Umemsahau na Eliasi kihombo.Topics ni nyingi sana na ni ngumu kwa mwanafunzi kuelewa vizuri. Huwa sometimes nawaza niliwezaje kuzisoma topics zote katika kipindi kifupi kama kile.
Physical measurements (Errors & dimensions)
Mechanics
Fluid dynamics
Heat
Wave motion
Current electricity
Electrostatics
Electromagnetism
Electronics
Atomic physics
Environmental physics
Kila topic hapo ina subtopics ambazo unaweza ukatunga kitabu.
Rip Muddy physics,
Mgote
Mtiiga
Enzi hizo tuition mchikichini na Mwenge ITV.
Huyo hakuwepo enzi zetu miaka ya 2005Umemsahau na Eliasi kihombo.
Dah mzee baba umenikumbusha mbali sana nlikuwa na UP (university physics) na Muncaster langu dadeki. Ngumu kumeza ileEnzi zetu daah tulisoma kwa tabu sana
Yale ma Chand, muncaster, Ramsden, nelkon,
Masyllabus ya India na ulaya
Haikuwa kazi rahisi kutoboa.
Uyu si Aliachaga chuo akaanz kufundisha tuition na kuandika vitabu vilikua msaada sana ,Rip mwamba T.O Elias kihombo tutamkumbukaUmemsahau na Eliasi kihombo.
We ni ticha dotto nini wa temeke?Acheni Ngono someni
Mimi nimefundisha hapo Temeke Advance wanafunzi mnatombana Sana.
Mwanafunzi smart hawezi kufeli Advance pia huko vijijin ngono imetawala . Serikali naomba Alama ziongezwe za kutoka Advance kuja chuo kikuu Angalau D inabidi Kuanzia 65+
Alihitimu kidato Cha sita 2006 pale tosamaganga na kuwa TO.Uyu si Aliachaga chuo akaanz kufundisha tuition na kuandika vitabu vilikua msaada sana ,Rip mwamba T.O Elias kihombo tutamkumbuka
Kweli mkuu umenena.Sasa hivi necta wanawatungia mitihani ya kila mtu afaulu tu!! Enzi zile ukiondoka na Division One A-level PCM,PCB au PGM we kidume!!!
Alifariki miaka miwili iliyopita.RIPMuddy physics ivi bado yupo mchikidown pale?
RIP miamba inaondoka ,kweli vizuri havidumuAlifariki miaka miwili iliyopita.RIP
Acheni Ngono someni
Mimi nimefundisha hapo Temeke Advance wanafunzi mnatombana Sana.
Mwanafunzi smart hawezi kufeli Advance pia huko vijijin ngono imetawala . Serikali naomba Alama ziongezwe za kutoka Advance kuja chuo kikuu Angalau D inabidi Kuanzia 65+
Advance sio kwa kila mtu pia sio lazima. Inaitwa ADVANCED or high school so why uende high bakia na ordinary inatosha later college baadaye University maisha muruaWanafunzi wengi wa Advance wamejikuta kwenye hali ngumu hususani kwenye masomo ya Mathematics, Physics, Chemistry na Biology
Kwanza, Mambo ya kujifunza ni mengi sana (materials) bila kupima uwezo wa ubongo wa mwanafunzi ivo kupelekea kufeli
Pili,Uchache ama ufinyu wa mda, miaka miwili kwa mwanafunzi wa PCB, PCB ni ngumu kumfanya aelewe kila kitu na inapelekea wengi kukariri tu masomo kama form one.
Tatu, Kukosekana kwa vitabu vyenye kukamilika (contents) zote zitakazoweza kumsaidia mwanafunzi kuelewa Jambo kiundani mfano vitabu vya TIE (physics, Chemistry, Mathematics and Biology) havijitoshelezi.
Hivyo Wadau wa Elimu kwa kushirikiana na Wizara haina budi kutatua tatizo hili. Maana itazalisha wataalamu nyanja za juu wasio na ubora unaohitajika.
Nakaribisha maoni na proposal zipi zifanyike kusolve hili suala
Huyu ana mental problem sio bure mkuu. Yaani sio lazima uwe mirembe Ile inakuwaga serious you can't your handle your mind or the people talking in your head so wakiwa wanaongea na wewe huku unaongea Basi.We kama mtu serious umeisaidia nini Nchi so far?
D ianzie 65+ wewe vyeti vyako vikibadilishwa saiv utajikuta una Division 4 mbovu sana au zero.
Fundisheni watu wapate maarifa sio wapate grades nzuri mwisho wa siku tumesoma lakini hatuna maarifa ya kutengeneza hata kijiti cha kuchokonoa meno.
Hovyo sana waafrika tunawekeza kukomoa sana na kukariri.
Afrika haitoboi kwa akili hizi tulizonazo za kuangalia grades tu
Wametoa mwaka 2020 vya TIE ni vizuri mno mimi nimevipitia Biology na Chemistry nasema viko bomba na deep..Cha kusikitisha ni kuwa wizara haina muongozo wala vitabu vilivyotungwa kuzingatia mitaala ya elimu ya Advanced level.
Kwenye physics haijulikani ni kitabu gani mwanafunzi atumie, Chand's vya muhindi au vya mzungu.
Hapan tunategemea wadau Kam ninyi mfikishe ujumbe ,karibu kutoa maoni mkuuMtoa mada anasubiri kuwa miongoni mwa wazee watakaotoa maoni yao kwenye katiba mpya. Sidhani kama tutarudi uchumi wa kati kwa kweli
Nakataa kwa 100% wanaovitumia nna maoni yao mengi wanasema havina maajabu,usiingize siasa mkuuWametoa mwaka 2020 vya TIE ni vizuri mno mimi nimevipitia Biology na Chemistry nasema viko bomba na deep..