Wizara ya Elimu: Shule za bweni shule za msingi zifungeni. Ni uzembe wa malezi

Wizara ya Elimu: Shule za bweni shule za msingi zifungeni. Ni uzembe wa malezi

Hao wazazi wanaopeleka watoto wadogo shule wanaohitaji malezi ndio wana matatizo na hawana huruma kwa watoto waliowazaa wenyewe, dah nilisikitika wale watoto waliokufa kagera wazazi kama hatuwezi kulea ni Bora kuacha kuzaa sasa.
... kwa hiyo ajali za moto hukumba watoto shule za wadogo tu au sio? Nadhani msisitizo na viwango viwekwe kwa shule zote kuanzia za watoto hadi maeneo mengine ambako watu huishi kwa mikusanyiko mikubwa. Kwani ajali ikiteketeza wazee wanaolelewa kwenye makambi ndio haitakuwa na shida kisa ni wazee? Au moto ukiteketeza wagonjwa mahospitalini tudai wagonjwa watibiwe majumbani?

Hoja ya msingi ni mazingira rafiki kila mahali binadamu wanapoishi kwa mikusanyiko iwe suleni, mahospitalini, majeshini, n.k. Shule za watoto wadogo ziwe na mazingira rafiki kwa ajili ya watoto wadogo. Wasiokidhi vigezo wasipewe vibali vya kuendesha shule za aina hiyo; hivyo kwa shule za wakubwa, n.k.

By the way, tafiti zinaonesha wengi wa wanaoingia kwenye utendaji kwa wingi (wanaokamata fursa kwa wingi) kwa kizazi hiki ni waliosoma boarding since early childhood.
 
... kwa hiyo ajali za moto hukumba watoto shule za wadogo tu au sio? Nadhani msisitizo na viwango viwekwe kwa shule zote kuanzia za watoto hadi maeneo mengine ambako watu huishi kwa mikusanyiko mikubwa. Kwani ajali ikiteketeza wazee wanaolelewa kwenye makambi ndio haitakuwa na shida kisa ni wazee? Au moto ukiteketeza wagonjwa mahospitalini tudai wagonjwa watibiwe majumbani?

Hoja ya msingi ni mazingira rafiki kila mahali binadamu wanapoishi kwa mikusanyiko iwe suleni, mahospitalini, majeshini, n.k. Shule za watoto wadogo ziwe na mazingira rafiki kwa ajili ya watoto wadogo. Wasiokidhi vigezo wasipewe vibali vya kuendesha shule za aina hiyo; hivyo kwa shule za wakubwa, n.k.

By the way, tafiti zinaonesha wengi wa wanaoingia kwenye utendaji kwa wingi (wanaokamata fursa kwa wingi) kwa kizazi hiki ni waliosoma boarding since early childhood.
Hata wajinga hufanya tafiti, Boss! ikimaanisha matokeo ya tafiti zao ni ya kijinga. Ulaya iliwahi kusema kama wewe, tafiti ziliwaambia ushoga ni tabia ya kuzaliwa nayo, genetical. Je, leo hii baada ya kufanikiwa kuwaingiza wengi kwenye tabia hiyo unayasikia tena mambo ya genetical?

Kilichozungumziwa hapa ni watoto kuingizwa mazingira hatarishi kwa ujinga wa wazazi. wewe unaleta mambo ya watu wazima, wazee na mara unasema tafiti sijui za nini! Kwani mzee anahitaji kufundishwa kupenga kamasi? Nani kasema ajali hazipo duniani?
 
Mimi nasema mtoto aende boarding akiwa advance sikuhizi watoto Wana maliza mapema ni vizuri wazazi tuwalee watoto mpaka wapevuke ndio tuwapeleke boarding.
Kuna wazazi wanwapeleka watoto shuleni kuanza wakiwa na 5 years! Sijui kama wanafahamu kwa nini miaka yote serikali ilitaka miaka 7? Tuna ulimbukeni eti amalize mapema; mapema aende wapi? Hawa wanajikuta madarasani na watoto wa umri usio wao na kuanaza kuathirika.
 
