Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Kuhusu corona alimtanguliza Mungu na Mungu aliiponya nchi yetu na corona!! Ndiyo maana uko hapa mzima wa afya!! Corona haipo hata wanaoitafuta kwa tochi na kuwatishia watu na wimbi la tatu hawajafanikiwa kuipata wala kuiona! Mungu akipewa nafasi huwa hashindwi!! Tunatishiwa na nyoka aliyekwisha kupondwa kichwa nani atatishika?
Mkuu jikite kwenye issues sio personalitiesWatanzania wengi mno ni wanafiki wakubwa, na hata sasa wote mnaobwatuka humu, barakoa hamvai!! ni unafiki tu wa kijinga na kulaumu wengine wakati hata wewe hapo ulipo, huna barakoa wala huzingatii chochote, ajabu zaidi, upo, na korona hupati
Mkuu Tanzania ni kubwa kuliko Magufuli. Serikali lazima ilinde hadhi yake bila kujali nani ni Rais wa wakati huo. Hizi mbinu zake za kishirikina za kupambana na Corona ndio zinaleta shida sasa kwa Serikali sasa.Hayati Magufuli alifanikiwa sana katika kuthibiti hofu ya corona ndiyo maana mpaka sasa hivi tunadunda salama salimini. Angalia majirani zetu pamoja na lockdown zao ikiwemo kutumia chanjo bado corona inawapiga sana tu. Tutamkumbuka sana Jemedari Magufuli. Nyinyi wapinga kila kitu tumeshawazoea ingawaje kwenye mioyo yenu inawasuta sana tu.
Mfalme hapingwi hadharani, lakini ni dhahiri wengi walikuwa waoga.Huyo Rais yeye alivaa lini barakoa wakati alivyokuwa Makamu wa rais?
Mkuu usijidanganye kabisa Corona ni tofauti sana na HIV, hii nikuomba kila mtu ajikinge,jamii ikichafuka lazima uipate maana inaambukizwa naweza sema kizembe sana.Watajijuwa mie na familia yangu najikinga
Wadudu wadogo wadogo wamekwisha maliza kazi yao. Wamebakiza mifupa tu...
madhara yake akaenda na kimbunga cha coronaMadhara yake ni yapi ni kwamba watu walikufa na kuumwa corona kwa sababu ya kutovaa barakoa?
Umenichekesha sana 🤣🤣🤣Kama masikhara vile Magufuli kaingia level za Nyerere...mawazo chanya huishi miaka dahali.
Acha utopolo wewe unazungumzia nini? TZ haina shida ya corona kama majirani zetu kwa kuwa tulikuwa makini na mbinu za kibeberu au wewe uko nje ya nchi nini? Tumefaulu sana katika kupambana na corona hakuna cha lockdown wala nini wakati majiranj zetu wamehangaika sana na bado wanahangaika sasa unataka kusema TZ hajafanya vizuri kwenye kupambana na corona?Mkuu Tanzania ni kubwa kuliko Magufuli. Serikali lazima ilinde hadhi yake bila kujali nani ni Rais wa wakati huo. Hizi mbinu zake za kishirikina za kupambana na Corona ndio zinaleta shida sasa kwa Serikali sasa.
Ungekua na elimu ya uhai ukajua nafasi ya mwili, roho na nafsi usingeandika ulichoandika
Ila nikuache tuu wewe muumini wa amstadam
Ungekuwa mtu wa imani ungekubali kuwa kazi ya Mungu haina makosa. Alazwe kwa kadiri ya matendo yake (alipojichagulia) - risasi kwa Lissu, kudukuwa maongezi ya watu, kesi za kubambikizia watu, wizi wa kura za uchaguzi 2020, kula hela ya msaada wa tetemeko, matusi ya nguoni...
