johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa mambo ya ndani ni yule yule mh George Simbachawene.
IGP ni yule yule afande Simon Sirro
Sasa haya majambazi yanapenyea wapi jamani wakati mlishayadhibiti nasi tukayasahau?
Kwa sasa hata tunapokunywa mbege kwa manka Monica huwa tunakuwa na wasiwasi juu ya usalama wetu.
Majambazi tiini sheria bila shuruti Tafadhali!
IGP ni yule yule afande Simon Sirro
Sasa haya majambazi yanapenyea wapi jamani wakati mlishayadhibiti nasi tukayasahau?
Kwa sasa hata tunapokunywa mbege kwa manka Monica huwa tunakuwa na wasiwasi juu ya usalama wetu.
Majambazi tiini sheria bila shuruti Tafadhali!