Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How? Make it long plz...Nakumbuka siku moja nimepanda basi la kampuni X nimeweka kibegi changu kwenye keria hizo. Safari ikawa inaendelea tulikuwa tunatoka dar kwenda arusha. Kufika hedaru gari likaharibika bana, abiria wote tukashuka kusubiri litengamae, lilivyokaa sawa kuja kufika moshi ishafika saa mbili usiku mi nikaona nisiendelee na safari nitalala moshi. Katika harakati za kuondoka nikabeba begi kumbe sio langu. Nikalibeba na kusepa mpaka pale kindoroko. Lakwangu lilikuwa na nguo na viatu tuu. Kufika room nakagua nakuta nguo ambazo sio zangu, kukagua kagua naona mfuko wa rambo mweusi, nikaufungua na kupekenyua nakutana na maburungutu ya pesa na kipistol. Jaribu kutafta vitambulisho hamna. Nikahesabu ile hela ilikuwa milioni 25 cash. Kesho yake nikaenda ofisini kwenye hio kampuni nikakuta tayari ripoti zipo za mtu kupotelewa na begi. Lile lakwangu lishaletwa pale na jamaa yupo ana wenge balaa ila uzuri hakusema kilichopo ndani. Nikaongea naye akaniambia alikuwa na haraka hivyo akachanganya mabegi. Nikamuhoji ndani kulikuwa na nini mule kwa bag yake. Akasema vyote, tukaongozana mpaka pale kindoroko. Ile kufika tuu naona mtu anatoka chumbani kwangu, na sa hio nliomba nisifanyiwe usafi ndani kwangu. Aiseeh to cut short hii story nlimkabidhi vitu vyake, ila yule mwamba mpaka leo yupo karanga ananyea debe.
Unawekaje begi lenye pc huko juu na ukae kwa amani kabisa🙆🙆🙆Achikwambie ntu Atoto...
Stand ya Wapii!??Angalia video hii, kama unawatambua toa taarifa upate zawadi yako ya Tsh. laki 5.
To yeye upooo?Aisee
Amezingua sana huyo dogo...aisee kibegi kdg Kama Hicho unakiweka juu na unakua na amani kweli? Mm bag LA mgongoni mara nyingi linakua na kilak2 hata kwenye safari ya mbali ntalibeba mda Wote na hata mda wa kwenda toilet pia naenda nayo
mwaka jana niliibiwa pc ya 1.2m hostel ya chuo....
nililia kama mbwa😂
hao mm ningeondoka nao kuelekea mahakama ya getoAisee 🤔🤔🤔..hadi wadada
ni dhambi?We uko chuo!?😳😳
tatizo unakuja kustuka badae sana wakati ushapigwa😂😂hao mm ningeondoka nao kuelekea mahakama ya geto
Unaweka tu.. sema kuna mbinu!!Unawekaje begi lenye pc huko juu na ukae kwa amani kabisa🙆🙆🙆
Mbinu gani?Unaweka tu.. sema kuna mbinu!!
mahakama ya mnyonge cctv camera ya muafrika ungempataNgumu sana....Mimi mpaka Leo na RB ya dogo mmoja ni wanted aliiba 10M video na camera Kila kitu zilimuonyesha hatua zake zote.....................
Hii dar es salaam ni kubwa sana na ni ngumu kumpata otherwise wangekua na program kama za KGB au FBI au CIA au Mossad alama za mikono na picha zao zingeingizwa kwenye data base...
Kama walijiandikishaga
Mambo ni mengi muda mchache..😊
WApuuz sana bora wangekua vyet wanasalimisha bac polisi au ht chuo kwa kujifanya samaria mwema umeokotaWakidakawa msisahau updates wakuu, hawa washenzi sana. Siku huyu jamaa akikamata mwizi akamtia bisu watu watasema hana huruma.
Hapo vyeti washavitupa mtaloni, pc washauza, begi washauza. Wajinga sana hawa wezi.
Nipo Mkuu,VP?To yeye upooo?