MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Sema wapumbavu wenzio, kwani ukivaa barakoa unapungukiwa nini? Kama huna hela ya kununua barakoa, ndugu zako watakuwa na hela ya kukununulia jeneza. Wala haina haja ya kuvaa. Mpumbavu kama wewe ukiondoka ni faida kwetu kwa taifa