MZIGOMZIGO
Member
- Oct 2, 2007
- 6
- 2
Hatutamsahau bwana Suarez 'The Cheater' kwa kuinyang'anya Afrika tonge mdomoni.
Wenye data waziweke hapa lakini nimebaini characters za asili za watu nazo huchangia sana kwenye soka!
Waamerika kusini wanaonekana ni watu wa kucheat cheat sana ili wapate mafanikio. Ukarimu wetu unatuponza sana waafrika kwenye michuano ya mataifa mbalimbali
Wenye data waziweke hapa lakini nimebaini characters za asili za watu nazo huchangia sana kwenye soka!
Waamerika kusini wanaonekana ni watu wa kucheat cheat sana ili wapate mafanikio. Ukarimu wetu unatuponza sana waafrika kwenye michuano ya mataifa mbalimbali