darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
Kipindi Cha mwendazake kila kitu kilifichwa na zikitolewa takwimu za uongo, toka akiwa waziri alitoa takwimu za samaki na vifaranga wakeSiwezi kumchukia Samia hata siku moja.
Lakini yakifanyika mambo ya kijinga lazima tutalinganisha na awamu zilizopita kwamba mbona kwa wenzio hayakuwepo haya