John120
Senior Member
- Jun 13, 2021
- 139
- 281
Habari za leo wakuu.
Naomba niende moja kwa moja kwenye lengo husika.
Kuna wizi mkubwa sana unaendelea kasi kubwa sana hasa kwenye mtandao wa Facebook Kuna jamaa wanatumia trick ya kupost laptop computers wakidai wanauza. Hawa jamaa wanauza computer kwa bei ndogo sana ukilinganisha na bidhaa yenyewe, na hiyo ni kumshawishi mtu ili aingie mkenge.
Mara nyingi ukiwauliza kwamba mnapatikana wapi watakutumia namba ili muwasiliane kwa WhatsApp.
Na badae watakupa number ya kufanya malipo, Mara nyingi sana wanasema wanapatikana dodoma, Barabara ya nane,Jengo la capital city mall,Floor 1,duka All Muzamill PC solutions,Flame B6.
Number za simu wanazotumia.
0676976799
0678448681
0678376783
Tuchukue tahadhari....
Naomba kuwasilisha hoja.
Palipo na mapungufu mnisamehe
Naomba niende moja kwa moja kwenye lengo husika.
Kuna wizi mkubwa sana unaendelea kasi kubwa sana hasa kwenye mtandao wa Facebook Kuna jamaa wanatumia trick ya kupost laptop computers wakidai wanauza. Hawa jamaa wanauza computer kwa bei ndogo sana ukilinganisha na bidhaa yenyewe, na hiyo ni kumshawishi mtu ili aingie mkenge.
Mara nyingi ukiwauliza kwamba mnapatikana wapi watakutumia namba ili muwasiliane kwa WhatsApp.
Na badae watakupa number ya kufanya malipo, Mara nyingi sana wanasema wanapatikana dodoma, Barabara ya nane,Jengo la capital city mall,Floor 1,duka All Muzamill PC solutions,Flame B6.
Number za simu wanazotumia.
0676976799
0678448681
0678376783
Tuchukue tahadhari....
Naomba kuwasilisha hoja.
Palipo na mapungufu mnisamehe