Wizi wa kwenye mabasi wanaswa na kamera ya bus la ABC

Wizi wa kwenye mabasi wanaswa na kamera ya bus la ABC

Eti jamaniii...kuna siku asubui tuu mtu kafungua duka akatoa mitungi ya gas nje huku yuko ndani anaendelea kutoa...akapita kaka mmoja yuko vzr tuu akauchukua mtungi mdog kama wake yule dada alisikia ki kelele fulani ndo kutoka ghafla akaanza mwizi mwizi yule kaka,akautupa kumbe ulikua empty... nikashangaa how such a handsome and smart guy anaiba angeshikwa na kuuwawa je?
Kwamba mwizi lazima awe mchafu?
 
Begi la laptop linatakiwa liwe kibindoni 24 hours kuanzia mwanzo hadi mwisho wa safari. Hata ukienda kuchimba dawa, shuka nalo, usimuamini hata jirani yako kwenye siti.

Begi la laptop haliwekwi kwenye carrier. Unless uwe kwenye flight tena flight reputable kabisa ambayo wanaweza kufanya follow ups na ukapata mzigo wako.
 
Ngumu sana....Mimi mpaka Leo na RB ya dogo mmoja ni wanted aliiba 10M video na camera Kila kitu zilimuonyesha hatua zake zote.....................

Hii dar es salaam ni kubwa sana na ni ngumu kumpata otherwise wangekua na program kama za KGB au FBI au CIA au Mossad alama za mikono na picha zao zingeingizwa kwenye data base...
Kama walijiandikishaga

Mambo ni mengi muda mchache..[emoji4]
Sababu hujaweka picha yake mitandaoni angedakwa tu
 
vijana wa siku hizi wajinga sana always nawaambiaga, the first sign to anything ndio ukweli wenyewe vinavyofuata ni ubongo unakuongopea.

yaani wakati anainuka kwa nguvu first sign imemwambia ni begi lako ndo limeondoka. kuangalia kweli halipo, lakini ubongo ukaanza kuongopa na kumwambia hawezi kuwa huyo mzee, ubongo ukamwambia tena bag lipo nje.

vijana hamnisikilizi haya, mmelala sana dku hizi fanyeni mazoezi.
 
Wezi sio wa kuwaonea huruma hata kidogo, mi begi langu huwa nalishindilia content kama zote na hata nikisimama pale nje huwa siwi mbali na mlango sasa nimkute mtu analeta umachiknow aisee, sitamchagulia silaha hata ikiwa ni masual upinde, alie juu anisamehe tu, maana mwanaume asiekula kwa jasho anastahili adhabu kali iwe fundisho kwa wengine
 
Wakidakawa msisahau updates wakuu, hawa washenzi sana. Siku huyu jamaa akikamata mwizi akamtia bisu watu watasema hana huruma.

Hapo vyeti washavitupa mtaloni, pc washauza, begi washauza. Wajinga sana hawa wezi.
 
Wakidakawa msisahau updates wakuu, hawa washenzi sana. Siku huyu jamaa akikamata mwizi akamtia bisu watu watasema hana huruma.

Hapo vyeti washavitupa mtaloni, pc washauza, begi washauza. Wajinga sana hawa wezi.
Ni wa kupasuliwa kwakweli
 
Ni wa kupasuliwa kwakweli
Na jamaa nae ana kauzembe na uoga kwenye vitu vyake na kupumbazwa na tv.

Hapo kuna kikamba kilikua kinaning'inia hapo kumpa ishara kua begi lipo.
Akapata wenge kikamba kilipokua kinasogezwa akashtuka lakini ndo ile umdhanie ndie kumbe siye. Akamuamini mvaa kapelo.

Na begi lenyewe sio kubwa, kwanini asikae nalo.
 
Back
Top Bottom