Kuna wazazi wanwapeleka watoto shuleni kuanza wakiwa na 5 years! Sijui kama wanafahamu kwa nini miaka yote serikali ilitaka miaka 7? Tuna ulimbukeni eti amalize mapema; mapema aende wapi? Hawa wanajikuta madarasani na watoto wa umri usio wao na kuanaza kuathirika.
Uko sahihi kabisa hafu umri huo mtoto anahitaji malezi ya wazazi wote maana ni stage muhimu hata kuanzia upendo sasa huko boarding wanajifunza saa ngapi sasa
 
...
Kilichozungumziwa hapa ni watoto kuingizwa mazingira hatarishi kwa ujinga wa wazazi. wewe unaleta mambo ya watu wazima, wazee na mara unasema tafiti sijui za nini! Kwani mzee anahitaji kufundishwa kupenga kamasi? Nani kasema ajali hazipo duniani?
... "kwa ujinga wa wazazi"; kwamba wazazi wote wanaopeleka watoto boarding ni wajinga!

Ni jukumu la serikali kuweka na kusimamia miongozo na viwango vya mazingira ya kujifunzia kwa watoto ambavyo watoa huduma (shule) wanatakiwa kuvifuata na sio kufuta kabisa boarding kwa watoto wadogo. Sio Tanzania pekee yenye boarding kwa watoto.
 
Wazazi hawajui tu ila wanawafelisha sana watoto kuwabwaga boarding school katika umri mdogo.

Alafu shule nyingine + wazazi bila hata aibu utawasikia, "Darasa la nne na la saba ni lazima." Ukiwauliza huo ulazima unatokana na nini. Eti bila hivyo matokeo yatakuwa mabaya. Kweli uache kumkomalia mtoto kusoma darasa la I, II, III ukitarajia kwamba boarding school ndo itafanya muujiza darasa la IV au VII?🤔🤔

Mi ndo maana huwa nasema sitopelekeshwa na shule hata siku moja. Maadam ada inalipwa basi ikibidi ntamuhamisha dogo kadri inavyobidi ili asije akakumbana na mbwembwe za kipuuzi.
kuna shule ipo kigamboni inaitwa Excle hawa wanasema lazima darasa I la nne na la saba wakae boarding, lakini mtoto ukienda kumuona amebaki mifupa, ooh bila kukaa boarding hata pata matokeo mazuri maana masomo yanaanza saa 11 alfajiri. Waziri kataza hii kitu hata sisi tulisoma day mpaka secondary ndiyo tulienda boarding school
 
Ambao tumekulia boarding tunacomment wapi...mbona fresh tu inamjenga mtoto asiwe mbinafsi pia
 
... "kwa ujinga wa wazazi"; kwamba wazazi wote wanaopeleka watoto boarding ni wajinga!

Ni jukumu la serikali kuweka na kusimamia miongozo na viwango vya mazingira ya kujifunzia kwa watoto ambavyo watoa huduma (shule) wanatakiwa kuvifuata na sio kufuta kabisa boarding kwa watoto wadogo. Sio Tanzania pekee yenye boarding kwa watoto.
Mkuu unazaa watu utegemee wengine wakulelee mbona hyo hatari Sana
 
... kwa hiyo ajali za moto hukumba watoto shule za wadogo tu au sio? Nadhani msisitizo na viwango viwekwe kwa shule zote kuanzia za watoto hadi maeneo mengine ambako watu huishi kwa mikusanyiko mikubwa. Kwani ajali ikiteketeza wazee wanaolelewa kwenye makambi ndio haitakuwa na shida kisa ni wazee? Au moto ukiteketeza wagonjwa mahospitalini tudai wagonjwa watibiwe majumbani?

Hoja ya msingi ni mazingira rafiki kila mahali binadamu wanapoishi kwa mikusanyiko iwe suleni, mahospitalini, majeshini, n.k. Shule za watoto wadogo ziwe na mazingira rafiki kwa ajili ya watoto wadogo. Wasiokidhi vigezo wasipewe vibali vya kuendesha shule za aina hiyo; hivyo kwa shule za wakubwa, n.k.

By the way, tafiti zinaonesha wengi wa wanaoingia kwenye utendaji kwa wingi (wanaokamata fursa kwa wingi) kwa kizazi hiki ni waliosoma boarding since early childhood.
Mimi sijali mazingira sijui blah blah Ila honestly mtoto wangu from 0 to 14 years lazima niwe karibu naye nimulelee na nimfunze Mambo mengi nitakavyo mtoto mdogo wa primary nimupeleke boarding akafanye nini sasa huko ni kukwepa majukumu ataenda boarding akiwa advance
 
... "kwa ujinga wa wazazi"; kwamba wazazi wote wanaopeleka watoto boarding ni wajinga!

