Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
Hivi mwendazake hakupata hii barua/taarifa kweli na atoe maoni/mtazamo wake..
Kuna sehemu nimeona mtumishi wa Umma idara ya Afya ni Rastafari, hili kwenye utumishi wa Umma halina shida?
Nadhani hili halikupigiwa sana kelele kipindi chake!
Angelisemea tu jukwaani!
Kuna mmoja pia, nilimuona ni Rastafari!!