Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Kuna jamaa mpumbavu anaseme eti karogwa na waha ,niliona clip yake kweny group la madereva ila hajui kwamba ugonjwa umeingia😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tiba za wazazi hizi..Unaweka maji nusu kijiko na sukari unachanganya hapo unatia machoni hata mara 2 kwa siku wiki haiishi umepona.
😂 akili ikishaamini ushirikina kuna muda hata mambo ya kawaida kabisa mtu atahusishwa na kulogwa.Kuna jamaa mpumbavu anaseme eti karogwa na waha ,niliona clip yake kweny group la madereva ila hajui kwamba ugonjwa umeingia😂😂
Ntajaribu hiiTiba za wazazi hizi..
Mshua wangu ye anakwambia mafua yakibana, chukua maji tia na tuchumvi weka puani.
Binafsi sijawahi kujaribu sbb naelewa maji yakifika kisogoni yanavyouma.
Hii ni Dar mkurugenzi, huko mikoani mseme pia hali ipoje.kabla ya kupeana taharuki, mtaje na mikoa mliyopo.
Arusha ndio kwanza naisikia hii habari sahii.. sijakutana na mtu pia
🤣🤣🤣 unashangaa kwa kua huon unawekewa k**pori unasema di kitu inabana kumbe k**pori.Ngoja nijaribu aisee nsije nkapofuka nkashindwa kuwaona wadada wazuri
Arusha 0-0Hii ni Dar mkurugenzi, huko mikoani mseme pia hali ipoje.
Tonsillitis! Mama anaingiza kidole hadi kooni anayabinya yanapasuka halafu anakupa maji ya chumvi unyweTiba za wazazi hizi..
Mshua wangu ye anakwambia mafua yakibana, chukua maji tia na tuchumvi weka puani.
Binafsi sijawahi kujaribu sbb naelewa maji yakifika kisogoni yanavyouma.
Ni kheri huku tayari kuna taharukiArusha 0-0
Duh sijawahi hiyo.. mimi na huu uoga sijui kama ningekubali 🤣🤣Tonsillitis! Mama anaingiza kidole hadi kooni anayabinya yanapasuka halafu anakupa maji ya chumvi unywe
After hapo homa inakata na Tonsillitis unapona.
Wazee wana tiba zao za hatari nusu kaputi!😄Duh sijawahi hiyo.. mimi na huu uoga sijui kama ningekubali 🤣🤣
Usisahau kunipa mrejesho.Ngoja nijaribu aisee nsije nkapofuka nkashindwa kuwaona wadada wazuri
Ntakutumia nauli uje kuniona!Usisahau kunipa mrejesho.
Nikajua somo limekuingiaNtakutumia nauli uje kuniona!
Mwenyewe nimepishana na mtu anao nikahisi macho kuwasha na kutoa machozi.Mimi kila nikiona mtu mwenye huo Ugonjwa...Napata hofu hapo hapo macho kama yanawasha[emoji1787]
Ila kuna mtu leo kaniambia kama ulishawahi kuumwa 'Red Eyes' huwezi kuumwa tena..Ni kweli?
Na unafanya hadi Sura inavimba...Mwenyewe nimepishana na mtu anao nikahisi macho kuwasha na kutoa machozi.
Ndio ukimuona mgonjwa siriazi sana anatisha, kuna dada kavimba mpaka anajifunika uso.Na unafanya hadi Sura inavimba...