Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sirro hana shida mkuuSUKUMA GANG NA MATAGA ni adui wa Taifa.
Mama piga chini huyo Mjita, mkuu wa hilo jeshi.
Hao wanajaribu ni kama kum' blackmail' Mama kama vile ameshindwa kazi,lakini hawataweza......ujanja wa kitoto..kazi iendelee.SUKUMA GANG NA MATAGA ni adui wa Taifa.
Mama piga chini huyo Mjita, mkuu wa hilo jeshi.
Siro siyo mjita, ni Mwikizu. Sawa kama Warioba. Lakini Siro hawezi kufanya hujuma kwa Mama.SUKUMA GANG NA MATAGA ni adui wa Taifa.
Mama piga chini huyo Mjita, mkuu wa hilo jeshi.
Daraja la salenderDaraja lipi?hilo kama la mlalakuwa kitambo tu uhalifu umekuwa ukifanyika hapo
Ova
Una hojaNi kweli ila shida kwenye utekelezaji maana wanaweza kuuliwa watu kwa mambo binafsi alafu kisngizio kikawa ni ujambazi so kwa mtu kama bi mkubwa kwakweli inakua ngumu
sukuma gang wapinga mamaMama haiwezekani Magufuli afe, halafu baada ya mwezi ujambazi uuamke kwa Kasi ya kimbunga. Sema vizuri na Vyombo vyako vya Usalama.
Tulizoea Majambazi hawakamatwi, bali utasikia walijibizana risasi na Askari Polisi na mwisho wakajeruhiwa, na bahati mbaya walipofikishwa hospital walifariki. Eti leo hii wanakamatwa.Mama unahujumiwa.
Mama usije ukawa umewakataza wasijibizane na majambazi kwa risasi bali wawakamate na kuwafikisha mahakamani, huku mtaani tutakwisha. Kaza roho waache wapambane nao, ukisikia majambazi wameuawa, ziba masikio na kama hakuna aliyefikishwa mahakamani na nchi ipo shwari Sema hewala.
Juzi kuna jamaa amekutana na Askari Polisi wapo kiraia wakiwa kwenye doria,kwa upole kabisa wakamwambia usikatize tena hapa darajani Ukiwa peke yako, iwe mchana au usiku, Ujambazi umerudi kwa Kasi. Sasa unajiuliza Magufuli ameondoka na Vyombo vyake vya Usalama au?.Mama Kaa upya na vyombo vyako hasa Mapolisi. Fanya kama alivyowahi kufanya Magufuli aliwaita maafisa wote wa Polisi na kuna wakati aliita wadogo wakiwemo Traffic ,. Usipuuze hata kidogo,na hakikisha hawakosi walichokuwa wakikipata kwa Magufuli, na ikiwezekana waongezee.
Una maana jeshi la Polisi linamhujumu Mama?Mama haiwezekani Magufuli afe, halafu baada ya mwezi ujambazi uuamke kwa Kasi ya kimbunga. Sema vizuri na Vyombo vyako vya Usalama.
Tulizoea Majambazi hawakamatwi, bali utasikia walijibizana risasi na Askari Polisi na mwisho wakajeruhiwa, na bahati mbaya walipofikishwa hospital walifariki. Eti leo hii wanakamatwa.Mama unahujumiwa.
Mama usije ukawa umewakataza wasijibizane na majambazi kwa risasi bali wawakamate na kuwafikisha mahakamani, huku mtaani tutakwisha. Kaza roho waache wapambane nao, ukisikia majambazi wameuawa, ziba masikio na kama hakuna aliyefikishwa mahakamani na nchi ipo shwari Sema hewala.
Juzi kuna jamaa amekutana na Askari Polisi wapo kiraia wakiwa kwenye doria,kwa upole kabisa wakamwambia usikatize tena hapa darajani Ukiwa peke yako, iwe mchana au usiku, Ujambazi umerudi kwa Kasi. Sasa unajiuliza Magufuli ameondoka na Vyombo vyake vya Usalama au?.Mama Kaa upya na vyombo vyako hasa Mapolisi. Fanya kama alivyowahi kufanya Magufuli aliwaita maafisa wote wa Polisi na kuna wakati aliita wadogo wakiwemo Traffic ,. Usipuuze hata kidogo,na hakikisha hawakosi walichokuwa wakikipata kwa Magufuli, na ikiwezekana waongezee.
yumkimi maana ripoti za sasa huwa wanakimbia na silahaWale jamaa kibiti Kama wananukia hivi.
Uhalifu umekuwepo hapo muda tu tena wezi wa hapo wanatokea MoscowDaraja la salender
UjingaSUKUMA GANG NA MATAGA ni adui wa Taifa.
Mama piga chini huyo Mjita, mkuu wa hilo jeshi.
Ujinga