Immortal_MH
JF-Expert Member
- May 14, 2013
- 1,240
- 2,252
hivi leo ni APRIL FOOLS DAY. ...............?????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Brazil haijawahi niumiza kiasi hiki, nina wasiwasi fainal itachezwa huku helcopter zikizunguka juu.
Hapatatosha huko, hakuna wabarazil watakaoingia kuwaona wajerumani.
Pole zako nyingi, TeamBrazil ni timu ambayo inapendwa na wapenda kandanda wengi duniani kuliko timu nyingine yoyote ile. Hivyo leo hii walioumia kila kona ya dunia kwa matokeo haya ni wengi sana. Wengi tulidhani matokeo yangekuwa 2 - 1, 3 - 2 na mchezo ungekuwa na ushindani hadi dakika ya 90/120, kumbe dah!!!! mechi ilimalizika baada ya dakika ya 26 tu!!!
Eti mwenzenu mimi sioni kama tunaweza kujenga uchumi imara bila kuwa wazalishaji. Biashara sioni kama ni muhimili wa jishikilia.
Mimi nikiangalia nchi nilizochagua (sijui zingine) zimepanda kwa kusimamia vizuri rasilimali zake. Baada ya hapo biashara inakuja tu bila kupenda.
Mfano China ni mkakati mkubwa sana wa kilimo, viwanda vikubwa na migodi.
Urusi wali identify resources zao kama madini nk.
Marekani Waarabu, South Afirica etc.
Kwa kweli tusipokuwa wakweli kwa nafsi zetu tutaumbuliwa hadharani vibaya sana kama huu mradi wa TANESCO ambao hata hauvutii kujadili.
Wafanya biashara watakuja tu, serikali iweke mkazo kwenye uzalishaji.
Resources zetu ni ardhi kwa kilimo madini na mifugo pia utalii.
viwanda vitokane na hayo na visimamiwe na waadilifu wakijua hapo ndio pa kujengea nchi au pa kuiulia.
Ningependekeza jina la nchi yetu lijulikane kwa umaarufu wa hayo yote. Kila moja na uzito wa kutosha.
Mfano wasiwepo watu wasio na uwezo katika hizo sekta, kwa sasa panatakiwa uwajibikaji wa haraka na ufanisi wa hali ya juu kujitoa shimoni zilipo na kuanza kupanda.
Chonde chonde wanasiasa sikilizeni wataalamu,
Historia mbili zimewekwa leo kwa Germany kufunga magoli ya haraka haraka hasa yale ya mwanzo 5 ndani ya dakika 18.
Na ya pili ni host kubugizwa magoli 7-1 aaaww historia mbaya sana hii, haikutakiwa kuwekwa kbs.
Mimi naomba niwaage rasmi humu, nimehuzunika sana timu yangu kuniumiza hivi.
Sitatokea tena basi, nawashukuru wote humu.
Kwaherini, kila la kheri kwa wale timu zao bado zipo, tutaonana kombe la dunia likiisha. Bye!!!
where is he....
la Saba niko hoi
Neymar saw this coming and faked his injury.
Kwa hiyo wabrazil walitegemea kabisa kuwafunga wa jerumani? Basi wabrazil wengi ni wagonjwa.
hizo picha mnazoweka mie burudani