Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hili suala lililopo sio shida ya uoni kama ilivyoelezwa kwenye maelezo hayo ya WHOJibu: NDIO
WHO: Takriban nusu ya watu duniani watakuwa na matatizo ya macho kufikia 2050.
Na Dr.Kenge MD, Jini makini,vidole Madini 2024, Tabasamu la furaha linashamiri nyusoni kwa wengi.Ni saa ya Kirumi inaposoma kukamilika kwa Majuma 365 ambayo kwa wanajiografia wanasema "Earth completes its orbit within 365½ days" .Kukamilika kwa mzunguko wa dunia ambao ndani kuna misimu minne...www.jamiiforums.com
Naelewa sio Uoni..Kuna aina ya mlipuko wa homa ya macho..Mara nyingi hutokea maeneo ya Kanda ya ziwa au Mikoa yenye Ziwa..Homa hii inaathiri jicho moja..linakua jekundu na Linawasha husababishwa na Bacteria wasafirishwao kwa hewa(Airbourne disease) hivyo maambukizi yake ni rahisi kama kuambukizana Mafua..Mara nyingi inaisha ndani ya muda mchache hudumu kwa wiki 1 au mbiliMkuu hili suala lililopo sio shida ya uoni kama ilivyoelezwa kwenye maelezo hayo ya WHO
𝐭𝐢𝐛𝐚 𝐚𝐬𝐢𝐥𝐢𝐚Nilikua nikiumwa macho mama anachukua kijiko anaeka maji na sukari ananiweka jichoni siku 2, 3 nishapona.
Hata ukiweka chumvi pia inasaidia.Nilikua nikiumwa macho mama anachukua kijiko anaeka maji na sukari ananiweka jichoni siku 2, 3 nishapona.
Mbona hujamalizia ile story yako ya jeshini,ume tudanganya inaendelea halafu kimya.Nilikua nikiumwa macho mama anachukua kijiko anaeka maji na sukari ananiweka jichoni siku 2, 3 nishapona.
Wewe umefikiria amewekwe kijiko kwenye Jicho lipi?Btw kiswahili kimebadilika siku hizi ukisema "jicho" bila kusema kama ni la kulia au kushoto unakuwa umeongelea kiungo kingine kabisa😄
Ni wewe na tafsiri zako mkuu,so unajua tena kimjaacho MTU....Hata ukiweka chumvi pia inasaidia.
Btw kiswahili kimebadilika siku hizi ukisema "jicho" bila kusema kama ni la kulia au kushoto unakuwa umeongelea kiungo kingine kabisa😄
Umeishia wapi?Mbona hujamalizia ile story yako ya jeshini,ume tudanganya inaendelea halafu kimya.
𝐡𝐚𝐤𝐢𝐤𝐚𝐚Inaitwa Red Eye na inakuwepo kwa msimu. Ile inaambukiza hasa kwa wenye makundi Sawa ya damu. Kwa watoto wanapona haraka Sana ndani ya siku 2-3 Ila mtu mzima wengine wiki na zaidi. Macho yanauma mchangamchanga ndani na Mwanga ni Shida kuangalia. Machozi ya Uhakika. Tiba asili ni kuosha macho na maji ya vuguvugu uliyoweka chumvi kidogo.
𝐍𝐝𝐢𝐨 𝐮𝐦𝐞𝐫𝐞𝐣𝐞𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐬𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚Huo ugonjwa ulinisumbua nikiwa naumri mdogo umetoweka wenyewe