Inasemekana aliondolewa kwa kuwa eti ni kile kinachoitwa sukuma gangKalemani aliimudu hii wizara sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana aliondolewa kwa kuwa eti ni kile kinachoitwa sukuma gangKalemani aliimudu hii wizara sana.
Na mtu huyo atakayeaminiwa na wengi si mwingine bali ni Mh. Medard Kalemani, Mbunge wa Chato!!!!January si Waziri asiyeaminiwa na wengi hata michango ya watu iwe mitaani ama humu mitandaoni ukweli huo unajidhihirisha.
Sasa ili kuwe na kuaminika tena kwa matatizo yahusuyo Nishati nikuombe Rais Samia teua Waziri mwenye japo chembe ya kuaminika na wengi wetu awe Waziri wa Wizara hiyo.
Bado wapo watu katika baraza lako wenye ushawishi kwa wananchi mfano mzee Lukuvi ni mmoja ya Waziri mwenye kauli inayopokelewa na wengi na ni mtu anayeaminika na watu japokuwa naye ni mwanadamu na mapungufu yake.
Kumpa January nishati ni kumchonganisha na watu tu hali itakayomfanya awe na stress zaidi.
Nashauri,January atafutiwe Wizara nyepesi kwa sababu hata yeye ni mwepesi.
Awesu ndio next au yule mtoto pendwa wa Magufuli Tamisem sasa mazingiraJanuary si Waziri asiyeaminiwa na wengi hata michango ya watu iwe mitaani ama humu mitandaoni ukweli huo unajidhihirisha.
Sasa ili kuwe na kuaminika tena kwa matatizo yahusuyo Nishati nikuombe Rais Samia teua Waziri mwenye japo chembe ya kuaminika na wengi wetu awe Waziri wa Wizara hiyo.
Bado wapo watu katika baraza lako wenye ushawishi kwa wananchi mfano mzee Lukuvi ni mmoja ya Waziri mwenye kauli inayopokelewa na wengi na ni mtu anayeaminika na watu japokuwa naye ni mwanadamu na mapungufu yake.
Kumpa January nishati ni kumchonganisha na watu tu hali itakayomfanya awe na stress zaidi.
Nashauri,January atafutiwe Wizara nyepesi kwa sababu hata yeye ni mwepesi.
Unashauri atafutiwe wizara nyepesi ni laxima awe waziri?,hii serikali inakoelekea Mungu tu anajua.January si Waziri asiyeaminiwa na wengi hata michango ya watu iwe mitaani ama humu mitandaoni ukweli huo unajidhihirisha.
Sasa ili kuwe na kuaminika tena kwa matatizo yahusuyo Nishati nikuombe Rais Samia teua Waziri mwenye japo chembe ya kuaminika na wengi wetu awe Waziri wa Wizara hiyo.
Bado wapo watu katika baraza lako wenye ushawishi kwa wananchi mfano mzee Lukuvi ni mmoja ya Waziri mwenye kauli inayopokelewa na wengi na ni mtu anayeaminika na watu japokuwa naye ni mwanadamu na mapungufu yake.
Kumpa January nishati ni kumchonganisha na watu tu hali itakayomfanya awe na stress zaidi.
Nashauri,January atafutiwe Wizara nyepesi kwa sababu hata yeye ni mwepesi.
Makosa makubwa unafanya mtoa mada. Sijui mnalenga nini. Kama vp mwandikieni Baruq mwenye mamlaka badala ya kutuchosha hunu ya haoja zenu mufilisi. Kusema ukweli ni makosa?January si Waziri asiyeaminiwa na wengi hata michango ya watu iwe mitaani ama humu mitandaoni ukweli huo unajidhihirisha.
Sasa ili kuwe na kuaminika tena kwa matatizo yahusuyo Nishati nikuombe Rais Samia teua Waziri mwenye japo chembe ya kuaminika na wengi wetu awe Waziri wa Wizara hiyo.
Bado wapo watu katika baraza lako wenye ushawishi kwa wananchi mfano mzee Lukuvi ni mmoja ya Waziri mwenye kauli inayopokelewa na wengi na ni mtu anayeaminika na watu japokuwa naye ni mwanadamu na mapungufu yake.
Kumpa January nishati ni kumchonganisha na watu tu hali itakayomfanya awe na stress zaidi.
Nashauri,January atafutiwe Wizara nyepesi kwa sababu hata yeye ni mwepesi.
Umeme unakatika ovyo tu,maelezo ya kuongeza mwaka kwenye kontrakti ya bwawa la Nyerere ni kichekesho,jamaa hawezi,lbd hayo madili, chini hakuna umeme lkn unatumia Dola 30m kuumonita kwa satelaiti Kama siyo uhuni ni nini? tunasubiri.Naona mmeamua kukamia mpaka jamaa achomoke sijui ni wivu🤣
Au hiyo wizara isiwepo kabisa au iwepo bila waziri.January si Waziri asiyeaminiwa na wengi hata michango ya watu iwe mitaani ama humu mitandaoni ukweli huo unajidhihirisha.
Sasa ili kuwe na kuaminika tena kwa matatizo yahusuyo Nishati nikuombe Rais Samia teua Waziri mwenye japo chembe ya kuaminika na wengi wetu awe Waziri wa Wizara hiyo.
Bado wapo watu katika baraza lako wenye ushawishi kwa wananchi mfano mzee Lukuvi ni mmoja ya Waziri mwenye kauli inayopokelewa na wengi na ni mtu anayeaminika na watu japokuwa naye ni mwanadamu na mapungufu yake.
Kumpa January nishati ni kumchonganisha na watu tu hali itakayomfanya awe na stress zaidi.
Nashauri,January atafutiwe Wizara nyepesi kwa sababu hata yeye ni mwepesi.
Upo wewe bottom mtamu!!Mtoto wa nje ya ndoa mnatabu sana