To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
๐๐๐๐๐Tandika Konyagi OG saizi ya kati, machozi yote lazima yakauke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Tandika Konyagi OG saizi ya kati, machozi yote lazima yakauke
UnazinguaMbona hujamalizia ile story yako ya jeshini,ume tudanganya inaendelea halafu kimya.
Sehemu ya 2.Umeishia wapi?
๐๐๐ฌ๐จ๐ค๐จ ๐ค๐๐ฆ๐ ๐๐๐ซ๐ฎ๐ฆ๐, ๐๐ฅ๐๐ฅ๐ ๐ง๐ ๐ ๐ค๐จ๐จ ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐ ๐ฎ๐ง๐๐ค๐ฎ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ค๐๐ฌ๐ข ๐ฒ๐ ๐๐๐จ๐จ๐ ๐ค๐๐๐ง๐ข ๐๐ก๐จ๐ง๐ฃ๐จ ๐ญ๐ฎHuwezi amini nmeisoma hii heading na kumpasia simu rafiki yangu ambaye tangu jana tunahangaika na tatizo hili.
Na sijachukua precautions zozote kwa hiyo kama ni kuambukizwa basi i'm the next.
Sasa story ipo sehemu ya 11 kaangalie.Unazingua
Sehemu ya 2.
Mbona nimesha angalia sana siipatiSasa story ipo sehemu ya 11 kaangalie.
sUbiri nikutagMbona nimesha angalia sana siipati
๐๐Habari wana Jf poleni na majukumu ya kazi na pilika pilika za January hii....
Naomba niende kwenye point ya kukumbushana kuhusu yanayojiri Huku mitaani na Masokoni ambapo wengi wetu tunasaka ridhiki zetu huko,...
Kumekua na ugonjwa mpya wa Macho ambao muathiriwa anakua anatokwa na Machozi huku macho yakibadilika rangi na kwa ya rangi nyekundu mithiri ya mtu anaetumia sigara kubwa pia huambatana ma kutokwa na uchafu sehemu ya Macho hii ni hatari huku mtaani tumeanza kuwa na mashaka kiasi cha kutoaminiana katika kutizamana katika Nyuso hii ni hatari kwa hapa Mjini.
Mamlaka fuatilieni mapema kabla halijawa janga kamili.
Nawasilisha.
Mi nimempata uzuri tuu. Isipokuwa nilikuwa namtahadharisha kuwa, kwenye kutafuta "tafsida" kiswahili kimekuzwa siku hizi neno la kawaida tu linaweza likawa "tata".Wewe umefikiria amewekwe kijiko kwenye Jicho lipi?
Sawa Mkuu. Uwe na weekend njema.Ni wewe na tafsiri zako mkuu,so unajua tena kimjaacho MTU....
Sawa SawaMi nimempata uzuri tuu. Isipokuwa nilikuwa namtahadharisha kuwa, kwenye kutafuta "tafsida" kiswahili kimekuzwa siku hizi neno la kawaida tu linaweza likawa "tata".
Habari wana Jf poleni na majukumu ya kazi na pilika pilika za January hii....
Naomba niende kwenye point ya kukumbushana kuhusu yanayojiri Huku mitaani na Masokoni ambapo wengi wetu tunasaka ridhiki zetu huko,...
Kumekua na ugonjwa mpya wa Macho ambao muathiriwa anakua anatokwa na Machozi huku macho yakibadilika rangi na kwa ya rangi nyekundu mithiri ya mtu anaetumia sigara kubwa pia huambatana ma kutokwa na uchafu sehemu ya Macho hii ni hatari huku mtaani tumeanza kuwa na mashaka kiasi cha kutoaminiana katika kutizamana katika Nyuso hii ni hatari kwa hapa Mjini.
Mamlaka fuatilieni mapema kabla halijawa janga kamili.
Nawasilisha.
Sio kila ugonjwa ni uchafu bobFUA MASHUKA NDUGU
Jumaratu wengi watakuwa ndani ya tinted glassUgonjwa wa macho naona sehemu nyingi umeshambulia hapa dsm
magonjwa yote ya kuambukizwa hutokana na uchafu.Sio kila ugonjwa ni uchafu bob
Kama blood group ni moja ndiyo utaambukizwa hivyo usiwe na Shaka Sana.Huwezi amini nmeisoma hii heading na kumpasia simu rafiki yangu ambaye tangu jana tunahangaika na tatizo hili.
Na sijachukua precautions zozote kwa hiyo kama ni kuambukizwa basi i'm the next.