Ni jukumu la serikali kuweka na kusimamia miongozo na viwango vya mazingira ya kujifunzia kwa watoto ambavyo watoa huduma (shule) wanatakiwa kuvifuata na sio kufuta kabisa boarding kwa watoto wadogo. Sio Tanzania pekee yenye boarding kwa watoto.
Hiyo sentence yako ya kwanza Ni very true na inapendeza ukiipigia mstari kabisa
 
... "kwa ujinga wa wazazi"; kwamba wazazi wote wanaopeleka watoto boarding ni wajinga!

Ni jukumu la serikali kuweka na kusimamia miongozo na viwango vya mazingira ya kujifunzia kwa watoto ambavyo watoa huduma (shule) wanatakiwa kuvifuata na sio kufuta kabisa boarding kwa watoto wadogo. Sio Tanzania pekee yenye boarding kwa watoto.
Sijui kama kiingereza kinapanda; Ujinga ni ignorance. Je ni ajabu wenye ignorance kuambiwa wana ignorance? Ni wajinga na nikweli, na siyo ajabu!
 
... "kwa ujinga wa wazazi"; kwamba wazazi wote wanaopeleka watoto boarding ni wajinga!

Ni jukumu la serikali kuweka na kusimamia miongozo na viwango vya mazingira ya kujifunzia kwa watoto ambavyo watoa huduma (shule) wanatakiwa kuvifuata na sio kufuta kabisa boarding kwa watoto wadogo. Sio Tanzania pekee yenye boarding kwa watoto.
Nchi gani ya maana inaruhusu boarding za aina hii?
Usiwaite watoa huduma, hawa ni wafanyabiashara ya elimu.
 
Nchi gani ya maana inaruhusu boarding za aina hii?
Usiwaite watoa huduma, hawa ni wafanyabiashara ya elimu.
... kwako nchi ya maana ni nchi ya aina gani labda?
 
Sijui kama kiingereza kinapanda; Ujinga ni ignorance. Je ni ajabu wenye ignorance kuambiwa wana ignorance? Ni wajinga na nikweli, na siyo ajabu!
... wazazi wote wanaopeleka watoto boarding WOTE ni wajinga au siyo? Na serikali kwa kuruhusu hilo WOTE (serikali) ni wajinga! Aisee!
 
Mimi sijali mazingira sijui blah blah Ila honestly mtoto wangu from 0 to 14 years lazima niwe karibu naye nimulelee na nimfunze Mambo mengi nitakavyo mtoto mdogo wa primary nimupeleke boarding akafanye nini sasa huko ni kukwepa majukumu ataenda boarding akiwa advance
Yes; now you're talking! Huo ni mtazamo na preference yako lazima viheshimiwe! Sio sahihi kuwaona wenye mtazamo tofauti eti ni WAJINGA! Serikali kuruhusu hizo shule nao (serikali) ni WAJINGA? Funny!
 
Mkuu unazaa watu utegemee wengine wakulelee mbona hyo hatari Sana
... nani anamlelea mwingine? Malezi yanaanzia na kuishia wapi (umri)? Kumbuka wazazi wanalipia; tena fedha hivyo napingana na hiyo "red".
 
... nani anamlelea mwingine? Malezi yanaanzia na kuishia wapi (umri)? Kumbuka wazazi wanalipia; tena fedha hivyo napingana na hiyo "red".
Kwahyo unatoa hela wakulelee mtoto under 10 kweli, Mimi napenda kulea mwenyewe huko shule walimu wanatabia zao, na kule wanafundishwa elimu tu ku cremisha other social skills hamna
 
Yes; now you're talking! Huo ni mtazamo na preference yako lazima viheshimiwe! Sio sahihi kuwaona wenye mtazamo tofauti eti ni WAJINGA! Serikali kuruhusu hizo shule nao (serikali) ni WAJINGA? Funny!
Hyo ya mjinga umeona wapi maana sija mention, but kila mtu na mtazamo wake kwa jambo so sio big deal anyway
 
Back
Top Bottom