peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Jamani someni na hii hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaenda hatua kwa hatuaNa bado tutaruhusiwa kupiga na kitu cha Arusha. Nchi yetu sote
Hivi mwendazake hakupata hii barua/taarifa kweli na atoe maoni/mtazamo wake..Hiyo barua ya mwaka 2020
Yes mkuu huku nikifuga rasta wananiletea nongwa , imenibidi kuvaa tu baragashia ili kuficha Rasta zangu.Hivi mwendazake hakupata hii barua/taarifa kweli na atoe maoni/mtazamo wake..
Kuna sehemu nimeona mtumishi wa Umma idara ya Afya ni Rastafari, hili kwenye utumishi wa Umma halina shida?
Ndio alikuwa mnatumia kwa kificho Hadi anadata sometimesNaye si alikuwa anakula mmea?
Inabidi kuwa hivyo mfano bodaboda wanaharibu maana ya Rasta.Ni hatua nzuri kuelekea uhuru wa kuabudu, lakini sisi marastafari hatukubaliani na hayo masharti ya kupata vibali. Huko ni bado kumpa mtu uhuru kamili wa kuabudu. Mi nikiamua kuwa rastafari na kufuga rasta we ni nani wa kunipa masharti yote hayo ya kufuata?
Hawaharibu. Rasta ni asili yetu waafrika. Kitendo tu cha mtu kuomba kibali ili afuge rasta ni kwenda kinyume na maadili yetu na utumwa wa kitamaduni.Inabidi kuwa hivyo mfano bodaboda wanaharibu maana ya Rasta.
Tofautisheni ushoga na Rastafarian nyie mpo Kama mashoga. Na sio rasta kiimaniRasta ni utamaduni wa kiafrika, sasa hawa wanahubiri tufuate utamaduni huku wanaupinga!!! Unafiki mkubwa. Juzi nimeshangaa kuwa kumbe wazaramo zamani hata wanaume walikuwa wanasuka nywele. Leo hii tukiona mwanaume amesuka tutaambiwa siyo utamaduni wa muafrika.
Sasa ushoga umetoka wapi hapa?, "Aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea."Tofautisheni ushoga na Rastafarian nyie mpo Kama mashoga. Na sio rasta kiimani
Hapa Tz hizo Rasta zenu mnanyoa pembeni ni ushoga na sio rastaHawaharibu. Rasta ni asili yetu waafrika. Kitendo tu cha mtu kuomba kibali ili afuge rasta ni kwenda kinyume na maadili yetu na utumwa wa kitamaduni.
Hakuna alikulazimisha kuhudhuria shule ya seeikali. Anzisha shule yako.Ni hatua nzuri kuelekea uhuru wa kuabudu, lakini sisi marastafari hatukubaliani na hayo masharti ya kupata vibali. Huko ni bado kumpa mtu uhuru kamili wa kuabudu. Mi nikiamua kuwa rastafari na kufuga rasta we ni nani wa kunipa masharti yote hayo ya kufuata?
Ulikuwa unamsaidiaje huo mmea???Ndio alikuwa mnatumia kwa kificho Hadi anadata sometimes
Shule za serikali ni za wote, zinaendeshwa kwa kodi zetu. siyo za babaako.Hakuna alikulazimisha kuhudhuria shule ya seeikali. Anzisha shule yako.