mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Home boy hebu wakumbushie humuuuelimu ya huyo mtu tafadhali
kataaaa ndoaaaaa
[emoji1]
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Home boy hebu wakumbushie humuuuelimu ya huyo mtu tafadhali
Hivi hakuna Dawa inaweza kutumika kujizuia usikupate?Ndio ukimuona mgonjwa siriazi sana anatisha, kuna dada kavimba mpaka anajifunika uso.
Sijajua bado labda wataalam watuelezeHivi hakuna Dawa inaweza kutumika kujizuia usikupate?
Wamezipata mkuuPoleni sana watu wa daslamu
Dar ni hatari, leo kwenye daladala nimemuona mtu aisee macho yamekua kama nyanya iliyoiva sana , hadi nimeogopa😆kabla ya kupeana taharuki, mtaje na mikoa mliyopo.
Arusha ndio kwanza naisikia hii habari sahii.. sijakutana na mtu pia
Duh! Chukueni tahadhari jamani..Dar ni hatari, leo kwenye daladala nimemuona mtu aisee macho yamekua kama nyanya iliyoiva sana , hadi nimeogopa😆
Ni kutoshikana mikono tu, kunawa mengine basi itakavyokua😔Duh! Chukueni tahadhari jamani..
Huyo atafute tiba nani amrogeHuyu ndio jamaa anadai karogwa 😅😅, watanzania wapewe elimu bhana.
👇👇😅
Pole ulitumia dawa gani jana nilihisi nimeupata ila nmeamka asubuhi niko fresh kabisa.Niliugua huu ugonjwa kuna kipindi ulikithiri Dar...macho yalikua nyanya...
Hapa ndo penyewe , kujisuguma macho unaongeza tatizo zaidi na zaidiishi hapa, usipeleke mikono machoni
utanishukuru