Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Mungu hapendi watu vuguvugu - leo uko kanisani unakula mkate na divai, kesho unatuma wasiojulika kuteka watu... Huyo alikuwa gent wa shetani tu. Kama Mungu aliisaidia Tanzania ni kwa sababu ya maombi ya Watanzania wengine. Siyo Magufuli.
Kuhusu corona alimtanguliza Mungu na Mungu aliiponya nchi yetu na corona!! Ndiyo maana uko hapa mzima wa afya!! Corona haipo hata wanaoitafuta kwa tochi na kuwatishia watu na wimbi la tatu hawajafanikiwa kuipata wala kuiona! Mungu akipewa nafasi huwa hashindwi!! Tunatishiwa na nyoka aliyekwisha kupondwa kichwa nani atatishika?