uzinzi ni jambo baya sana ktk ndoa hata hizi za kibongo zinavunjika sababu ya uzinzi (simlaumu kama binadamu) alipoona green light kwa mkewe imewaka anagawa uroda kama pipi angetafuta namna ya kung'atuka kidogo kidogo ili maumivu yasiwe makali sana.
Uzinzi ndo mtihani mkubwa hapa duniani ,kama tunavyojua hakuna mtihani rahisi daima.
 
Ila sometimes angalau tuwe na heshima then tutaheshimika daima katika jamii zetu ..

Ukiona labda ulikuwa na mwanamke akaolewa na mwingine basi sio riziki yako jaribu kuenda kutafuta mwingine ..Na kama unajua mtu kaolewa kabisa then wewe unatembea nae au unamtongoza hapo hujiheshimu kabisa kwa sababu unafosi kitu ambacho sio riziki yako.

Imagine wewe umekuwa kisababishi kwa tamaa zako tu baadae unaona maafa makubwa kama kuvunjika kwa ndoa kama hata kupelekea watu kuawa watoto wasio na hatia ,Ebu fikiria mara mbili ?😥


Jaribu kuheshimu mahusiano ya mtu kwani shilling ngapi? Tafuta kwingine

Tuwe tunapeana usia juu ya haya mambo ni hatari mtu kulalamiko juu yako yaani binadamu unakuwa chanzo cha matatizo ya wengine..




1660890228357.jpg
 
Kaa chonjo
Hawa jamaa walifunzwa kumteketeza mwanaume kimya kimya we utashangaa tu ukoo mzima hakuna mtu anaumwa pressure eti jamaa anaugua pressure ya kushuka, mwingine ukoo wake hakuna aliewahi kuumwa kisukari ghafla kisukari hiki hapa kimemjia ukubwani anaanza kufa pole pole kwa uchungu na mateso makali
 
Hawa jamaa walifunzwa kumteketeza mwanaume kimya kimya we utashangaa tu ukoo mzima hakuna mtu anaumwa pressure eti jamaa anaugua pressure ya kushuka, mwingine ukoo wake hakuna aliewahi kuumwa kisukari ghafla kisukari hiki hapa kimemjia ukubwani anaanza kufa pole pole kwa uchungu na mateso makali
Mi nina mifano ya wanaume wa 2 madon waliwaachia nyumba na magari

1.) Makyao telecom engineer kisa mkewe alimwekea sumu kwenye chakula mdada wa kazi akamshtua
2.) Advocate mawalla arusha hivyo hivyo sumu na kumcheat

Hao wanaume hapo juu Wana ukwasi wa kutosha ila walisalimu amri na kusepa hii kitu acha kabisa

🤮🤮🤮🤮🤮🤮🤮.

Ni kugonga na kutupa kule
 
Back
Top Bottom