Wolper anusurika Kupigwa Risasi Kituo cha Mafuta

Kwann hakudai risiti,na yeye anamakosa pia.ili hiyo kesi iwe nzuri kwake angerudi kudai risiti,hapo kama walimuibia lazima angewakomoa, wangetafuta njia ya kubalance.
 
Mnatafuta kiki tu, sasa risasi imepigwa wapi hapo! Peleka gazeti la sani.
 
Sifa nyingine zinaweza kukuponza hivi hivi,hawa machangu wakipata jina tu mjini wanakuwa na jeuri sana.
 
Nawashangaa sana mnaoponda mafuta ya elfu 20, kwanza inategemea kwa wakati huo ana kiasi gani mfukoni, siyo mda wote mtu anakuwa na fedha nyingi taslimu, hata mm binafsi mda mwingine nakosa hela mfukoni naweka mafuta ya elfu 10, nasogea benk ku withdraw, msikariri maisha

Hata hawa wasanii wenyewe hawana hizo fedha mnazodhani wanazo, ni wananchi wa kawaida kabisaaa
 
raha ya JF kila member ana ndinga yake. Hata mimi.
Si wote JF tuna magari, wewe mbona huna ....... na pia usikariri kwa kudhani kuwa na gari ni kuwa na pesa nyingi, ila NI KITU MUHIMU KTK MAISHA YA KAWAIDA. ( Na ndio maana inchi zilizoendelea kumiliki gari ni RAHISI mno kuliko kumiliki nyumba)
 
Mafuta unaweka kwenye toyo au daladala?
 
Mnatembelea magari msiyoyaweza kuyahudumia, unatembea na gari geji empty mpaka inakula mafuta ya reserve, halafu unawaka Na kielfu ishirini chako.
We rofa haukua na haja ya kukopy uzi mzima na kutuumiza macho bwege weee
 
Angepigwa tu!, Tz kuna watu wengi sana tunafika mil 50 hadi sasa. Huyo tungemuimbia "Haleluya ooh sanah, kwa dakika kumi alafu tungemsahau tukaendelea na majukumu ya kila siku". anyway Atafia mahali pengine km hatabadili tabia yake
 
Kweli super star Bongo ni Msemo halali,mtu una Mark x cc 3000 unaweka mafuta ya buku 20? Hayo si mafuta ya kuweka kwenye bajaji?
 
Si wote JF tuna magari, wewe mbona huna ....... na pia usikariri kwa kudhani kuwa na gari ni kuwa na pesa nyingi, ila NI KITU MUHIMU KTK MAISHA YA KAWAIDA. ( Na ndio maana inchi zilizoendelea kumiliki gari ni RAHISI mno kuliko kumiliki nyumba)
Kaka mbona umeghadhabika? Mbona nimesema na mimi nina gari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…