DOKEZO Wizara ya Afya, Je, kuna mlipuko wa ugonjwa wa macho?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huwezi amini nmeisoma hii heading na kumpasia simu rafiki yangu ambaye tangu jana tunahangaika na tatizo hili.

Na sijachukua precautions zozote kwa hiyo kama ni kuambukizwa basi i'm the next.
𝐌𝐚𝐬𝐨𝐤𝐨 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐊𝐚𝐫𝐮𝐦𝐞, 𝐈𝐥𝐚𝐥𝐚 𝐧𝐚 𝐊 𝐤𝐨𝐨 𝐡𝐮𝐮 𝐮𝐠𝐨𝐧𝐣𝐰𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐬𝐢 𝐲𝐚 𝐚𝐛𝐨𝐨𝐝 𝐤𝐚𝐞𝐧𝐢 𝐜𝐡𝐨𝐧𝐣𝐨 𝐭𝐮
 
🙄🙄
 

Attachments

  • IMG_20240113_003425.jpg
    31 KB · Views: 7

Red eye,huu ugonjwa ni common sana maeneo ya pwani.
 
Ugonjwa wa macho naona sehemu nyingi umeshambulia hapa dsm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…