Wizi wa kwenye mabasi wanaswa na kamera ya bus la ABC

Wizi wa kwenye mabasi wanaswa na kamera ya bus la ABC

AISEEE!!!

Mwizi aliekwapua begi kavaa kiheshima huwezi kumdhania, hata alieibiwa kampisha apite kiheshima.

Kavaa miwani kujifeki kaelimika / mtu wa hekima.
kofia yenye bendera ya nchi kuonekana mzalendo
shati la kitenge kuonekana mtu wa maadili ya kiafrika
mkononi ana maji kuzuga kipaumbele chake ni afya.

Ndio maana mimi begi ambalo silichungi huwa ni lile kubwa la nguo, begi dogo lazima niwe nalo muda wote pembeni maana naweka laptop, Simu, nyaraka, vyeti, pesa, n.k, yani hata nikienda kuchimba dawa ninalo.

View attachment 2733646
Utadhani kwenye picha hapo juu aliyeibiwa ndo mwizi. Yani umdhaniaye siye.
 
Watashikwa tu lakini uzuri sura zao zinaonekana vizuri
Ngumu sana....Mimi mpaka Leo na RB ya dogo mmoja ni wanted aliiba 10M video na camera Kila kitu zilimuonyesha hatua zake zote.....................

Hii dar es salaam ni kubwa sana na ni ngumu kumpata otherwise wangekua na program kama za KGB au FBI au CIA au Mossad alama za mikono na picha zao zingeingizwa kwenye data base...
Kama walijiandikishaga

Mambo ni mengi muda mchache..๐Ÿ˜Š
 
Ngumu sana....Mimi mpaka Leo na RB ya dogo mmoja ni wanted aliiba 10M video na camera Kila kitu zilimuonyesha hatua zake zote.....................

Hii dar es salaam ni kubwa sana na ni ngumu kumpata otherwise wangekua na program kama za KGB au FBI au CIA au Mossad alama za mikono na picha zao zingeingizwa kwenye data base...
Kamawaliji andikishaga

Mambo ni mengi muda mchache..๐Ÿ˜Š
Aisee ๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”
 
Ngumu sana....Mimi mpaka Leo na RB ya dogo mmoja ni wanted aliiba 10M video na camera Kila kitu zilimuonyesha hatua zake zote.....................

Hii dar es salaam ni kubwa sana na ni ngumu kumpata otherwise wangekua na program kama za KGB au FBI au CIA au Mossad alama za mikono na picha zao zingeingizwa kwenye data base...
Kama walijiandikishaga

Mambo ni mengi muda mchache..๐Ÿ˜Š
Duuh pole sana
 
Back
Top Bottom