MEGATRONE
JF-Expert Member
- Feb 22, 2014
- 1,140
- 2,141
Yo rede know😂Konde gang world wide. Konde gang fo everibadeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yo rede know😂Konde gang world wide. Konde gang fo everibadeee
Yugo busti ma medulaAgodai ma bebe
Davido hawezi kurecover tena baada ya this year, kwanza ametembelea nyota ya wizkid miaka yote hii...apumzike tuDavido anakimbizwa nasubiri ujio wake atakujaje....
kwahyo Wiz ni kwikwi🙌😀Davido hawezi kurecover tena baada ya this year, kwanza ametembelea nyota ya wizkid miaka yote hii...apumzike tu
Mfano hizi O2 arena shows, wizkid ana siku tatu ( ya mwisho leo) na zilikua sold out in minutes! Davido coming up this december hajaweza kusell out O2 hadi sasa na ni miezi tangu atoe ticket..
Burna mwenyewe hakuweza kujaza O2 ingawa watu walionekana wamejaa.
Bigwiz ni undisputed kwa Africa!
Wizkid namfahamu tangu 2009, davido 2011, burna boy 2012.kwahyo Wiz ni kwikwi🙌😀
mzee baba una madini....Sema mastar kibao manton wanamelewa sana Kidayo....kama hii Essence dah.....Ukikutana na Remix ft Biber aaaah🙌🙌Wizkid namfahamu tangu 2009, davido 2011, burna boy 2012.
Kibongo bongo davido ni popular kuliko wizkid kwasababu ya ile collab na diamond + nyimbo zake nyingi ni za club scene( makelele coz hana kipaji)
Burna - nampenda ila he’s basic, aina ya mziki anafanya ipo sana Uganda. Sema nigeria ni mainstream na pia I guess ni riziki yake tu coz alipotea sana hadi kuibuka tena 2018
Wizkid - naomba ugoogle accolade zake, ni nyingi na hajitambi unlike davido na burna, hawa wangefanya aliyoyafanya wizkid tusingelala.
I could go on and on all day long...
Wizkid n nyokoooooh, nampenda yule starboy had nalowana. [emoji23][emoji23]Wizkid namfahamu tangu 2009, davido 2011, burna boy 2012.
Kibongo bongo davido ni popular kuliko wizkid kwasababu ya ile collab na diamond + nyimbo zake nyingi ni za club scene( makelele coz hana kipaji)
Burna - nampenda ila he’s basic, aina ya mziki anafanya ipo sana Uganda. Sema nigeria ni mainstream na pia I guess ni riziki yake tu coz alipotea sana hadi kuibuka tena 2018
Wizkid - naomba ugoogle accolade zake, ni nyingi na hajitambi unlike davido na burna, hawa wangefanya aliyoyafanya wizkid tusingelala.
I could go on and on all day long...
Mwili mdogo injini kubwa Star boy🙌Wizkid n nyokoooooh, nampenda yule starboy had nalowana. [emoji23][emoji23]
Wewe ni jinsia gani ningependa kufahamuWizkid n nyokoooooh, nampenda yule starboy had nalowana. [emoji23][emoji23]
Davido hawezi kurecover tena baada ya this year, kwanza ametembelea nyota ya wizkid miaka yote hii...apumzike tu
Mfano hizi O2 arena shows, wizkid ana siku tatu ( ya mwisho leo) na zilikua sold out in minutes! Davido coming up this december hajaweza kusell out O2 hadi sasa na ni miezi tangu atoe ticket..
Burna mwenyewe hakuweza kujaza O2 ingawa watu walionekana wamejaa.
Bigwiz ni undisputed kwa Africa!
kama hajui kuimba Afrika nzima hakuna mwana muziki.....unamuelewa nani zaidi?Wizkid sijawahi kumuelewa kiukweli, nyimbo zake naona ni za kawaida sana ila ndio hivyo ana nyota
Mariah Carey yeye yupo tu. Kila ikifika Christmas ngoma yake inarudikwenye chatiOna Jamaa walivyojiachia kwenye Billboard chartView attachment 2027274View attachment 2027275
Ya 3.Wewe ni jinsia gani ningependa kufahamu
Nakumbuka 2017-2018 revival ya davido, but this is different2016 kuna mtu aliandika hivi,ila 2018 jamaa akachafu hali ya hewa.
hawa jamaa wanajua wanachokifanya,kama ni uchawi basi wanaroga kitaalam sana.