Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Wizi hua haufanywi na mtu mmoja hua ni mnyororo wa watu, hao unaowaona kwenye camera ni wale manyokaaa wa watekelezaji tu ila pwagu na pwaguzi mchora ramani ni wafanyakazi wa hlo basi na wanajua kila kituKabisa si wana mtandao mkubwa ....
Kwakweli asietaka waadhibiwe hajawahi kuibiwaWakikamatwa na wananchi wenye hasira kali na kuwachinja kama mbuzi au kuwachoma na tairi with petrol..............
Mnaanza kulalamika mara katiba ya nchi mara haki za binadamu.....
All in all
Wezi wakithibitika ni kumalizwa then inakua fundisho...
Kwakweli 😃😃🙌Acha tuuu...wanasema njaa ni mwanaharamu
Ukute wanafamily kabisa[emoji16]Watashikwa tu lakini uzuri sura zao zinaonekana vizuri
Na kwny mabus huwa wanasisitiza sana jambo hili..ukae na vitu vyako vya thamaniTufundishe vijana namna ya kutunza vitu muhimu kama nyaraka za vyeti na Laptops haswa wakati wa safari. Sijawahi kuweka begi langu lenye kitu chochote cha muhimu kwenye carrier ya bus, ni lazima niwe nalo mapajani muda wote bila kuzingatia umbali wa safari wala kushuka sehemu ya kula, lazima bag niwenalo.
sasa kuwa handsome na wizi vina uhusiano gani mkuu. usije ukajiroga kufanya maamuzi kwa kuangalia sura za watu.Eti jamaniii...kuna siku asubui tuu mtu kafungua duka akatoa mitungi ya gas nje huku yuko ndani anaendelea kutoa...akapita kaka mmoja yuko vzr tuu akauchukua mtungi mdog kama wake yule dada alisikia ki kelele fulani ndo kutoka ghafla akaanza mwizi mwizi yule kaka,akautupa kumbe ulikua empty... nikashangaa how such a handsome and smart guy anaiba angeshikwa na kuuwawa je?
Lazima wanazo, kwa umri wao hao wazee lazima wana watoto wa secondary kama sio shule ya msingi 😃😃Ukute wanafamily kabisa[emoji16]
Miwani ya kumagnify vitu😃😃😂😂😂Hilo bila shaka...hasa huyo mzalendo hakosi watoto 5...
Na miwani yake mikubwa ya kumagnify vitu anavyotaka kuiba 🤣 🤣
Naimagine mke wake anaona hii video inakuwaje😃😃Yani miwani ya matukio... 🤣 🤣
Daah pole sana maybe walijua una vitu vya thamani....Dah hawa washenzi sio kuiba tu pia wanabadilisha mabegi nimebadilishiwa begi mwezi wa sita Begi lilikuwa na vitu vingi sana wamenichapa Ikiwezekana wanyongwe mzee wamenirudisha nyuma sana aisee
Hivi inawezekana kweli wakawa wanashirikiana mtu na mke wake kuiba😳..mbona aibu 🤔🤔Masikitiko kabisa kama na yy sio mpiga madili..ila kama lao moja muda huu wamehama mji