Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
aiseeAngalia video hii, kama unawatambua toa taarifa upate zawadi yako ya Tsh. laki 5.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aiseeAngalia video hii, kama unawatambua toa taarifa upate zawadi yako ya Tsh. laki 5.
unakuta ghafla anaanza kuikatikiaWakikamatwa wazamisheni madole gumba kwenye tupu zao za nyuma.
Pumbaffffff!!!
Ilikuwaje mkuu ebu elezea kwa undani kidogoWapumbavu waliniibia laptop kwenye Shabiby mpaka leo sitaki hata kuiona, walikula dili na makondakta
tena yule binti ndio anaweza kuwa hizi pisi kali za humuUsikute hao wezi ni member humu
Kwa hesabu za kawaida tu, tuseme laptop ya laki 3, Mwizi katumia angalau elfu 30 ya nauli ili akaibe. Atapata faida akiiba.Mimi pia
Huu wizi umetawala sana kipindi hiki Cha vyuo kufugwa....
Miaka 12 iliyopita nilikua nasafir kwenda Mwanza...wapo wezi ambao hukata tiketi kabisa na kusafir Kwa lengo la kuiba laptop [emoji335]
Tumefika Dodoma tukaenda kula kurudi garini dada haoni begi lake la laptop na vitu vingine....
Yaan tukachukuliwa gari zima mpaka DODOMA CENTER POLICE
Kila mtu anatoka na mizigo yake inafunguliwa na kumwagwa [emoji368] [emoji368][emoji368] searching na police na gari zima tu searchiwa mwanzo mwisho....
Mwisho wa siku hakupata chochote na Kuna abilia mwingine mmoja hakuwepo kwenye siti yake so izo mambo zipogo sanaa.....
nimeshangaa yaani jamaa akuamini guts zake kabisa aiseee roho imemwambia kabisa unaibiwa na kaona au sijui ni madawa au nini..!Halafu alishtuka walipolishusha sijui kwanini hakukomaa nao pale wasogee kwanza
wezi wana mbinu sana wezi siku hizi wako smart kama matapeliYaani watu wanatoka kwao wamependeza wanaenda kuiba.
Yaani[emoji16],nusu uliie nisu ucheke[emoji23], unaishia kuwa kati kwa kati[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Kuzimia kunakuja alafu kunakataa
😀😀Ukijitahidi sana unaguna guna tuYaani[emoji16],nusu uliie nisu ucheke[emoji23], unaishia kuwa kati kwa kati[emoji1787]
Na kusonya sonya[emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3]Ukijitahidi sana unaguna guna tu
😂😂😂Na kusonya sonya[emoji1787][emoji1787]
Hahah tena wanajisifu [emoji1]Halafu wakishakuibia wanajiona wajanjaa na wewe waliokuibia mjinga kama wao.
Inasikitisha sana, asanteAngalia video hii, kama unawatambua toa taarifa upate zawadi yako ya Tsh. laki 5.
Vijana muda wote anaasikilizavijana wa siku hizi wajinga sana always nawaambiaga, the first sign to anything ndio ukweli wenyewe vinavyofuata ni ubongo unakuongopea.
yaani wakati anainuka kwa nguvu first sign imemwambia ni begi lako ndo limeondoka. kuangalia kweli halipo, lakini ubongo ukaanza kuongopa na kumwambia hawezi kuwa huyo mzee, ubongo ukamwambia tena bag lipo nje.
vijana hamnisikilizi haya, mmelala sana dku hizi fanyeni mazoezi.
Inasikitisha sana, asante kwa kukumbusha abiria kuchunga mizigo yaoAngalia video hii, kama unawatambua toa taarifa upate zawadi yako ya Tsh. laki 5.
Yani atajutia sana jamani..ukute lecturer kuna mtihani ya UE humo hahahhNa jamaa nae ana kauzembe na uoga kwenye vitu vyake na kupumbazwa na tv.
Hapo kuna kikamba kilikua kinaning'inia hapo kumpa ishara kua begi lipo.
Akapata wenge kikamba kilipokua kinasogezwa akashtuka lakini ndo ile umdhanie ndie kumbe siye. Akamuamini mvaa kapelo.
Na begi lenyewe sio kubwa, kwanini asikae nalo.
Good. Na kuchunga mzigo wako ndani ya basi hakikisha kwamfano siti yako iko upande wa kushoto, basi pachika mzigo wako kwenye keria iliyo mbele ya siti yako upande wa kulia, ni rahisi kuuchunga mzigo wako na kubaini movement za abiria kwa urahisi muda wote na kwa nafasi.AISEEE!!!
Mwizi aliekwapua begi kavaa kiheshima huwezi kumdhania, hata alieibiwa kampisha apite kiheshima.
Kavaa miwani kujifeki kaelimika / mtu wa hekima.
kofia yenye bendera ya nchi kuonekana mzalendo
shati la kitenge kuonekana mtu wa maadili ya kiafrika
mkononi ana maji kuzuga kipaumbele chake ni afya.
Ndio maana mimi begi ambalo silichungi huwa ni lile kubwa la nguo, begi dogo lazima niwe nalo muda wote pembeni maana naweka laptop, Simu, nyaraka, vyeti, pesa, n.k, yani hata nikienda kuchimba dawa ninalo.
View attachment 2733646