Wizara ya elimu yakana kuwapima mimba watoto wa kike kwa lazima, yasema wataendelea na masomo baada ya kujifungua

Wizara ya elimu yakana kuwapima mimba watoto wa kike kwa lazima, yasema wataendelea na masomo baada ya kujifungua

Si kweli..
Huyu ni Zitto huyuu
 
Ila hao wanasiasa wanaotaka watoto wapigwe mimba, je watoto wao washapigwa mimba?
 
Sitaki kufahamu zaidi undani wa barua ya Wizara iliyoandikwa kwa kiingereza kwa ajili ya Watanzania ila najikita kwenye mfano mzuri wa madhara yatokanayo na kupenda mikopo na misaada ya "mabeberu": huko wilaya ya Ilelela kata ya Kiseke jijini Mwanza kuna wazungu walianzisha kituo cha "wasichana waliopata ujauzito ghafla na bahati mbaya" kwa jina la AMANI GIRLS HOME jambo la kushangaza ni kuwa mitaa yote inayozunguka kituo hicho kila wasichana 10 wenye umri wa miaka 16 hadi 20, kati yao 8 wanalea mtoto 1 au 2 asiye na baba...na bado wanashindana kufyatua ili wapate misaada kutoka kituo hicho na wafadhiri wanafurahi kuona namba ya walengwa inaongezeka!

Najiuliza kama watetezi wa ujinga huu wangependa janga hili liingie majumbani mwao!
 
Unajichekelesha nini dogo? Wakati nachangia wala hicho ulichoweka hapa hakikuwepo, na hata kingekuwepo bado nilichomaanisha ni kuwa kilichotelekezwa na serikali ni shinikizo la wazungu, na iwapo wazungu watakaza uzi kwenye tume huru ya uchaguzi, ni lazima itapatikana.
Wameifuta kwenye website ile taarifa ya awali kisha wakaweka nyingine. Nimezi attach zote mbili, itakua maagizo toka juu.
 
Acha ujuaji, hiyo ni taarifa tu. Ukitaka hizo 'shall' nenda kasome sera ya elimu.
Opportunity mzee ni fulsa , na ukisema fulsa maana yke nikwenda qt, vetta nk. Kama wangetumia shall basi tungesema serikari imesalim amri! Maana ingekuwa lazima.

Kwahiyo hiyo barua mpaka uwe mweledi kuisoma lakini uwe unajua kuvunja mayai kisawasawa vinginevyo unaweza kubeba jiwe lakuponda mwizi hafu likakomea juu baada yakuona sura ya mwizi😎😎
 
Unajichekelesha nini dogo? Wakati nachangia wala hicho ulichoweka hapa hakikuwepo, na hata kingekuwepo bado nilichomaanisha ni kuwa kilichotelekezwa na serikali ni shinikizo la wazungu, na iwapo wazungu watakaza uzi kwenye tume huru ya uchaguzi, ni lazima itapatikana.
Kimetekelezwa nini?Kuna kilichobadilika kutokana na misimamo ya serikali dhidi ya wenye MIMBA kurudi shule?Hayo ya kwenye tamko ni mapya?Hata hiyo Barua aliyotafsiri jamaa kawaingiza chaka coz iko clear serikali haijasalim amri

Senti bai yuzingi tecno T301
 
Nenda ka download sera ya 2014 acha uvivu, ukiipata soma kipengele 3.3 kisha uje uendelee kubisha.
Sera ya nini wakati tamko liko hapa na umeleta mwenyewe?Kwamba shida ni Lugha au nini?
tapatalk_1583758411060.jpeg


Senti bai yuzingi tecno T301
 
Katibu amebadili gia angani, soma tena uzi linganisha hizo nyaraka mbili. Atakua kapigiwa simu na mzee baba.
Ingia wizara ya Elimu, Hiyo barua sio ya leo. Pili Hata barua uliyopost mbona iko wazi?Shida ni Lugha au nini?

Senti bai yuzingi tecno T301
 
🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Wameifuta kwenye website ile taarifa ya awali kisha wakaweka nyingine. Nimezi attach zote mbili, itakua maagizo toka juu.
Hata hiyo ya awali mbona iko clear na Hakuna kilichobadilika?Mkuu hujui kiingilish?

Senti bai yuzingi tecno T301
 
Katika kile kinachoonekana kama kupiga hatua kwenye uelekeo sahihi, wizara ya elimu kupitia katibu mkuu wake Dr. Leonard Akwilapo imekanusha madai ya kuwa watoto wa kike waliopo mashuleni watapimwa mimba kwa lazima.

Taarifa hiyo iliyotolewa tarehe 06-03-2020 imefafanua kuwa kauli ya kuwapima mimba wanafunzi haikutoka wizara ya elimu, na pia hakuna sera wala sheria yoyote inayowaelekeza wakuu wa shule au mamlaka nyingine yeyote kuwapima mimba kwa lazima wanafunzi wa kike.

Pia kwenye taarifa hiyo, wizara imesema mwanafunzi atakaye bainika kuwa na ujauzito, atapewa muda wa kutosha kumttunza mtoto wake mchanga na baadaye katika muda sahihi ataruhusiwa kuendelea na masomo.
View attachment 1381582

Update
Naona katibu mkuu kabadili gia angani, wameifuta ile taarifa ya awali na kuweka nyingine kama inavyo onekana hapa chini. Ni hatari kwelikweli.
Kwa minajili hiyo msimamo wa serikali ni uleule, watoto wa kike wataendelea kunyimwa fursa ya elimu wakipata mimba.
SAD

View attachment 1382096
Zitto
Wewe hata hiyo Barua ya kwanza mbon iko clear?Shida lugha?

Senti bai yuzingi tecno T301
 
Wanaongea vitu wasivyovijua.Hata huo waraka hakuna kilichobadilika ila kwakua Tanzania Lugha ya Malkia ni shida ndio maana wanaongea vitu vya ajabu ajabu.

Senti bai yuzingi tecno T301

..usilaumu upande mmoja.

..kweli inawezekana tatizo ni uelewa wa WASOMAJI.

..lakini pia inawezekana MUANDISHI naye ana matatizo na lugha ya watu.
 
Back
Top Bottom