Wizara ya Afya waanza kampeni ya kumsafisha Hayati Magufuli

Wizara ya Afya waanza kampeni ya kumsafisha Hayati Magufuli

Sema wapumbavu wenzio, kwani ukivaa barakoa unapungukiwa nini? Kama huna hela ya kununua barakoa, ndugu zako watakuwa na hela ya kukununulia jeneza. Wala haina haja ya kuvaa. Mpumbavu kama wewe ukiondoka ni faida kwetu kwa taifa
 
Nyie vilaza ndio mnatupa tabu.... hivi unajua uchumi wetu unategemea utalii kwa kiasi gani? Unajua jinsi gani misimamo ya Magufuli imevuruga image ya nchi kwa wageni? Hakuna anayesema ije lockdown, lakini hii ya kujifanya kama hakuna tatizo ndio tatizo kubwa. Ulaya mwaka huu ukiisha wanamaliza maswala ya chanjo, unadhani ni mtalii gani atataka kwenda kwenye nchi iliyowekwa kwenye danger zone ya Corona; ambako akienda siku anarudi kwao atafungiwa ndani kwa wiki 2 mpaka 3. Au unadhani tembo na simba wako Serengeti tu?

Huyo mtukufu wenu alikuwa mshamba, asiyejua kufanya hata SWOT analysis, yeye kila kitu anaona dawa yake ni ugomvi tu.
Usipoteze muda na nguvu yako kubishana na hii mizwazwa.. kuhusu corona na hali ya uchumi TZ
Wenyewe choka mbaya kimaisha toka mwanzo, kwahiyo hata uchumi ukiyumba hawaoni tofauti ilimradi akipata mia mia zake tumbo liende choo...
Utakesha hapa....kubishana na mtu anakwambia mungu kaisaidia TZ isipate corona
Na akimwona mzungu njaa anaganga hapa TZ, yeye anaona watalii wamejaa.....
 
Tanzania kuna watu wanafiki na kwa sasa hatuaminiani!, njaa inatuponza, Magufuri hakuamini kuna Corona sababu alikuwa kwenye jumba jeupe wakati huo hakujua ana hitilafu ya afya ambayo gonjwa hilo ndilo rafiki la kuondoa uhai. Ukiwa na tatizo la blood pressure, sukari, HIV +, na hata ujauzito kwa wanawake ikikupata unaenda udongoni. Tujifunze kuacha unafiki. Oneni Viongozi wanavyobadili kauli sababu ya njaa. Mama yetu oyeeeeeee
Magufuli hakuamini kama kuna corona? hivi sio Magufuli huyo huyo mliyokuwa mnasema alikuwa anakimbilia Chato kila corona inapokuwa kali?
 
Sema wapumbavu wenzio, kwani ukivaa barakoa unapungukiwa nini? Kama huna hela ya kununua barakoa, ndugu zako watakuwa na hela ya kukununulia jeneza. Wala haina haja ya kuvaa. Mpumbavu kama wewe ukiondoka ni faida kwetu kwa taifa
Watoto wadogo na kuna baadhi ya maradhi mtu akiwa nayo humletea shida kuvaa barakoa.
 
Mfalme hapingwi hadharani, lakini ni dhahiri wengi walikuwa waoga.
Sasa hivi Magufuli hayupo na rais wa sasa anavaa barakoa ila je muamko wa uvaaji barakoa ukoje? hao mawaziri tu walikuwa hawavai hata baada ya kufa Magufuli, sasa hapo utasema walikuwa wanamuogopa nani?
Maana hata huyo Mama samia kachelewa kuvaa hizo barakoa hadi sijui aliposhauriwa Kenya huko.
 
Maneno aliyokua anayaongea hayati na kuwakalilisha wananchi wake, sasa imekua ngumu kwa Wananchi kuelewa kila ukiwaambia kitu utasikia Mbn Magufuli alisema hivi, mbn Magufuli alisema vile!

Wananchi wamekua wagumu kuvaa Barakoa Hongera wizara Ya Afya kwa View attachment 1827811kutoa Elimu Mujarab
Njaa mbaya?
 
Usipoteze muda na nguvu yako kubishana na hii mizwazwa.. kuhusu corona na hali ya uchumi TZ
Wenyewe choka mbaya kimaisha toka mwanzo, kwahiyo hata uchumi ukiyumba hawaoni tofauti ilimradi akipata mia mia zake tumbo liende choo...
Utakesha hapa....kubishana na mtu anakwambia mungu kaisaidia TZ isipate corona
Na akimwona mzungu njaa anaganga hapa TZ, yeye anaona watalii wamejaa.....
Well noted... Ni majinga sana haya, hayawezi kabisa kuunganisha mambo. Ndio ugonjwa alikuwa nae mwendazake
 
Tunamshukuru Mungu kwa vile kazi yake haina makosa. Na wewe mshukuru kwa kutuondolea udhia.

Udhia ni wewe uliyebaki
Mshukuru Mungu kwa pumzi anayokupa bureee na uache kutukana aliowachukua
 
Wote tutakufa lakini shetani yule alizidi kuwatesa wenzie. Utadhani yeye hakuwa na damu, nyama na mifupa...
Udhia ni wewe uliyebaki
Mshukuru Mungu kwa pumzi anayokupa bureee na uache kutukana aliowachukua
 
Back
Top Bottom