Wizara ya Elimu: Shule za bweni shule za msingi zifungeni. Ni uzembe wa malezi

Wizara ya Elimu: Shule za bweni shule za msingi zifungeni. Ni uzembe wa malezi

... "kwa ujinga wa wazazi"; kwamba wazazi wote wanaopeleka watoto boarding ni wajinga!

Ni jukumu la serikali kuweka na kusimamia miongozo na viwango vya mazingira ya kujifunzia kwa watoto ambavyo watoa huduma (shule) wanatakiwa kuvifuata na sio kufuta kabisa boarding kwa watoto wadogo. Sio Tanzania pekee yenye boarding kwa watoto.
Haya yameibuka tena. Hebu niambie nchi gani ya maana ambayo ina shule za boarding kwa watoto wadogo. Au unazungumzia shule za watoto yatima. Ulipoandika Dunia nzima .... nikaona ni dalili za ufahamu mdogo.
 
Haya yameibuka tena. Hebu niambie nchi gani ya maana ambayo ina shule za boarding kwa watoto wadogo. Au unazungumzia shule za watoto yatima. Ulipoandika Dunia nzima .... nikaona ni dalili za ufahamu mdogo.
... ufahamu mdogo. Maneno "dunia nzima" yako mstari upi kwenye post yangu!
 
... ufahamu mdogo. Maneno "dunia nzima" yako mstari upi kwenye post yangu!
Niko hapa nakucheki tu! Naomba niulize. Wewe ni mwalimu? Au ni mtaalamu wa mambo ya elimu na jamii? Kwa haraka nimerudia msgs zako juu ya hili nikaona mtiririko wa hoja zako. Kwa kuwa sina huruma nimeamua kukuita wewe ni mji*ga! Una hali ya kujifanaya kujua na huenda kutetea mambo ya kishenz. Tukubaliane kwamba hata kibaka anaifanya kazi hiyo huku akijua ni kosa, wewe unatetea maono yako bila kujitambua kwamba ni ya hovyo!
 
Wanaoona inafaa waachwe na watoto wao wafanye wanavyojisikia na nyie msiopenda kaeni nyumbani na watoto wenu muwalee kama majipu.

It's a Free country!!
 
Niko hapa nakucheki tu! Naomba niulize. Wewe ni mwalimu? Au ni mtaalamu wa mambo ya elimu na jamii? Kwa haraka nimerudia msgs zako juu ya hili nikaona mtiririko wa hoja zako. Kwa kuwa sina huruma nimeamua kukuita wewe ni mji*ga! Una hali ya kujifanaya kujua na huenda kutetea mambo ya kishenz. Tukubaliane kwamba hata kibaka anaifanya kazi hiyo huku akijua ni kosa, wewe unatetea maono yako bila kujitambua kwamba ni ya hovyo!
Narudia tena; unadhani wewe ni mwerevu kuliko wazazi wote wanaopeleka watoto boarding? Mpumbavu huona wengine ni wajinga!
 
Wanaoona inafaa waachwe na watoto wao wafanye wanavyojisikia na nyie msiopenda kaeni nyumbani na watoto wenu muwalee kama majipu.

It's a Free country!!
Exactly!
 
Narudia tena; unadhani wewe ni mwerevu kuliko wazazi wote wanaopeleka watoto boarding? Mpumbavu huona wengine ni wajinga!
Dunia hii wajinga ndo wengi, kwa hiyo siyo suala la kusema wazazi wote bhla! bhla! wakiwa wote ina maana gani kwenye ufahamu?
 
Wanaoona inafaa waachwe na watoto wao wafanye wanavyojisikia na nyie msiopenda kaeni nyumbani na watoto wenu muwalee kama majipu.

It's a Free country!!
Free ya Nyoko! Mbona mijitu ina ufahamu mdogo kiasi hiki? Unawezaje kutaka serikali ikuachie hovyo hovyo. Yaani mwizi aachiwe, shoga aachiwe, changudoa aachiwe.

Kazi ya serikali ni kusimamia taratibu za maana. Ndo maana hadi leo Italy inapambana na Mafia. Colombia inapambana na wauza madawa. sisi tunakamata wavuta bangi.
 
Free ya Nyoko! Mbona mijitu ina ufahamu mdogo kiasi hiki? Unawezaje kutaka serikali ikuachie hovyo hovyo. Yaani mwizi aachiwe, shoga aachiwe, changudoa aachiwe.

Kazi ya serikali ni kusimamia taratibu za maana. Ndo maana hadi leo Italy inapambana na Mafia. Colombia inapambana na wauza madawa. sisi tunakamata wavuta bangi.
Sasa nyege za nini na maisha ya watu wengine?

Nani kakulazimisha upeleke mwanao bweni?

Mifano yako tu inaonesha ulivyo mjinga!
 
Sasa nyege za nini na maisha ya watu wengine?

Nani kakulazimisha upeleke mwanao bweni?

Mifano yako tu inaonesha ulivyo mjinga!
Amini wewe ni bwege! Na mimi sina nafasi ya kuelisha mtu kama wewe. Nakupa mitusi tu! Lazima ushike adabu. Yaani eti serikali ikuache! Mbona kitabu cha drasa la kwanza, la pili na kuendelea? Yaani wakuache utumie akili hiyo mbovu kufundisha watoto. Elimu ni kitu kinaongozwa na nchi siyo ujinga wa mzazi kama unavyoonekana hapa!
 
Amini wewe ni bwege! Na mimi sina nafasi ya kuelisha mtu kama wewe. Nakupa mitusi tu! Lazima ushike adabu. Yaani eti serikali ikuache! Mbona kitabu cha drasa la kwanza, la pili na kuendelea? Yaani wakuache utumie akili hiyo mbovu kufundisha watoto. Elimu ni kitu kinaongozwa na nchi siyo ujinga wa mzazi kama unavyoonekana hapa!
Mbona bweni zipo sasa na serikali haina shida nazo toka uhuru.

Wewe mbumbumbu ndiyo uone zina shida leo?

Peleka hayo makopo yako unakoona kunakufaa siyo kutubania pua hapa na hoja za kindezi.
 
Mbona bweni zipo sasa na serikali haina shida nazo toka uhuru.

Wewe mbumbumbu ndiyo uone zina shida leo?

Peleka hayo makopo yako unakoona kunakufaa siyo kutubania pua hapa na hoja za kindezi.
Ndo maana nilisema hujitambui. Yaonekana hata hukusoma tunajadili nini. Tunajadili boarding za primary schools! Nasema shule za msingi! Isijekuwa hata neno primary linakuchanganya. Zilizokuwepo ziliwahifadhi watoto yatima. Ndo unazosema zipo toka (tangu) Uhuru au unasema nini??
Mbona unaelewa kwa taabu! Watu kama wewe ndo sababu ya kuruhusu viboko mashuleni.
 
Back
Top Bottom