Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Mikwara tu dawa ipo mm Kuna majamaa nafanya nao Kazi walikua wanatumia dawa flan......ngoja antumie picha watsup afu takuandikia jinaWewe nae acha vituko vyako kwenye jambo la kutisha naogopaaaa.
Hapa nimeona Dr. Victoire anasema hauna dawa sijui itakuwaje! ππ
Nakuombea sana usipate maaana....nyie kina waiti wa kike hamfananiii kuwa na macho mekundu afu yanalia mda woteAsante, nikihisi macho kuwasha tu fasta naiwahi.
Siku mbili tu mambo safiUnanawia maji ya uvuguvugu yenye chumvi,au maji ya baharini. With time unapona wenyewe .
Ohoooo! Pole yakeKuna Mtumishi wa kanisani kwetu yeye na familia yake wanaumwa macho..
Yaani baba Mtumishi amevimba macho...
Kweli kabisa..ni mda sasa nasumbuliwa...Nakikohozi chakukereketa ni janga pia
Taarifa kama hizi ndio hutakiwa kutolewa mapema ili watu wajue namna ya kufanya kabla hali haijawa mbaya zaidiNyie nawe, nendeni mkanawie maji ya baharini itakuwa mnaumwa Nairobi red eyes.Huu ugonjwa huwa unakuja na kuondoka.Si mara ya kwanza. Na mgonjwa anapona vizuri tu,sema ni rahisi sana kuambukizana.
Tena yanaongezekq uneneNakuombea sana usipate maaana....nyie kina waiti wa kike hamfananiii kuwa na macho mekundu afu yanalia mda wote
Ila mpaka saiv sijaona mdada alievimba machoTena yanaongezekq unene
Jana jioni niliqmua kwenda pale udsm kufanya utafiti japo nijue wao kama chuo wamepewa tahadhari gani. Kwa ninavyofaham sehem kama hizi tafmhadgmhari hutolewa mapema.Mm mwenyew tangu jana macho yanawasha na yote nimekundu yameanza kuvimba kama Kuna ka mlipuko hvi tupewe taarifa, nmetumia dawa Lakin bado sijapata nafuu yan machoz yanamwagika tu nanimekundu yanawasha
[emoji23][emoji23][emoji23]Ila mpaka saiv sijaona mdada alievimba macho