World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Hatutamsahau bwana Suarez 'The Cheater' kwa kuinyang'anya Afrika tonge mdomoni.

Wenye data waziweke hapa lakini nimebaini characters za asili za watu nazo huchangia sana kwenye soka!

Waamerika kusini wanaonekana ni watu wa kucheat cheat sana ili wapate mafanikio. Ukarimu wetu unatuponza sana waafrika kwenye michuano ya mataifa mbalimbali
 
drogba kafunga goli 1 ambalo wengi wanasema ni la offside,samahanini lakini wengi wa wapenzi wa chelsea kwa kuongea kauli hii!
 

kabla ya kukutana na germany...... spain anatakiwa kushinda kwanza in the next 120mins..........
 
UPDATES:

1min: Paraguay 0 - 0 Spain
64min: Paraguay 0 - 0 Spain
Both teams missed penalties, 58th min and 60th min.
74min: Paraguay 0 - 0 Spain
80min: Paraguay 0 - 0 Spain
83min: Paraguay 0 - 1 Spain (Villa)

FULL TIME... Spain Qualifies by beating Paraguay 1 - 0

=============

Haya EURO CHAMPS SPAIN wanajaribu kwa mara ya kwanza kuingia semi-final dhidi ya PARAGUAY,je nini kitatokea??

TEAMS:
SPAIN:cassillas ramos,pique,puyol,capdevilla busquet,iniesta,alonso,xavi villa,torres

PARAGUAY:villar veron,alcaraz,da silver,morel,caseres,santana,bareto,riveroz,valdes,cardozo
 
kama kawaida yangu,im down wit underdogs.....PARAGUAY...........
 
Kudadadeki hakuna cha mess wala nani!
Na hili tatizo ni la kocha kushinda kuchezesha team yenye starz wengi.
Kuna kocha alisema kabla ya hata mashindano kuanza wakati Maradona was already started opening his big mouth kwamba kuwa mchezaji bora hakufanyi uwe kocha bora same applied to the big mouth Maradona.
By the way I'm happy ,hii inatia moyo nchi zingine kuwa wakikazana wanaweza sio kila miaka Brazil,argentina......
 
Hii WC ya safari hii watu walio-gamble watalia wengi sana!.
 
......Paraguay watakula kichapo tu leo, nadhani leo ndio mwisho wao.
 

Yeah, mama wa watu alikuwepo na alikuwa anasimama kushangilia na kupongezana na wakubwa wenzake pale jukwaani kwa kushikana mikono.
 
Unafikiri nadharau kazi yao? Hata kidogo. Kwanza nilishaacha kushabikia timu za Africa kwasababu najua siyo hawana uwezo, ila hawana seriousness. That is not something to ask...waafrika ndivyo tulivyo. Sio mpira tu, bali ni kila kitu. Tell me what we do serious so that I could join
 
Spain vs Germany itakuwa semi final nzuri sana,hawa paraguay nimeshawachoka nataka mpira uliochangamka .
 

Kama ningeweza kutoa thanx 10 ningekupa, yule bwana ni shujaa kule kwao Uruguay haina ubishi kapewa kadi nyekundi lakini taifa limepata mafanikio makubwa kuliko angeogopa red card.

Tukirudi mezani na kuangalia tatizo la timu zetu ni kuwa hatuandaliwi kisaikologia, Yule alishapiga penati hivyo walishamshoma na timu ilijua tu kuwa Ghana hakuna mpugaji lazima yeye atapuga.

Pamoja na yote GHANA wametuweka Afrika JUUUUUUUUUUUUUU
 
Wilting under presha!

Rev inawezekana kabisa. Pengine hata mimi na tatizo hilo hilo. What is needed ni kujifunza namna ya kukabiliana na presha badala ya kukubali kujigalagaza chini ili mambo yaishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…