Hivi Bossman kweli kabisa unadhani Brasil ataweza ku-recover kutoka kwenye kichapo cha jana?
Sidhani kwa kweli. Sasa hivi taifa lote limevurugwa kabisa na sitegemei washinde mechi ya mshindi wa tatu hiyo Jumamosi.
Itachukua miaka mingi sana kwa Brasil ku-recover. Kile kisago kilikuwa out of this world bana......si masikhara.
Hivi kwanza wataji-motivate vipi kwa hiyo mechi?
Asante, leo sina homa isipokuwa jana ilikuwa balaa. leo nikofiti kabisa kila kiungo kinafanyakazi jana baadhi ya viungi vilipata kifafa cha muda.
Usisahau kuleta mrejesho jamvini.
Hahahaaaaaaaaa!! Maswali gani haya utaamsha vilivyolala!!!,tena inaminywa kiufundi haswaa.
atakaye nipiga mawe mi namrushia bomu tuu
Vita ya tatu ya dunia inaanzia brazil
Unafaa sana mkuu,nikaongee na the boss pale Maybach utengeneze single,manake hizi rhymes zimetulia.
Afadhali switii kwahiyo haki yangu ntaipata eh?
ukiwa big team hapo ndo kazi ilipo...kujilazimisha ku recover fast..but I am sure hawatakubali kipigo kingine kikubwa...
Wakuu everlenk BAK Malafyale MEANDU Otorong'ong'o mwekundu adolay na wengine wote wa #TeamArgentina , naomba nishukie kituo kinachofuata. Maana nimewasindikiza na kuwapa support mpaka mmekaribia kufika, narudi kwa mkoloni jamani, #TeamGermany
Team yangu Imetolewa sina team sasa hivi,fainali nitaenjoy kuwa teamless hakuna stress at all
Itakuwa poa sana, yaani sipendi kabisa kuwaona Wajerumani wakiwa mabingwa wa dunia.
na messi akija kuchukua jiwe la wc ndio kitamuuma zaidiIla najua c. Ronarldo atakuwa amevunja tv yake kuona messi anaenda kucheza wc fainali.
Inauma kuona hasimu wako anachukua credit ambayo kwako ni ndoto za mchana
Team yangu Imetolewa sina team sasa hivi,fainali nitaenjoy kuwa teamless hakuna stress at all