World Islamic Cup, 2022 Qatar

World Islamic Cup, 2022 Qatar

Mbna unaweweseka ww,naona umejifcha lkn chuki zako zipo dhahiri
Siweweseki natumia logic sio kama wewe shabiki kama ambavo hua napinga habari za kuepo kwa watumishi manabii awa wanao walia watu Hela ndio napinga na ushabiki wenu wa dini tulizoletewa kama sio shabiki jibu hoja je mababu kabla ya mwarabu kuja wote hawaendi mbinguni?
Af mbona Kuna vitabu vipo kwny Quran na bible means mungu ni yule yule isipokua wakristo wameamua kumuona yesu kama nabii wao mkuu na mwokozi kama ambavyo Kuna watu wamewaacha wote yesu na Mohammed na kumuamni eliah ko sijui kosa liko wapi apo
 
"Mwenyezimungu hawezi kumuadhibu yoyote mpaka apelekewe ujumbe au ujumbe umfikie "rejea suurat "israa"hivyo ndivyo waislamu wanatakiwa kuamin
Siweweseki natumia logic sio kama wewe shabiki kama ambavo hua napinga habari za kuepo kwa watumishi manabii awa wanao walia watu Hela ndio napinga na ushabiki wenu wa dini tulizoletewa kama sio shabiki jibu hoja je mababu kabla ya mwarabu kuja wote hawaendi mbinguni?
Af mbona Kuna vitabu vipo kwny Quran na bible means mungu ni yule yule isipokua wakristo wameamua kumuona yesu kama nabii wao mkuu na mwokozi kama ambavyo Kuna watu wamewaacha wote yesu na Mohammed na kumuamni eliah ko sijui kosa liko wapi apo
 
Una chuki sana na Uislam ndugu yangu, tatizo nini kama walikuchukulia mke wasamehe bure.

Vituko vyenu yaani fulu vituko, mara mwanaume asionyeshe magoti ila hao wachezaji hamuwazuii kuonyesha mapaja nje nje.
 
"Mwenyezimungu hawezi kumuadhibu yoyote mpaka apelekewe ujumbe au ujumbe umfikie "rejea suurat "israa"hivyo ndivyo waislamu wanatakiwa kuamin
Uzuri kwneny Quran mpaka yesu yupo ko kama tumeamua kusoma kuishia kwa yesu shida ikwap anaetaikiwa kuabudiwa n mungu na sio Mohammed
 
Hakuna haja ya kufundishwa misimamo ya kiimani na waislamu sababu biblia ninayoiamini inajitosheleza.Judeism na ukristo ulikuwepo miaka mingi kabla ya uislamu.Uislamu ulikopi baadhi ya vifungu vya biblia nakupotosha.Mfano wanasema mtoto wa Ibrahim aliyetaka kutolewa sadaka ni Ishmael wakati biblia inamtaja mtoto aliyetaka kutolewa sadaka ni Isaka(Hii inapatikana kitabu cha mwanzo)
Kuhusu suala la ushoga biblia imeeleza waziwazi kabisa",
Leviticus 18:22
[22]Thou shalt not lie with mankind, as with womankind: it is abomination.
Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni machukizo."
Agano jipya imeandikwa ,watu ambao hawatarithi ufalme wa Mungu ni pamoja na wafiraji na walawiti",
1 Corinthians 6:9-10
[9]Know ye not that the unrighteous shall not inherit the kingdom of God? Be not deceived: neither fornicators, nor idolaters, nor adulterers, nor effeminate, nor abusers of themselves with mankind,
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
[10]Nor thieves, nor covetous, nor drunkards, nor revilers, nor extortioners, shall inherit the kingdom of God.
wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.".
Mytake:
Mungu hawezi kukulazimisha ufuate njia zake kwa lazima kipindi hiki cha agano jipya.
Mwanadamu kwa utashi wake anatakiwa amfuate Mungu ili arithi uzima wa milele au asifuate sheria na amri za Mungu ili apotee kwenda jehanamu.
 
Wewe chizcom amechallenge katika biblia kama kuna Andiko lisemalo "Yesu mwenyewe alijiita Mungu na Aabudiwe" mpaka leo andiko hilo halijatoka kwenye biblia.

Kama andiko unalo hem tupatie MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuelewi wewe kama unalo hilo andio ndio ulete hapa "Yesu kasema mwenyewe ni Mungu na aabudiwe" kama unakubaliana na Dr Zakir kwa hilo andiko kwenye biblia hakuna basi wewe utakuwa umekaribia sana kuwa muislam bado upewe shahada.
 
Uzuri kwneny Quran mpaka yesu yupo ko kama tumeamua kusoma kuishia kwa yesu shida ikwap anaetaikiwa kuabudiwa n mungu na sio Mohammed
Muhammad wanajadili jambo na Allah mpaka wakubaliane ndio lije kwa waislamu, Sasa huyu ni binadamu au ni mungu wenu pia

33:36. Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Allah na Muhammad wanapo kata shauri katika jambo lao.
 
Back
Top Bottom