TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Watu wasipotoshane incubation ya Corona ni 2-14 days,kuna MTU anasema 6-14 which is wrong.
Kwa wagonjwa licha ya vipimo pia wanngalia historia ya mgonjwa huko alipooka yaani kama zile chanjo za yellow fever.
Ulaya wao wamegundua application ya simu inayokuwezesha kugundua mgonjwa aliyekaribu yako,nadhani hata TZ serikali watakuwa nayo .
Yaani ukipita karibu yangu km in Corona simu inapiga alarm noma sana hiyo app
Kwa wagonjwa licha ya vipimo pia wanngalia historia ya mgonjwa huko alipooka yaani kama zile chanjo za yellow fever.
Ulaya wao wamegundua application ya simu inayokuwezesha kugundua mgonjwa aliyekaribu yako,nadhani hata TZ serikali watakuwa nayo .
Yaani ukipita karibu yangu km in Corona simu inapiga alarm noma sana hiyo app