Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
January si Waziri asiyeaminiwa na wengi hata michango ya watu iwe mitaani ama humu mitandaoni ukweli huo unajidhihirisha.
Sasa ili kuwe na kuaminika tena kwa matatizo yahusuyo Nishati nikuombe Rais Samia teua Waziri mwenye japo chembe ya kuaminika na wengi wetu awe Waziri wa Wizara hiyo.
Bado wapo watu katika baraza lako wenye ushawishi kwa wananchi mfano mzee Lukuvi ni mmoja ya Waziri mwenye kauli inayopokelewa na wengi na ni mtu anayeaminika na watu japokuwa naye ni mwanadamu na mapungufu yake.
Kumpa January nishati ni kumchonganisha na watu tu hali itakayomfanya awe na stress zaidi.
Nashauri,January atafutiwe Wizara nyepesi kwa sababu hata yeye ni mwepesi.
Sasa ili kuwe na kuaminika tena kwa matatizo yahusuyo Nishati nikuombe Rais Samia teua Waziri mwenye japo chembe ya kuaminika na wengi wetu awe Waziri wa Wizara hiyo.
Bado wapo watu katika baraza lako wenye ushawishi kwa wananchi mfano mzee Lukuvi ni mmoja ya Waziri mwenye kauli inayopokelewa na wengi na ni mtu anayeaminika na watu japokuwa naye ni mwanadamu na mapungufu yake.
Kumpa January nishati ni kumchonganisha na watu tu hali itakayomfanya awe na stress zaidi.
Nashauri,January atafutiwe Wizara nyepesi kwa sababu hata yeye ni mwepesi.