Huu uongo, virus vinawekwaje kwenye barakoa?,wangepigana vita kali,,barakoa zilikua zinakataliwa sababu nyingine zilikua na mapungufu,,sio kwamba eti kuna watu walichota virusi na kuweka kunako barakoa,,hiyo haiwezekniSio tuliaminishwa, Bali ni ukweli kwamba, Zipo nchi ambazo ziliagiza barakoa ktoka nchi zingine, baada ya kufikishwa zilionekana kuwa na virusi vya Corona
mf, Us aliagiza barakoa kutoka uchina, tuliona kwa macho yetu, zikirudishwa
Ni kwa nini mtu useme waliaminishwa na wakati ni kweli kulionekana kuwepo barakoa zenye virusi?
Tanzania kuna watu wanafiki na kwa sasa hatuaminiani!, njaa inatuponza, Magufuri hakuamini kuna Corona sababu alikuwa kwenye jumba jeupe wakati huo hakujua ana hitilafu ya afya ambayo gonjwa hilo ndilo rafiki la kuondoa uhai. Ukiwa na tatizo la blood pressure, sukari, HIV +, na hata ujauzito kwa wanawake ikikupata unaenda udongoni. Tujifunze kuacha unafiki. Oneni Viongozi wanavyobadili kauli sababu ya njaa. Mama yetu oyeeeeeeeManeno aliyokua anayaongea hayati na kuwakalilisha wananchi wake, sasa imekua ngumu kwa Wananchi kuelewa kila ukiwaambia kitu utasikia Mbn Magufuli alisema hivi, mbn Magufuli alisema vile!
Wananchi wamekua wagumu kuvaa Barakoa Hongera wizara Ya Afya kwa View attachment 1827811kutoa Elimu Mujarab
Nyie vilaza ndio mnatupa tabu.... hivi unajua uchumi wetu unategemea utalii kwa kiasi gani? Unajua jinsi gani misimamo ya Magufuli imevuruga image ya nchi kwa wageni? Hakuna anayesema ije lockdown, lakini hii ya kujifanya kama hakuna tatizo ndio tatizo kubwa. Ulaya mwaka huu ukiisha wanamaliza maswala ya chanjo, unadhani ni mtalii gani atataka kwenda kwenye nchi iliyowekwa kwenye danger zone ya Corona; ambako akienda siku anarudi kwao atafungiwa ndani kwa wiki 2 mpaka 3. Au unadhani tembo na simba wako Serengeti tu?Acha utopolo wewe unazungumzia nini? TZ haina shida ya corona kama majirani zetu kwa kuwa tulikuwa makini na mbinu za kibeberu au wewe uko nje ya nchi nini? Tumefaulu sana katika kupambana na corona hakuna cha lockdown wala nini wakati majiranj zetu wamehangaika sana na bado wanahangaika sasa unataka kusema TZ hajafanya vizuri kwenye kupambana na corona?
Ulimuona akimpiga Tundu risasi? Rais wetu Samia alishawaambia aliyepiga zile risasi sio serikali wala aliyepiga zile risasi hawezi kuwa askari wake kamwe!
Sasa wewe ulikua unamchukia JPM siku zote nilijua ameondoka ameondoka kwa mapenzi ya Mungu roho yako imetulia. Ila sasa nashangaa Gubu na hasiraaaa zinavyokupamba moto......
Pole mwaya
Kwani Tanzania tuna Corona?Ukweli ni kwamba watu tuliaminishwa kuwa Tanzania hakuna korona na kuhusu kujikinga kwa barakoa tuliaminishwa barakoa zina korona,hivyo kwa serikali hii baada ya kubadilisha gia angani wanapata shida sana kuelimisha watu kuhusu kujikinga,ndio maana mtaani watu tupo tupo tu na ukimwona mtu kavaa barakoa tunamshangaa,ndio maana kwa sasa wizara wanajaribu kurejea maneno ya mwenda zake kwa sehemu alizo jaribu kuhimiza watu kuchukua taadhari ya kujikinga na korona,wanajaribu kumtumia kwa vile yeye ndiye aliye tufanya tuamini hakuna korona.ukweli ni kwamba mzee alituondoa hofu kiasi kilichopitiliza