Hii ya Brazil kushinda leo nina hofu sana!
Ni ngumu sana!
Kweli mchezo utakuwamgum sana, lakini bado kura yangu naiweko ushind kwa brazil mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya Brazil kushinda leo nina hofu sana!
Ni ngumu sana!
dakika ya nyongeza ni moja tu, ukizingatia kulikuwa na break ya kunywa maji, hii kali.
Nipo poa kabisa my dear..... natamani hawa wafaransa watandikwe Tatu bila
Halafu refa wa leo anakwenda na time du,ina maana hakuna hata tudakika tulitopotea?
Maswaliii.....![]()
me nimeshangaa Niko busy na kisim nashangaa matangazo hayo naambiwa ni half time
me nimeshangaa Niko busy na kisim.......
hahaha zanta hujatulia....lol
Hakunaaa...kazi imeisha tunasubiri tu mpambano kati ya Germany vs Colombia
Eh nimestuka!