Wivu wa mapenzi ni janga kubwa mno, tuchague wa kumove nao sio hawa feminists! Au ma slay queen! Tiririka

Wivu wa mapenzi ni janga kubwa mno, tuchague wa kumove nao sio hawa feminists! Au ma slay queen! Tiririka

Endapo una jambo la kufuatilia,liwe la kiofisi au lisilo la kiofisi,na halikulazimu wewe kuwepo au kuja Dodoma,wasiliana na 'Dodoma messengers' kwa 0765920855,usaidiwe kutatuliwa,ukiwa hukohuko uliko,kwa gharama nafuu.
Umetisha sana mkuu, katikati ya uzi wa majonzi na hisia , umetupia kibwagizo chako, safi sana kwenye marketing uko vizuri. Tutakuona kama tukiwa na jambo huko
 
Mi mwenyewe shuleni hamna wanawake walionitia nuksi kama baadhi yao wawe wakuu wa shule 🤮🤮🤮🤮🤮🤮. Nenda hapo st Joseph cathedral. Utatapika aseee daah

Kuna wanawake na mashetani 😟😟
 
Ni hatari mno, ila kusameheana na kusahau ni nzuri siyo kulipiziana visasi, kama hujasamehe basi move on kabisa kuliko unapretend umesamehe kumbe unaandaa revenge, hii ni kwa wote me na ke
Upo sahihi sana hakuna haja ya kufake upendo, unaona huwezi samehe na hakuna namna mnayoweza itafuta amani ni bora kuachana tu. Ona huyo Dr kawateketeza wanae ambao hawana hatia 😔
 
Upo sahihi sana hakuna haja ya kufake upendo, unaona huwezi samehe na hakuna namna mnayoweza itafuta amani ni bora kuachana tu. Ona huyo Dr kawateketeza wanae ambao hawana hatia 😔
Ila hapo kwa watoto sijamuelewa why kaamua hivyo hadi kwa watoto, anyways R.I.P to them, kifo cha maumivu 😪
 
Ni hatari mno, ila kusameheana na kusahau ni nzuri siyo kulipiziana visasi, kama hujasamehe basi move on kabisa kuliko unapretend umesamehe kumbe unaandaa revenge, hii ni kwa wote me na ke
Mwanamke kiboko, kwanza mwanamke hasahau yaan atajifanya amesamehe Ila kuna package ya malipizi amekuandalia kaa mkao wa kutazama
 
Kwan alishindwa nini kumuacha
Mtu ameoa mke ambaye muda wote Bluetooth yake iko on ku connect na nearby devices halafu anaweka namna ya kumpeleleza kama si kutaka kifo ni nini
Huyo Dr alilazimisha maumivu yasiyo ya lazima yaliyopelekea kifo chake sijui ndio mapenzi yalivyo? Upofu na ukiziwi.
Hakukuwa na haja ya kuhack mawasiliano yake, hapa ndipo alipokosea.
 
Ukisoma au kuelezewa how brain process love and heartbreak utajua why sio easy to move on kama unavyoongelea
Ok ni ngumu kweli ila mbona kuna wanaoweza , umeona confessions hapo juu kuna ambao waliacha kila kitu wakaishia na kuanza maisha mapya, kuliko kuishia kufanya maamuzi magumu hivo basi ni bora tu ukajitajidi ku move on mapema
 
Ok ni ngumu kweli ila mbona kuna wanaoweza , umeona confessions hapo juu kuna ambao waliacha kila kitu wakaishia na kuanza maisha mapya, kuliko kuishia kufanya maamuzi magumu hivo basi ni bora tu ukajitajidi ku move on mapema
Personality zinatofautiana, na ukweli ni kwamba only few moves on wengi huishi na maumivu but as time goes wanayaficha na tabasamu.

And aliyeyafanya hayo yote ni mwanaume,, the same gender inayoenda vitani kupigana bila reasonable cause na wanafanya kiroho safi

Kwako unaweza kuona ni unreasonable but akiulizwa mwanaume yeyote akiwa katika hali hiyo iliyomkuta jamaa 90% watasema kukumiza or bring any physical harm huwepo kwenye machaguzi
 
Back
Top Bottom