Ndio maana katika nchi zenye Demokrasia kamilifu mteuliwa wa Rais anabidi apitishwe na bungee(pamoja na bunge la kutunga hovyo) pia kujieleza aliyofanya hjko nyuma.Tusifike mahali tukamchagulia Rais mawaziri tangu lini hicho kikawa kigezo cha Uwaziri tuache Rais aongoze tusitake kumwingilia hadi jikoni. Kuna system ya kupima uwezo wa mtu sio wewe mtoa mada, you are wrong. Hata akitafutwa mwingine unaweza pia usimpate unaemtaka wewe. Liache lipite hilo. Yetu tuangalie performance yao. Tusiangalie mtu tuangalie performance tukifika sasa kutazama nani kakaa lazima atoke kwetu ndio mwanzo wa kupotea.
Hi teua apisha ni utopolo!