MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Usipoteze muda na nguvu yako kubishana na hii mizwazwa.. kuhusu corona na hali ya uchumi TZNyie vilaza ndio mnatupa tabu.... hivi unajua uchumi wetu unategemea utalii kwa kiasi gani? Unajua jinsi gani misimamo ya Magufuli imevuruga image ya nchi kwa wageni? Hakuna anayesema ije lockdown, lakini hii ya kujifanya kama hakuna tatizo ndio tatizo kubwa. Ulaya mwaka huu ukiisha wanamaliza maswala ya chanjo, unadhani ni mtalii gani atataka kwenda kwenye nchi iliyowekwa kwenye danger zone ya Corona; ambako akienda siku anarudi kwao atafungiwa ndani kwa wiki 2 mpaka 3. Au unadhani tembo na simba wako Serengeti tu?
Huyo mtukufu wenu alikuwa mshamba, asiyejua kufanya hata SWOT analysis, yeye kila kitu anaona dawa yake ni ugomvi tu.
Magufuli hakuamini kama kuna corona? hivi sio Magufuli huyo huyo mliyokuwa mnasema alikuwa anakimbilia Chato kila corona inapokuwa kali?Tanzania kuna watu wanafiki na kwa sasa hatuaminiani!, njaa inatuponza, Magufuri hakuamini kuna Corona sababu alikuwa kwenye jumba jeupe wakati huo hakujua ana hitilafu ya afya ambayo gonjwa hilo ndilo rafiki la kuondoa uhai. Ukiwa na tatizo la blood pressure, sukari, HIV +, na hata ujauzito kwa wanawake ikikupata unaenda udongoni. Tujifunze kuacha unafiki. Oneni Viongozi wanavyobadili kauli sababu ya njaa. Mama yetu oyeeeeeee
Watoto wadogo na kuna baadhi ya maradhi mtu akiwa nayo humletea shida kuvaa barakoa.Sema wapumbavu wenzio, kwani ukivaa barakoa unapungukiwa nini? Kama huna hela ya kununua barakoa, ndugu zako watakuwa na hela ya kukununulia jeneza. Wala haina haja ya kuvaa. Mpumbavu kama wewe ukiondoka ni faida kwetu kwa taifa
Ushazoea kuuzwa wewe bwabwaJPM alikuwa sahihi katika kushughulika na Korona. Huyu mama anatupotosha na kutuuza ili apate mikopo ya mabeberu.
Sasa hivi Magufuli hayupo na rais wa sasa anavaa barakoa ila je muamko wa uvaaji barakoa ukoje? hao mawaziri tu walikuwa hawavai hata baada ya kufa Magufuli, sasa hapo utasema walikuwa wanamuogopa nani?Mfalme hapingwi hadharani, lakini ni dhahiri wengi walikuwa waoga.
Njaa mbaya?Maneno aliyokua anayaongea hayati na kuwakalilisha wananchi wake, sasa imekua ngumu kwa Wananchi kuelewa kila ukiwaambia kitu utasikia Mbn Magufuli alisema hivi, mbn Magufuli alisema vile!
Wananchi wamekua wagumu kuvaa Barakoa Hongera wizara Ya Afya kwa View attachment 1827811kutoa Elimu Mujarab
Well noted... Ni majinga sana haya, hayawezi kabisa kuunganisha mambo. Ndio ugonjwa alikuwa nae mwendazakeUsipoteze muda na nguvu yako kubishana na hii mizwazwa.. kuhusu corona na hali ya uchumi TZ
Wenyewe choka mbaya kimaisha toka mwanzo, kwahiyo hata uchumi ukiyumba hawaoni tofauti ilimradi akipata mia mia zake tumbo liende choo...
Utakesha hapa....kubishana na mtu anakwambia mungu kaisaidia TZ isipate corona
Na akimwona mzungu njaa anaganga hapa TZ, yeye anaona watalii wamejaa.....
Tunamshukuru Mungu kwa vile kazi yake haina makosa. Na wewe mshukuru kwa kutuondolea udhia.
Ndiyo sababu shetani akamzaba kibao mpaka kazindukia kuzimu!Sasa ulitaka aseme shetani hoyee?
Shetani anamshughulikia hivi sasa!It's just another way of celebrating God. Haina tofauti na wale wanaosema haleluya.
Ana amani tele huko aliko.Shetani anamshughulikia hivi sasa!
[emoji16][emoji16]shujaa kalalaShujaa JPM
Aendelee kulala salama
Udhia ni wewe uliyebaki
Mshukuru Mungu kwa pumzi anayokupa bureee na uache kutukana aliowachukua
[emoji16][emoji16]shujaa kalala
Wote tutakufa lakini shetani yule alizidi kuwatesa wenzie. Utadhani yeye hakuwa na damu, nyama na mifupa...
Sasa amefariki mbona bado unateseka😂😂😂
Kusherehekea ni kuteseka? Una wazimu nini?
Ona unavyoteseka🤣🤣🤣🤣
Hadi mishipa ya vidole imekutoka hahaha