World Islamic Cup, 2022 Qatar

World Islamic Cup, 2022 Qatar

Nimekupa nafasi ya kujieleza na kuthibitisha madai yako, umeshindwa.

Unapapalika kama kuku aliyekatwa kichwa na kuachiwa.

Sina muda wa kujibizana nawe. Hujafikisha viwango vyangu vya watu wa kujibizana nao.

Nakupeleka ignore list.

Kuanzia hapa sitaona unachoandika.
Nilijua tu lazima unikimbie,umezowea kuwapeleka mbio wengine na kingereza chako cha kufanyia mazingaombwe,una viwango gani wewe? ndio akili yako inavyokuongopea hivyo?
 
Qatar masharti kila kukicha mara sijui hamna pombe mara uje na cheti cha ndoa, mara sijui nn Yani masharti kibao daily. Kwann msiandae kombe la maadili ya dini pendwa?
Wanafiki Sana hawa watu, wanakesha wanafumuana marinda halafu wanajidai kuzuia wageni kunywa pombe, hypocrites
 
Hahaha huwa raha sana kushuhudia wazungu wakupigwa za uso, safi sana Qatar...

Wazungu huwa hawapendi kuheshimu tamaduni za wengine, wakati wao ndio vinara wa kuhubiri demokrasia...
 
HAKUNA DINI YA KIISLAMU KUNA UTAMADUNI WA KIARABU.

KUVAA KANZU.
KOFIA
MAKOBAZI.
CHAKULA.
MWEZI NK.

HAPA HAKUNA DINI NI UTAMADUNI WA KIARABU CULTURE.
 
Sasa unauliza swali na kujijibu mwenyewe au unataka jibu?

Hoja ukiiona utaijua au mpaka urejee alichokuambia Muarabu kwanza?
Muarabu ndo kakujengea barabara ya Kibiti
 
una aya au Hadithi kuwa mpira wa miguu ni haramu
Kosa liko kukubali halamu moja na kukataa halamu nyingine.

Mpira wa miguu ni haramu kwa mujibu wa dini ya haki.

Vivulana na visichana vicheza mpira kwa kuvaa vibukta tu na kuonesha vipaja vyao hadharani ni Haramu kubwa sana mbele ya Mtume.
 
Makafir wanaumia
Wewe wanena tu ndugu yangu. Unaweza kuwa muislam na usifanye mema yanayompendeza Mungu sasa wewe tukuite nani. Nilikuwa ninasikiliza kisa cha hawa dada zetu wakenya wanokwenda kufanya kazi Soud Arabia wanavyoteswa nikasikitika sana. Ninashukuru hapa kwetu waislam wanajitambua angalau kwa kutenda mema. Hitimisho langu kama hatufanyi mema basi wote tujiite tu makafir uwe mwislam au mkiristo. Usiite mwenzako kafir kwa ajili ya dini yake maana mwisho wa siku Mungu atapima matendo yetu na siyo dini uliyonayo.
 
Ukiona hakuna aya ya kukataza au kukubali basi ujue huo mchezo ni HALALI.
Michezo kwenye UISLAM haikatazwi.
We una au Aya Hadithi ya kuhalalisha mchezo wa mpira wa miguu ?
Ambao watu wanaucheza wakiwa Uchi kutokana na Dini ya haki.
 
Hayo sio maadili ya kislam ni maadili ya watu wenye utimamu wa akili. Haina haja ya kuwa na kombe la Dunia la watu wanaojiona wao ni superior kwa wengine na kulazimisha mfumo wao wa kifirauni ukubalike popote wanapokwenda.

Kama vipi tunaweza ungana mataifa ya afrika Asia na mengineyo kuanzisha kombe la Dunia letu wenyewe ambalo hatutalazimishana kufanya mambo ya kishenzi.
 
Mwinjilisti mwenye utata Zakir Naik, ambaye anakabiliwa na kesi nyingi za utakatishaji fedha na matamshi ya chuki nchini India, alialikwa na Qatar kutoa mihadhara ya kuhubiri Uislamu kabla ya Kombe la Dunia la FIFA 2022.

IMG_0092.jpg

India ilipiga marufuku Wakfu wa Utafiti wa Kiislamu wa Naik, ikimtuhumu kwa kuhimiza na kusaidia wafuasi wake katika "kukuza au kujaribu kukuza hisia za uadui, chuki, au nia mbaya kati ya jumuiya na vikundi vya kidini."

Moja ya mashtaka yaliyotolewa dhidi yake na mamlaka ya India ni kwamba alihusika katika uongofu kwa nguvu. Kulingana na ushahidi, karatasi ya mashtaka ilifunguliwa dhidi yake kwa kuwabadilisha watu wa dini nyingine kuwa Uislamu.

Zakir Naik amekuwa akiishi uhamishoni nchini Malaysia tangu 2017, kama mkimbizi, baada ya serikali ya India kumfungulia mashtaka kuhusu utakatishaji fedha.

Ingawa Naik ana ukazi wa kudumu nchini Malaysia, alipigwa marufuku kutoa hotuba nchini humo mwaka wa 2020 kwa maslahi ya "usalama wa taifa".

Alikuwa ameshtakiwa kwa kutoa matamshi ya uchochezi na kuhojiwa na polisi wa eneo hilo kuhusu nia yake ya kuchochea uvunjifu wa amani kwa kutoa matamshi kuhusu jamii za Wahindu na Wachina zinazoishi katika taifa hilo lenye Waislamu wengi.

Kwa wale waliokwenda kutazama kombe la dunia usije kushangaa wanamaliza wanaenda kuiji
 
Back
Top Bottom