MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,843
- 5,476
Mkuu lugha inakusumbua sana. Barua ya kwanza iko clear kabisa na hamna serikali iliposalim amri. Labda tueleze aya gani au quote hapo unapoona serikali imebadili msimamo ktk hiyo Barua yako ya kwanza.Rudia kusoma, kama hauoni tofauti unalo tatizo mahala.
Senti bai yuzingi tecno T301