Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha,Hehehe๐๐๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha,Hehehe๐๐๐๐๐๐๐
Eeh, wanahifadhi vitu na mali za watuEti wezi wazalendo
Utadhani kwenye picha hapo juu aliyeibiwa ndo mwizi. Yani umdhaniaye siye.AISEEE!!!
Mwizi aliekwapua begi kavaa kiheshima huwezi kumdhania, hata alieibiwa kampisha apite kiheshima.
Kavaa miwani kujifeki kaelimika / mtu wa hekima.
kofia yenye bendera ya nchi kuonekana mzalendo
shati la kitenge kuonekana mtu wa maadili ya kiafrika
mkononi ana maji kuzuga kipaumbele chake ni afya.
Ndio maana mimi begi ambalo silichungi huwa ni lile kubwa la nguo, begi dogo lazima niwe nalo muda wote pembeni maana naweka laptop, Simu, nyaraka, vyeti, pesa, n.k, yani hata nikienda kuchimba dawa ninalo.
View attachment 2733646
Ngumu sana....Mimi mpaka Leo na RB ya dogo mmoja ni wanted aliiba 10M video na camera Kila kitu zilimuonyesha hatua zake zote.....................Watashikwa tu lakini uzuri sura zao zinaonekana vizuri
Aisee ๐ค๐ค๐คNgumu sana....Mimi mpaka Leo na RB ya dogo mmoja ni wanted aliiba 10M video na camera Kila kitu zilimuonyesha hatua zake zote.....................
Hii dar es salaam ni kubwa sana na ni ngumu kumpata otherwise wangekua na program kama za KGB au FBI au CIA au Mossad alama za mikono na picha zao zingeingizwa kwenye data base...
Kamawaliji andikishaga
Mambo ni mengi muda mchache..๐
Halafu wakishakuibia wanajiona wajanjaa na wewe waliokuibia mjinga kama wao.Ndomana wakikamatwa raia wanaamua kuwanyoosha
Ova
Na wameaga kuwa wanaenda kazini[emoji16]Lazima wanazo, kwa umri wao hao wazee lazima wana watoto wa secondary kama sio shule ya msingi [emoji2][emoji2]
Yani๐ฅ๐ค๐คNa wameaga kuwa wanaenda kazini[emoji16]
Duuh pole sanaNgumu sana....Mimi mpaka Leo na RB ya dogo mmoja ni wanted aliiba 10M video na camera Kila kitu zilimuonyesha hatua zake zote.....................
Hii dar es salaam ni kubwa sana na ni ngumu kumpata otherwise wangekua na program kama za KGB au FBI au CIA au Mossad alama za mikono na picha zao zingeingizwa kwenye data base...
Kama walijiandikishaga
Mambo ni mengi muda mchache..๐
Aibu tupu[emoji16][emoji16], kutiana aibu tu kwenye family.Hilo bila shaka...hasa huyo mzalendo hakosi watoto 5...
Na miwani yake mikubwa ya kumagnify vitu anavyotaka kuiba [emoji1787] [emoji1787]