Wizi, udokozi na ujambazi vimeibuka kwa kasi huku mitaani

Wizi, udokozi na ujambazi vimeibuka kwa kasi huku mitaani

Mkoa nilipo Mimi kuanzia juzi na Jana tayari zimevunjwa nyumba 40 na Kuibiwa vitu vya samani nikajaribu kumshirikisha wa mkoa wa jirani nae pia ananiambia vile vile kua wizi na ukabaji umeshamiri Sana

Kuna kitu hakiko sawa

Wizi upo na hautakuja kuisha hata siku moja!! Legasi haitetewe bali inajitetea yenyewe!! Mikumi tena kwa SSH.
 
Kuna dogo wiki imepita kakwapua simu ya dada anapita barabarani dogo alikuwa anaendesha pikipiki bahat mbaya pikipiki imeyumba imeanguka

Wamepiga mpka jamaa akiguswa kifua anatema damu puani na mdomoni sjui wamemvunja nini ndani pikipiki yake wameichangua changua imebaki bomba

Ila dogo kafa
 
Kipindi kile udokozi ulikuwa wa matrilion
 
Raia tushirikiane kuwaua hawa vibaka na police wanaoshirikiana nao bila kufanya hivyo tutakuwa tunawatafutia wao
 
Mkoa nilipo Mimi kuanzia juzi na Jana tayari zimevunjwa nyumba 40 na Kuibiwa vitu vya samani nikajaribu kumshirikisha wa mkoa wa jirani nae pia ananiambia vile vile kua wizi na ukabaji umeshamiri Sana

Kuna kitu hakiko sawa
What! kwa hiyo unataka kutuambia ni kwa sababu ya kubadilika kwa uongozi?
Hizi ni jitihada za kudhalilisha ikiwa nia ni hiyo.
Ni vizuri tupate taarifa kutoka mambo ya ndani kuhusu mwenendo wa matukio ya makosa ya jinai.
Taarifa za mtu mmoja mmoja ni kutuyumbisha tu.
 
Huku kwetu ndan ya week mbili hizi tayari vijana wanne wamechomwa moto na kupigwa mawe na raia wenye hasira kali.
hiyo ndodawa sio kulalamika sio kosa laserikali hilo malezi ngazi yafamilia ,choma moto au koroga cement litamoja mpeni anywe hatanusu lita
 
Mkoa nilipo Mimi kuanzia juzi na Jana tayari zimevunjwa nyumba 40 na Kuibiwa vitu vya samani nikajaribu kumshirikisha wa mkoa wa jirani nae pia ananiambia vile vile kua wizi na ukabaji umeshamiri Sana

Kuna kitu hakiko sawa
Kitu gani. Jeshi la polisi lipo na lina uwezo. Chapa kazi saidia jeshi lako kutoa taarifa. Kataa uchochezi
 
Mkoa nilipo Mimi kuanzia juzi na Jana tayari zimevunjwa nyumba 40 na Kuibiwa vitu vya samani nikajaribu kumshirikisha wa mkoa wa jirani nae pia ananiambia vile vile kua wizi na ukabaji umeshamiri Sana

Kuna kitu hakiko sawa
Unahisi ni nini hakiko sawa? unataka kutuambia kwa kuwa Magufuli amefariki, nenda kafanye kazi wizi haujawahi kwisha make unachangia pato la taifa, unafikiri wizi ukiisha makampuni ya ulinzi yatafanya kazi gani? wachonga magrill wataishije? wauza cctv camera watamuizia nani? mafundi wa fence za umeme watafanya kazi gani?
Wizi ni sekta isiyo rasmi lkn inayochangia pato la taifa. Acha uendelee kuwepo atakayekamatwa basi
 
Hapa kibamba juzi kuna dogo kachomwa Moto live , aliiba piki piki ya jamaa alikuwa anaswali msikitini ..... To be honest kwenye swala hili Jiwe alikuwa strong, napingana naye Tu kwenye sera zake za uchumi
Jiwe hakuwa polisi na hakuwa kila mahali. Jeshi bado lipo na rais hajawazuia kufanya kazi zao.
Hapa uchochezi. Unalichonganishi jeshi na rais kwa upande mmoja na jeshi na raia kwa upande mwingine.
Polisi msikubali hili. Watu watekeleze wajibu wao isijeaminika kuwa hata mwalimu akiingia au asipoingia darasani ni sababu rais. Tujifunze kutimiza wajibu kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu
 
Mkoa nilipo Mimi kuanzia juzi na Jana tayari zimevunjwa nyumba 40 na Kuibiwa vitu vya samani nikajaribu kumshirikisha wa mkoa wa jirani nae pia ananiambia vile vile kua wizi na ukabaji umeshamiri sana.

Kuna kitu hakiko sawa
Kuna watu wanajarbu kuzuia mafuriko kwa mkono,eti ili ionekane Zama zile na za mwendazake zilokua sawa tu.

CHUMA Kama. Kile kilitokeaga Monduli tu na pacha wake ndo huyu wanafanya Kila mbinu watuaminishe naye Ni fisi mla nyama
 
Uongo mtupu, mbona hutaji Mkoa lengo lako ni kutaka kuleta taharuki ili ionekane Madam President kazi inamulemea - wakati hiyo si kweli hata kidogo, mkuu nakushauri tafuta shughuri nyingine ya kufanya na sio hii ya ku-manufacture UONGO.
Eti eeeh!
Hata mama muongo siyo?Maana alisema mwenyewe majambazi yamerudi anataka Yule Askari arudishwe DSM apambane nao.
Au ulilala mkuu
 
Uongo mtupu, mbona hutaji Mkoa lengo lako ni kutaka kuleta taharuki ili ionekane Madam President kazi inamulemea - wakati hiyo si kweli hata kidogo, mkuu nakushauri tafuta shughuri nyingine ya kufanya na sio hii ya ku-manufacture UONGO.
Wala usimshambulie mtoa post, maana hata mama Samia mwenyewe alikiri kuwa wizi na ujambazi imeanza kurudi kwa Kasi na akaomba Kuna polisi arudishwe maana alionekana kupambana nao vizuri
 
Mkoa nilipo Mimi kuanzia juzi na Jana tayari zimevunjwa nyumba 40 na Kuibiwa vitu vya samani nikajaribu kumshirikisha wa mkoa wa jirani nae pia ananiambia vile vile kua wizi na ukabaji umeshamiri sana.

Kuna kitu hakiko sawa
Atakuwa tu ni Lengai Ole Sabaya huyo na genge lake.
 
Mimi nipo hapa naisikiliza hii nyimbo ya madee inaitwa historia,naisikiliza mstari kwa mstari natamani huyu anayeimbwa huku ningemuona maana aliitendea mema sana hii nchi
 
Mkoa nilipo Mimi kuanzia juzi na Jana tayari zimevunjwa nyumba 40 na Kuibiwa vitu vya samani nikajaribu kumshirikisha wa mkoa wa jirani nae pia ananiambia vile vile kua wizi na ukabaji umeshamiri sana.

Kuna kitu hakiko sawa
Sio wizi tu,hata kuuawa albino kumerudi, hii ni taswira mbaya kwa utawala huu
 
Back
Top Bottom