Kua huru mkuu ndo lengo la huu uzi,Kusaidia watu.Nikiweka hapa taarifa za siri na uhakika kuhusu huduma ya kiboko ya wachawi kesho watu hawataki kwenda pale ,najua mengi na nimejuta kuyajua I was one core
USSR
Mwamposa mwaka wa kumi huu siri zake zipo nje na still nyomi.
Mjini hapa fata yako
Shida haina adabu ukipata matatizo ndo utawajua waganga.Ukiwasanua kwa huyu watahamia pengine so wacha wapigwe tu
Njoo pm Mkuu kama hutojari tusemezaneKua huru mkuu ndo lengo la huu uzi,Kusaidia watu.
If you dont mind please pm me
Naomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.
1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.
2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa(staged miracles).
3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha(MUHIMU SANA)
4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.
kama serikali iliwahi kuwa inakamata wale waganga chonganishi, ikamate na huyu, hana tofauti.Naomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.
1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.
2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa(staged miracles).
3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha(MUHIMU SANA)
4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.
Nikiweka hapa taarifa za siri na uhakika kuhusu huduma ya kiboko ya wachawi kesho watu hawataki kwenda pale ,najua mengi na nimejuta kuyajua I was one core
USSR
USISAHAU,Naomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.
1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.
2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa(staged miracles).
3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha(MUHIMU SANA)
4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.
Tuanzishe jukwaa la dini mjadala mwengine kuhusu uislamu ntakua na mengi,Hapa ilikua ni tahadhari tu kabla ya hatariUSISAHAU,
CCM NA UTAWALA WAKE WANAPENDA UWEPO WA WATU KAMA HAWA.
WATAWALA WANATAMANI UWEPO WA KINA NABII TITO, ZUMARIDI,SHUSHO, NK.
NI RAHISI KUWATAWALA. HAO WAUMINI SIO RAHIS KUA NA MISIMAMAO KAMA WATU WA KENYA.
FUATILIA WAUMINI WAKE, WOTE CHOKA MBAYA.
NI KAMA VILE WATU WAMEALIKWA NA KUNA POSHO WANALIPWA.
HATA WAKIFIKA HATUA YA KUZIKWA NI SAWA TU.
TAIFA LINANUFAIKA KWA KUPUNGUKIWA WAPUMBAVU.
NI ISHARA YA KUSHINDWA KWA UKRISTO DUNIANI.
HATA VIONGOZI WENGINE WA DINI WAKO KIMYA...
SIKU SI NYINGI TAPELI MMOJA, ATAJIITA YESU KRISTO
MEXICO KUNA KANISA LINAUZA VIWANJA HUKO MBUNGUNI!, NA WATU WANANUNUA
DAR ES SALAAM, KUNA KANISA ETI KUZAA NI DHAMBI!
#UISLAMU NDIO DINI PEKEE ILIYO IMARA KIIMANI NA KIITIKADI.