Wizara ya Fedha, BoT na TAKUKURU imulikeni Letshego /Faidika Tanzania ni majambazi

Basi hatari. Nilikuwa nimekariri pale Manzese kulikuwaga na benki flani halafu walivyoondoka jengo hilohilo wakachukua Letshego nikajua ile benki labda imebadili tu jina.
Letshego ni benki hata Moroco wapo mkabala na yale majengo marefu mapya br ya kwenda kawe.
 
Chukua Benki statement alafu utafute Mwanasheria akufafanuliwe mkataba wa mkopo ulivyo kuna mambo utajifunza ili uchukue hatua zaidi.
 
Basi hatari. Nilikuwa nimekariri pale Manzese kulikuwaga na benki flani halafu walivyoondoka jengo hilohilo wakachukua Letshego nikajua ile benki labda imebadili tu jina.
Hapo letshego nimeenda sana hapo nilikua naenda kumwekea mtu pesa mara nyingi mno, ile ni bank mkuu
 
Wananchi watakubishia ila mamlaka za TZ huwa zinakucheki tu siku ikifika wanakushangaza. Ni muhimu mtu ukianza haya mambo unapiga uhuni kwa muda kisha unaacha fasta na kwenda kihalali. Huwa mamlaka ziko macho sana sema zinakuwa makini tu usivuje mipaka... na wana tabia ya kukumbusha. Ukijitia jeuri unapotezwa.
 
aanzie bot complaints desk
 
hiyo ni shida yetu wabongo, kila kitu kinajulikana kabla ya kukopa, wakati unahitaji hela akili unaweka mfukoni, hutaki kujua masharti kabisa, una saini tu
baadaye ndo unatoa akili mfukoni
kama anahisi kuna uonevu aende bot wachunguze
utakuta ana leseni ya bot na kodi ya tra analioa kimagumashi

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Huyo jamaa yako kwanza alipaswa kujua huo mkopo wake ni wa muda gani maana mikopo ya watumishi inaenda hadi miaka 7.

Kwa mfano kama mkopo wake ulikua wa miaka 7 (126,400*12*7) ambapo utalipa 10,621,296, lakini tukienda na hesabu yako hapo juu kua ulikua umeshalipa 2,654,400 na wakakupa deni la 3,930,000 tukijumlisha inakua 6,584,400 ambayo ndio deni la msingi plus riba. Inawezekana huo mkopo wa jamaa yako ulikua wa miaka 4 na miezi kadhaa.
Pia kwenye ile fomu ya kuomba mkopo hua inakua na kiasi cha rejesho kwa mwezi na kiasi chote unachitakiwa kurejesha ndani ya muda husika, sitaki kuamini kua jamaa yako alichotilia maanani ni rejesho la mwezi tu bila kuzingatia mkopo ni wa muda gani.

Kuhusu kuzungushwa kupata statement ya mkopo wake hilo ni kweli mabenki mengi ni wasumbufu kutoa loan statement hasa kwa watumishi.
 
Na katika hiyo Hali ya kuambiwa aongeze iyo faini Hapo Hali ikoje
 
Hizo sheria zingekuwepo huo ujinga usinge dumu,ni miaka mingi watu wanalalamika na hatua hazichukuliwi.
 
Acha uongo wewe chawa. Hizo taarifa zinakusanywa miaka mingap? Na watu wanaendelea kuumizwa na ushahidi upo wazi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…