Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Mikwara tu dawa ipo mm Kuna majamaa nafanya nao Kazi walikua wanatumia dawa flan......ngoja antumie picha watsup afu takuandikia jinaWewe nae acha vituko vyako kwenye jambo la kutisha naogopaaaa.
Hapa nimeona Dr. Victoire anasema hauna dawa sijui itakuwaje! ðŸ˜ðŸ˜